Alipomaliza kunyoosha mabarabara mafisadi na mercenaries na vyama uchwara Mwenyezi Mungu alimuita Mbinguni

Moderator ondoeni hii takataka au unganisheni kwenye takataka za mwendakuzimu.
Huyo Nigrastratatract nerve, bila shaka hayupo kwenye utimamu wa akili. Yumkini alikuwa ni miongoni mwa zile killing machines za wakati wa kipindi cha giza.

Damu za watu zinamwandama, na hajui afanye nini. Maandiko haya ni katika kujifariji kwenye magumu anayoyapitia.
 
Nakuficha mapesa china... alitesa walioiba nawewe akaiba
 
Kama Ni hivyo hata Yesu ni Ibilisi maana alikatishwa akiwa bado anaendelea na kazi. Ila kama Yesu yupo mbinguni basi atakuwa na msaidizi wake Magufuli.
Mizaha na michango yenu ya kipuuzi, fanyeni mnavyotaka, lakini msifanye dhihaka kwa Mungu wala manabii wake. Mungu hadhihakiwi.

Kristo alijifanya mtu, akawa mtakatifu wajati wote, akayaonja mauti kwa sababu maalum, akayashinda mauti, akatoka mzima, akawatokea walio wake akiwa na mwili na roho, akapaa mbinguni akiwa na mwili na roho, yu hai milele. Atarudi siku ya mwisho kuwahukumu wote walio hai na waliokufa. Hafananishwi na mwanadamu yeyote.
 
'Mattercore' at your best....baada ya ujio wa Lissu na mambo yanayoendelea ma sadist wote mpo kwenye denial stage......'soea' hii hali
 
Mapambano mkali kweli kweli,huu mpambano wa jpm na wale wengine hautaisha leo Wala kesho,mpaka atokee jiwe II.
Akitokea jiwe II kwa hii katiba watu watapoteana humu maana atai perfect game yake kutokana na makosa ya jiwe I
 
Uhakika ni kwamba yuko motoni ndio maana pamoja na kutaja lisu auwawe mungu akamuaibisha akatangulia yeye ili Mungu adhihirishe ukuu wake na kiapo chake kwamba kamwe mwanadamu hatashindana namimi.
Kwani we kwa akili iliyojaa kinyesi unafikiri kufa ni adhabu ee pole sana
 
Kifo cha mwendazake mbwa magufuli kinadhihirisha ukuu wa Mungu dhidi ya wanadamu fedhuli.
Ubongo uliojaa kinyesi to kwa mbwa wazazi wako waliokuzaa maana badala ya kuzaa binadamu mbwa yule akakuzaa wewe
 
Jamaa anaishi mpaka leo mnamtaja na kumtaja.ukienda mitandaoni kila mwaka ndio mtu anayeandikwa mara nyingi zaidi ndani ya muda mfupi.
Picha zake zimesambaa nyingi
 
Umeumia bwana ako kutukanwa ila mnavyotukana wafu mnaona sawa
 
Utakuwa unalipwa siyo kwa povu hili!!!
 
Kumbe ndo wewe unaejiita usalama wa taifa twitter
 
Kwendeni zenu, nyie si ndo mlikuwa mnapiga chapuo la kubadili Katiba ili aendelee?! //Magufuli for life. Haya hayakuwa maneno yenu nyie sukuma gang?
 
Kama Mungu amesema usiue na Yeye aliua sana Yuko mbingu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…