Unaelewa nini kuhusu kushirikiana ?Hakuna ushirika hapo,
Shetani alikuja kumshtaki Ayubu kuwa Si wa Nuru ni WA upande wa Giza.
Mungu akatoa Ruhusa mashtaka yake yachunguzwe, na mwisho imethibitika Ayubu ni WA Nuru.
Sasa wale wenzio, wanaabudu pamoja na majini na mashetani, Pana Ibada hapo🤔
Mungu anaweza weza kufanya kila kitu , kwa hiyo pia anaweza asiwepo ,zingatia neno kila kitu.Mungu anaweza kufanya kila kitu haimaanishi yupo hapo hapo umekaanae yupo kiroho
Kwanini nikasome badala wewe ulete hapa hicho unachokijua mjadala uendelee?Mungu aliyekufundisha alikufundisha kupitia Spiritual Realm..?
Umejuaje kama Mungu huyo huyo sio aliyenifundisha mimi?
Hiyo Ilikuwa Debate since Early churches Mkuu..
Katafute kitabu cha Church father "Eusebian"..
Churches History kimