Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

Rwanda haina nguvu yoyote ya kuiletea fujo Congo.
Kinachoendelea ni wacongo wenyewe wa ukanda WA Kivu.
Wale ni Watutsi sio WaCongo na Watutsi ni ndugu zake na Kagame ndio maana anawapiga tafu kuisambaratisha Congo yenye mizenguo haya nyinyi Jeshi lenu mnalitoa wapi Kanda ya Ziwa?
 
πŸ€“πŸ€“
Sasa mbona kama unaniingiza kwenye Jambo ambalo sipo?
Mkuu nataka nikuoshee ni jinsi gani ilivyo ngumu kupambana na CCM kivyovyote maana nyuma ya CCM kuna Jeshi sio kikundi cha Wahuni wachache namaanisha ukiigusa CCM umeligusa Jeshi kiini cha Jeshi la Wananchi ila sio Jeshi la Wananchi ni Jeshi la CCM haya nyinyi Jeshi mnatoa wapi?
 

Wenye Akili kama Kikwete wanaelewa kuwa usimdharau adui hata kama ni adui mdogo.

Wewe ndio unaona ni ngumu lakini ni Jambo linalowezekana Kabisa.

Ikishatokea Ukabila Hilo Jeshi halina uwezo wa kufanya lolote.
Ukabila ni zaidi ya jeshi sijui kama unaelewa hio
 
We kwl ni poyoyo, we unaumwa nenda katibiwe. Umejaza server ya JF na matope
 
Sijawahi kusoma comment ya tahira kama wewe. Unam-compare Nyerere na Mobutu!!!!!!!!! Tahira hasa; yaani cretin
 
Hicho unacho kitamani kitokee Tz hakiwezekani... Misingi ya siasa jamii na uchumi wa WaTz haufanani na nchi yoyote Africa, hivyo Tz inaendelea kubaki nchi bora ya kuigwa kwasababu ya misingi na falsafa thabiti inayojipambanua vzuri...
Misingi ndo hiyo insuobomolewa Kwa uteuzi wa machawa bila kujali uelewa na weledi, utekaji na mauaji na zaidi kuminya demokrasia. Ukiwa CCM na mnufaika wa haya mambo utaona ni kawaida na hakuna wa kuleta shida, lakini mind you Kuna moto unaochichewa chini Kwa chini, turekebishe mapema kabla hayujachelewa.

Just imagine 17/3/2021, kama Mabeyo asingekuwa mzalendo wa kweli anaye analyse mambo, tuseme angekuwa kawekwa hapo si Kwa weledi bali uchawa, nadhani Sasa tungekuwa tinaongea mengine.
 
Muda utaongea. Ni suala la muda tu!
We bwege huna kazi ya kufanya? Unatujazia ushuzi tu. Acha uchuro huo muda utakuwa wa kifo chako usikibarie nchi yetu huo upuuzi wako. We ni zero brain afadhali ya nyumbu
 
Kuna hoja gani ya kutoa hapa? Yaani Tanzania inafananishwa na Zaire ya Mobutu halafu mimi Mtanzania wa kweli nikae kimya? Eti nitoe hoja!? Upumbavu haujadiliwi!!!!
Ukweli mchungu ni kwamba, kuna mambo mengi sana aliyofanya Rais Mobutu Sese Seko na Utawala wake ambayo pia yanafanywa na Utawala uliopo hapa Tanzania tangu zamani na hata Sasa.
Mathalani, Mobutu Sese Seko alikuwa hataki kabisa kukosolewa na Mtu yoyote yule. Yeye alikuwa anataka Asifiwe tu lakini siyo kukosolewa. Wale Watu ambao walithubutu kukosoa Utawala wake waliishia kutekwa, kupotezwa, kuwekewa sumu, kutiwa misukosuko mibaya ya kufungwa gerezani na/au kuuawa.
Raia wengi sana wa Zaire waliitoroka nchi hiyo na kukimbilia kwenda kuishi katika nchi zingine za ugenini, Zaire (DRC) kwa Sasa ni miongoni mwa nchi chache za Afrika zenye diaspora wengi sana hapa duniani, chanzo chake hasa ni hiki cha kuwepo kwa tatizo la Utawala mbaya wa Kidikteta katika nchi hiyo.

Kumkosoa Dikteta Mobutu Sese Seko ilikuwa ni kujikatia tiketi ya kifo nchini Zaire.
 
Mnavyo iombea mabaya Tz, halafu ndio kwanza Mungu anaibariki CCM inazidi kutawala nchi, hakuna maandamano hakuna kelele wapinzani wote wameufyata wamebaki kutukanana wenyewe kwa wenyewe kisa uenyekit πŸ€£πŸ’©
Muda utaongea. Uzuri humu JF nyuzi zinaishi.
 
Kabisa tatizo kubwa la nchi hii sasa sio kingine ni CCM na mfumo waliokwisha ujenga. Jamani tuondokane na genge hili mapema iwezekanavyo la sivyo...
 
Mkuu nimekuelewa vizuri ila ondoa ukabila Congo kinachotokea sio ukabila wale jamaa wanachopigania kwa sasa kule haina uhusiano kabisa na ukabila, swali langu hao kanda ya Ziwa unaowasema wana Jeshi kubwa kiasi gani kulishinda Jeshi la CCM? Acheni kuota mchana
 
Kwa hiyo leo mnasema kabisavJWTZ ni jeshi la CCM?

Uzuri na wao wanasoma wanaona mlipofikia CCM.

Muda utaongea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…