Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Hayo uliyoandika,

Yanajibu swali lililoulizwa katika mada hapo juu?

Naona umeamua kuandika ulichokaririshwa!!


Katika Agano Jipya la Biblia, Yesu (AS) alijiita “mwana wa Adamu” (mwanadamu).

Hakuwahi kuwa na elimu, wala uwezo wowote wa Kimungu ule wa MUNGU. Yesu (pbuh) hakuwahi kujitosheleza au kujua yote na muhimu zaidi alimwomba MUNGU, kwa hiyo hii inatosha kusema kwamba yeye hakuwa Mungu wala Mungu hakushuka duniani kuwa Yesu.

Jambo moja ambalo Wakristo wengi hawaelewi kuhusu Mungu ni kwamba Asili Yake ya Uungu, Maarifa, Uwezo, na Sifa zake ni bora zaidi kuliko asili ya Uumbaji Wake.

Wakristo wengi watasema kwa majivuno kwamba MUNGU anaweza kuwa chochote anachotaka ili tu kuhalalisha njia yao ya kufikiri, lakini itikadi hii inapingana na Asili Yake na usemi wa Ubinafsi uliotangazwa katika Hesabu 23:19 kuhusu jinsi Yeye si mwanadamu, wala “mwana wa Adamu” !

Ikiwa MUNGU Mwenyewe anasema Yeye si “mwana wa Adamu” huku Yesu (AS) anadai kwa uwazi kuwa ni “mwana wa Adamu”, basi hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba wao hawako sawa .

MUNGU hawezi kuwa kinyume na alivyo!

Natumai kwa uthibitisho huu kwamba Wakristo watatumia ufahamu huu kwa akili na moyo wazi kwamba hakuna wakati wowote MUNGU aliwahi kuwa mtu asiye na uwezo duniani na kupoteza Asili yake ya Uungu kwa miaka 33 bila kuwa na uwezo wa kiungu.

Dunia ikiendeshwa na nani ??
 
Kumbe makobazi yanajibu mada hiyo hapo juu ??

Kwanini lisijibu , ulikaa ukatafakari ??

Soma bila jaziba utaelewa tu kwamba Yesu si Mungu wala hamna mahali alijiita Mungu wala hakuna mahali alimwambia mtu yeyote amwabudu yeye .

Yesu aliomba mwongozo katika mahali pa faragha - "Kesho yake asubuhi, kukiwa bado na giza, Yesu aliamka, akatoka nyumbani, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akasali." [Marko 1:35]

"Lakini mara nyingi Yesu aliondoka kwenda mahali pasipokuwa na watu na kusali." [Luka 5:16]

• Yesu aliombea wanafunzi wake na waamini wote -“Baba Mtakatifu (MUNGU), uwalinde kwa nguvu ya jina lako—jina ulilonionyesha—ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja” [Yohana 17:11]. ].

• Yesu aliomba kwa sifa kwa Mungu, Baba – “Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakusifu, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na hekima. kujifunza, na kuwafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

• Yesu aliomba kwa mkao na kwa mtazamo wa kunyenyekea kwa uchaji – “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke. Lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe” (Mathayo 26:39).
Narudia kukuuliza,

Huwezi kujibu swali la mada hapo juu kupitia quotes nilizoweka hapo juu?

Unadhani ninaweza Kutoka nje ya mada kukujibu nje ya mada, ilhal nimeuliza swali?
 
Narudia kukuuliza,

Huwezi kujibu swali la mada hapo juu kupitia quotes nilizoweka hapo juu?

Unadhani ninaweza Kutoka nje ya mada kukujibu nje ya mada, ilhal nimeuliza swali?

Mimi sijatoka kwenye mada au makobazi hayatoki kwenye mada ??

Ongeza na hii


YESU (SAW) SI SAWA NA MUNGU, KWA HIYO SI MUNGU!

Yesu (AS) alisema, “Mimi siwezi kunena neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki; kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.” [Yohana 5:30]

Tafsiri nyingine ya aya hiyo hiyo:

Yesu (AS) alisema, “Mimi mwenyewe siwezi kufanya LOLOTE; Ninahukumu kama nisikiavyo tu, na hukumu yangu ni ya haki, kwa maana sitafuti kuipendeza nafsi yangu, bali kumpendeza yeye aliyenituma. [Yohana 5:30]

Yesu (AS) alisema, “Baba ni mkuu kuliko mimi.” [Yohana 14:28]
 
Katika Agano Jipya la Biblia, Yesu (AS) alijiita “mwana wa Adamu” (mwanadamu).

Hakuwahi kuwa na elimu, wala uwezo wowote wa Kimungu ule wa MUNGU. Yesu (pbuh) hakuwahi kujitosheleza au kujua yote na muhimu zaidi alimwomba MUNGU, kwa hiyo hii inatosha kusema kwamba yeye hakuwa Mungu wala Mungu hakushuka duniani kuwa Yesu.

Jambo moja ambalo Wakristo wengi hawaelewi kuhusu Mungu ni kwamba Asili Yake ya Uungu, Maarifa, Uwezo, na Sifa zake ni bora zaidi kuliko asili ya Uumbaji Wake.

Wakristo wengi watasema kwa majivuno kwamba MUNGU anaweza kuwa chochote anachotaka ili tu kuhalalisha njia yao ya kufikiri, lakini itikadi hii inapingana na Asili Yake na usemi wa Ubinafsi uliotangazwa katika Hesabu 23:19 kuhusu jinsi Yeye si mwanadamu, wala “mwana wa Adamu” !

Ikiwa MUNGU Mwenyewe anasema Yeye si “mwana wa Adamu” huku Yesu (AS) anadai kwa uwazi kuwa ni “mwana wa Adamu”, basi hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba wao hawako sawa .

MUNGU hawezi kuwa kinyume na alivyo!

Natumai kwa uthibitisho huu kwamba Wakristo watatumia ufahamu huu kwa akili na moyo wazi kwamba hakuna wakati wowote MUNGU aliwahi kuwa mtu asiye na uwezo duniani na kupoteza Asili yake ya Uungu kwa miaka 33 bila kuwa na uwezo wa kiungu.

Dunia ikiendeshwa na nani ??
Umeelewa swali la HOJA hapo juu?

Mbona kama una CD au desa umemezeshwa?

Jadili HOJA inayouliza juu ya uwepo wa KITI Cha enzi Mbinguni na aketiye kuwa na mfano wa mwanadamu!!

Ikiwa huna jibu, Rudi Kwa aliyekukaririsha uliyoandika, akusaidie kujibu uje tujadiliane.
 
Umeelewa swali la HOJA hapo juu?

Mbona kama una CD au desa umemezeshwa?

Jadili HOJA inayouliza juu ya uwepo wa KITI Cha enzi Mbinguni na aketiye kuwa na mfano wa mwanadamu!!

Ikiwa huna jibu, Rudi Kwa aliyekukaririsha uliyoandika, akusaidie kujibu uje tujadiliane.

Makobazi umeyanyakuwa wewe mbona huelewi ??

Ongeza na hii

YESU (SAW) ALIMUOMBA MUNGU, JE, MUNGU ANAJIOMBEA MWENYEWE?

• Yesu aliomba - “Asubuhi na mapema, kukiwa bado na giza, Yesu aliamka, akatoka nyumbani, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akasali. [Marko 1:35]

"Lakini mara nyingi Yesu aliondoka kwenda mahali pasipokuwa na watu na kusali." [Luka 5:16]

• Yesu aliombea wanafunzi wake na waamini wote -“Baba Mtakatifu (MUNGU), uwalinde kwa nguvu ya jina lako—jina ulilonionyesha—ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja” [Yohana 17:11]. ].

• Yesu aliomba kwa sifa kwa Mungu, Baba – “Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakusifu, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na hekima. kujifunza, na kuwafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

• Yesu aliomba kwa mkao na kwa mtazamo wa kunyenyekea kwa uchaji – “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke. Lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe” (Mathayo 26:39).

• Yesu aliomba katika nyakati za uchungu – “Naye, akiwa katika dhiki, akazidi kuomba kwa bidii, na jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka chini. [Luka 22:44]

YESU (SAW) ANA MUNGU, KWA HIYO SI MUNGU!

“Yesu akamwambia, Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu; na kwa Mungu wangu, na Mungu wenu.” [Yohana 20:17]

“Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo…” (1 Petro 1:3)

“Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na elimu, ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

Yesu (AS) alisema, “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]

"Yesu akawajibu, akasema, Mafundisho yangu si yangu, bali ni yake yeye aliyenipeleka." [Yohana 7:16]
 
Kumbe makobazi yanajibu mada hiyo hapo juu ??

Kwanini lisijibu , ulikaa ukatafakari ??

Soma bila jaziba utaelewa tu kwamba Yesu si Mungu wala hamna mahali alijiita Mungu wala hakuna mahali alimwambia mtu yeyote amwabudu yeye .

Yesu aliomba mwongozo katika mahali pa faragha - "Kesho yake asubuhi, kukiwa bado na giza, Yesu aliamka, akatoka nyumbani, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akasali." [Marko 1:35]

"Lakini mara nyingi Yesu aliondoka kwenda mahali pasipokuwa na watu na kusali." [Luka 5:16]

• Yesu aliombea wanafunzi wake na waamini wote -“Baba Mtakatifu (MUNGU), uwalinde kwa nguvu ya jina lako—jina ulilonionyesha—ili wawe na umoja kama sisi tulivyo na umoja” [Yohana 17:11]. ].

• Yesu aliomba kwa sifa kwa Mungu, Baba – “Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakusifu, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na hekima. kujifunza, na kuwafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

• Yesu aliomba kwa mkao na kwa mtazamo wa kunyenyekea kwa uchaji – “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke. Lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe” (Mathayo 26:39).
Jaribu kujikita kwenye mada, jibu yafuatayo:

1. Mbinguni Kuna KITI Cha enzi?

2. Aketiye katika KITI Cha enzi ana mwonekano/ mfano wa mwanadamu?

Karibu🙏
 
Makobazi umeyanyakuwa wewe mbona huelewi ??

Ongeza na hii

YESU (SAW) ALIMUOMBA MUNGU, JE, MUNGU ANAJIOMBEA MWENYEWE?

• Yesu aliomba - “Asubuhi na mapema, kukiwa bado na giza, Yesu aliamka, akatoka nyumbani, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akasali. [Marko 1:35]

"Lakini mara nyingi Yesu aliondoka kwenda mahali pasipokuwa na watu na kusali." [Luka 5:16]

• Yesu aliombea wanafunzi wake na waamini wote -“Baba Mtakatifu (MUNGU), uwalinde kwa nguvu ya jina lako—jina ulilonionyesha—ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja” [Yohana 17:11]. ].

• Yesu aliomba kwa sifa kwa Mungu, Baba – “Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakusifu, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na hekima. kujifunza, na kuwafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

• Yesu aliomba kwa mkao na kwa mtazamo wa kunyenyekea kwa uchaji – “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke. Lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe” (Mathayo 26:39).

• Yesu aliomba katika nyakati za uchungu – “Naye, akiwa katika dhiki, akazidi kuomba kwa bidii, na jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka chini. [Luka 22:44]

YESU (SAW) ANA MUNGU, KWA HIYO SI MUNGU!

“Yesu akamwambia, Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu; na kwa Mungu wangu, na Mungu wenu.” [Yohana 20:17]

“Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo…” (1 Petro 1:3)

“Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na elimu, ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

Yesu (AS) alisema, “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]

"Yesu akawajibu, akasema, Mafundisho yangu si yangu, bali ni yake yeye aliyenipeleka." [Yohana 7:16]
Haya yote Yako nje ya mada hapo juu,

Ni sawa Mimi nianze kukuuliza kuwa, kwanini mudi aliamua kumsilimisha shetani na majini Kisha wajumuike pamoja katika swala pamoja na wanadamu?

Hapo nitakuwa nimetoka nje ya mada.

Jibu maswali yaliyoulizwa na mtoa mada Ili tubaki kwenye mstari.

Karibu 🙏
 
Haya yote Yako nje ya mada hapo juu,

Ni sawa Mimi nianze kukuuliza kuwa, kwanini mudi aliamua kumsilimisha shetani na majini Kisha wajumuike pamoja katika swala pamoja na wanadamu?

Hapo nitakuwa nimetoka nje ya mada.

Jibu maswali yaliyoulizwa na mtoa mada Ili tubaki kwenye mstari.

Karibu 🙏

Tuzidi kuyauliza makobazi uliyosema yalindwe , nayo yanajibu

Ni kwa sababu yesu si Mungu na hajawahi kusema yeye ni Mungu kama biblia inavyosema

MUNGU SI MWANADAMU WALA SI MWANA WA MWANADAMU (BINADAMU), HIVYO YESU (SAW) SI MUNGU!

“Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza? [Hesabu 23:19]

"Uchi wako utafunuliwa, naam, aibu yako itaonekana; nitalipiza kisasi, wala sitakutana nawe kama mwanadamu." [Isaya 47:3]

Yesu (AS) ni “Mwana wa Adamu” (Binadamu).

Hakuna mstari mmoja wa Biblia, Agano la Kale au Jipya, unaosema kwamba Mungu Mwenyezi, Aliye Juu Zaidi, ni mwanadamu, aliyewahi kutamani kuwa mwanadamu, au aliyekusudiwa kuwa mwanadamu!

Kwa kweli, alisema kinyume kabisa. "Mungu si mwanadamu".

Yesu anaitwa “mwana wa Adamu” mara 84 katika Injili.

Mungu alimwita Ezekieli “mwana wa Adamu” mara 90 katika kitabu cha Ezekieli.


“Enyi watu wa Israeli, sikilizeni maneno haya; Yesu wa Nazareti, mtu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa miujiza na maajabu na ishara, Mungu alizozifanya kwa yeye kati yenu, kama ninyi wenyewe mjuavyo.” [Matendo 2:22]
 
Tuzidi kuyauliza makobazi uliyosema yalindwe , nayo yanajibu

Ni kwa sababu yesu si Mungu na hajawahi kusema yeye ni Mungu kama biblia inavyosema

MUNGU SI MWANADAMU WALA SI MWANA WA MWANADAMU (BINADAMU), HIVYO YESU (SAW) SI MUNGU!

“Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza? [Hesabu 23:19]

"Uchi wako utafunuliwa, naam, aibu yako itaonekana; nitalipiza kisasi, wala sitakutana nawe kama mwanadamu." [Isaya 47:3]

Yesu (AS) ni “Mwana wa Adamu” (Binadamu).

Hakuna mstari mmoja wa Biblia, Agano la Kale au Jipya, unaosema kwamba Mungu Mwenyezi, Aliye Juu Zaidi, ni mwanadamu, aliyewahi kutamani kuwa mwanadamu, au aliyekusudiwa kuwa mwanadamu!

Kwa kweli, alisema kinyume kabisa. "Mungu si mwanadamu".

Yesu anaitwa “mwana wa Adamu” mara 84 katika Injili.

Mungu alimwita Ezekieli “mwana wa Adamu” mara 90 katika kitabu cha Ezekieli.


“Enyi watu wa Israeli, sikilizeni maneno haya; Yesu wa Nazareti, mtu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa miujiza na maajabu na ishara, Mungu alizozifanya kwa yeye kati yenu, kama ninyi wenyewe mjuavyo.” [Matendo 2:22]
Hapo unakuja vizuri kwenye mada.

Tuanzie, Tuanzie kitabu Cha (Mwanzo 1:26-28)

Na tuumbe mtu Kwa sura yetu, Kwa Mfano wetu.

Huyo mtu aliyeumbwa Kwa Mfano wa Mungu ni yupi huyo?

Na Mungu mwenye mfano wa mtu ni nani huyo?

Na ndipo swali lilipotokea kumhusisha na (Isaya 6:1-10), anamwona BWANA MUNGU ameketi katika KITI Cha enzi amezungukwa na maserafi na viumbe vya kiroho Mbinguni,

Na Mungu huyo, alikuwa na mwonekano kama mwanadamu, ana mikono, macho nk nk.

Tujikite hapo Kwa mjadala, karibu 🙏
 
Salaam, shalom!!

( Isaya 6:1-10), Mwanzo 1:26-28). (Matendo 9:4)

Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.

Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.

Ni nani huyo?

Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?

Karibuni 🙏

Reference: (Isaiah 6:1-10), (Genesis 1:26-28.).


Je, MUNGU aliwahi kuonekana katika umbo la mwanadamu kwa yeyote?

Je, Mwenyezi Mungu Mtukufu alipozungumza na Mitume kama Musa, Ibrahimu na wengineo, ambayo yameandikwa katika Biblia na Kurani Tukufu, je, alionekana katika umbo halisi la mwanadamu?

Kwa uaminifu kabisa, haijalishi.

MUNGU Mwenyezi anaweza kuonekana kama mbwa, paka, ng'ombe au mwamba akitaka.

Kwa hivyo haihusu kutowezekana kwa MUNGU kujifanya, lakini je, MUNGU Mwenyezi angejifanya?

Kwa mfano, je, sasa hivi MUNGU Mweza-Yote anamtokea mtu fulani au viumbe vingine, kama wanyama au wadudu na kuzungumza nao moja kwa moja?

Hakika hakuna lisilowezekana kwa MUNGU. Lakini angefanya hivyo?


He actually wouldn't (unless He purposefully wants to thoroughly deceive certain people as the Bibles' elaborate on on the topic of the Bibles' lying spirits that GOD Almighty sends to deceive false people) because that would make mighty creations of GOD Almighty be mistaken for Him, as is the case with the polytheist trinitarian pagans.

Biblia zenyewe zinajibu swali hili la msingi:

Kutoka 6:3
3. Nalimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, lakini kwa jina langu, BWANA, sikujidhihirisha kwao kabisa.

Hesabu 23:19
19 Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza?

MUNGU si mwanadamu wa damu na nyama (Hesabu 23:19).


Yuda 8:16
Usijaribu kuyafunga makusudi ya Bwana, Mungu wetu; kwa maana Mungu si kama mwanadamu, kutishwa, wala si kama mwanadamu ili avutwe kwa kusihi.
 
Je, MUNGU aliwahi kuonekana katika umbo la mwanadamu kwa yeyote?

Je, Mwenyezi Mungu Mtukufu alipozungumza na Mitume kama Musa, Ibrahimu na wengineo, ambayo yameandikwa katika Biblia na Kurani Tukufu, je, alionekana katika umbo halisi la mwanadamu?

Kwa uaminifu kabisa, haijalishi.

MUNGU Mwenyezi anaweza kuonekana kama mbwa, paka, ng'ombe au mwamba akitaka.

Kwa hivyo haihusu kutowezekana kwa MUNGU kujifanya, lakini je, MUNGU Mwenyezi angejifanya?

Kwa mfano, je, sasa hivi MUNGU Mweza-Yote anamtokea mtu fulani au viumbe vingine, kama wanyama au wadudu na kuzungumza nao moja kwa moja?

Hakika hakuna lisilowezekana kwa MUNGU. Lakini angefanya hivyo?


He actually wouldn't (unless He purposefully wants to thoroughly deceive certain people as the Bibles' elaborate on on the topic of the Bibles' lying spirits that GOD Almighty sends to deceive false people) because that would make mighty creations of GOD Almighty be mistaken for Him, as is the case with the polytheist trinitarian pagans.

Biblia zenyewe zinajibu swali hili la msingi:

Kutoka 6:3
3. Nalimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, lakini kwa jina langu, BWANA, sikujidhihirisha kwao kabisa.

Hesabu 23:19
19 Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza?

MUNGU si mwanadamu wa damu na nyama (Hesabu 23:19).


Yuda 8:16
Usijaribu kuyafunga makusudi ya Bwana, Mungu wetu; kwa maana Mungu si kama mwanadamu, kutishwa, wala si kama mwanadamu ili avutwe kwa kusihi.
Umesoma( Isaya 6:1-10)? Na Mwanzo 1:26-28)

Mtu aliyeumbwa aliye mfano wa Mungu ni yupi?

BWANA Mungu ameonekana Kwa Mfano wa mwanadamu ameketi katika KITI Cha enzi Mbinguni katika kitabu Cha Isaya.

Hapo ndipo swali lilipo!!

Tujadili hapo🙏
 
Umesoma( Isaya 6:1-10)? Na Mwanzo 1:26-28)

Mtu aliyeumbwa aliye mfano wa Mungu ni yupi?

BWANA Mungu ameonekana Kwa Mfano wa mwanadamu ameketi katika KITI Cha enzi Mbinguni katika kitabu Cha Isaya.

Hapo ndipo swali lilipo!!

Tujadili hapo🙏

Kwa hivyo aya zote hizi ni uongo isaya ndiye mkweli ??

John 1:18

"No man hath seen God at any time,"

Kutoka 6:3
3. Nalimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, lakini kwa jina langu, BWANA, sikujidhihirisha kwao kabisa.

Hesabu 23:19
19 Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza?

MUNGU si mwanadamu wa damu na nyama (Hesabu 23:19).


Yuda 8:16
Usijaribu kuyafunga makusudi ya Bwana, Mungu wetu; kwa maana Mungu si kama mwanadamu, kutishwa, wala si kama mwanadamu ili avutwe kwa kusihi.
 
Kwa hivyo aya zote hizi ni uongo isaya ndiye mkweli ??

Kutoka 6:3
3. Nalimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, lakini kwa jina langu, BWANA, sikujidhihirisha kwao kabisa.

Hesabu 23:19
19 Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza?

MUNGU si mwanadamu wa damu na nyama (Hesabu 23:19).


Yuda 8:16
Usijaribu kuyafunga makusudi ya Bwana, Mungu wetu; kwa maana Mungu si kama mwanadamu, kutishwa, wala si kama mwanadamu ili avutwe kwa kusihi.
Jikite kwenye mada.

Vitabu nilivyoquote kuuliza swali ni (Mwanzo 1:26-28) na( Isaya 6:1-10)

Je Kuna KITI Cha enzi Mbinguni?

Je Isaya Alimwona BWANA Mungu katika mwonekano wa mwanadamu akiwa amekaa katika KITI Cha enzi?

Unaamini hayo yameandikwa kwenye BIBLIA hiyo hiyo unayoitumia kuquote maandiko mengine Kwa HOJA nje ya mada?

Karibu 🙏
 
Jikite kwenye mada.

Vitabu nilivyoquote kuuliza swali ni (Mwanzo 1:26-28) na( Isaya 6:1-10)

Je Kuna KITI Cha enzi Mbinguni?

Je Isaya Alimwona BWANA Mungu katika mwonekano wa mwanadamu akiwa amekaa katika KITI Cha enzi?

Unaamini hayo yameandikwa kwenye BIBLIA hiyo hiyo unayoitumia kuquote maandiko mengine Kwa HOJA nje ya mada?

Karibu 🙏

Kwanza nani aliandika hiyo Mwanzo na hiyo Isaya ??
 
Kwanza nani aliandika hiyo Mwanzo na hiyo Isaya ??
Unajaribu kuondoa vitabu vya Mwanzo na Isaya Kwa sababu vimeonyesha kuwa Mungu ana mfano wa mtu, au mtu ni mfano wa Mungu,

Pia, Mbinguni Kuna KITI Cha enzi, na Yeye aketiye ni mfano wa mwanadamu?

Tujikite hapo 🙏
 
Unajaribu kuondoa vitabu vya Mwanzo na Isaya Kwa sababu vimeonyesha kuwa Mungu ana mfano wa mtu, au mtu ni mfano wa Mungu,

Pia, Mbinguni Kuna KITI Cha enzi, na Yeye aketiye ni mfano wa mwanadamu?

Tujikite hapo 🙏

Huyo ndiye aliyeandika Mwanzo na Isaya ??
 
Huyo ndiye aliyeandika Mwanzo na Isaya ??
BIBLIA ni Neno la Mungu.

BIBLIA yote imeandikwa na watumishi wake Kwa uwezo na maelekezo ya Roho MTAKATIFU.

Maandiko yote uliyoquote ni Neno la Mungu na hayapingani.

Ndio maana Leo tupo kujadili quotes hizo mbili Mwanzo 1:26-28 na Isaya 6:1-10 Ili kupata majibu ya maswali hapo juu.

Karibu 🙏
 
BIBLIA ni Neno la Mungu.

BIBLIA yote imeandikwa na watumishi wake Kwa uwezo na maelekezo ya Roho MTAKATIFU.

Maandiko yote uliyoquote ni Neno la Mungu na hayapingani.

Ndio maana Leo tupo kujadili quotes hizo mbili Mwanzo 1:26-28 na Isaya 6:1-10 Ili kupata majibu ya maswali hapo juu.

Karibu 🙏

Hujaniambia nani kaandika Mwanzo na nani kaandika Isaiah unaniambia biblia ni maneno ya Mungu .

Yaani hata Satanic Bible , Gay bible , Mormon Bible , Rsv ; douay , NIV, NWT , na maelfu ya biblia tofauti , yote ni maneno ya Mungu ??
 
Hujaniambia nani kaandika Mwanzo na nani kaandika Isaiah unaniambia biblia ni maneno ya Mungu .

Yaani hata Satanic Bible , Gay bible , Mormon Bible , Rsv ; douay , NIV, NWT , na maelfu ya biblia tofauti , yote ni maneno ya Mungu ??
Mada inasemaje hapo juu?

Je mada inauliza waandishi wa vitabu vya Mwanzo na Isaya?

Jibu swali hapo juu na ujikite kwenye mada 🙏
 
Mada inasemaje hapo juu?

Je mada inauliza waandishi wa vitabu vya Mwanzo na Isaya?

Jibu swali hapo juu na ujikite kwenye mada 🙏

Mbona huko kote unajibu lakini unakimbia kujibu, hivi sasa unakuja na mada ya hapo juu ?? au huyo ndiye kaandika Mwanzo na Isaya ??
 
Back
Top Bottom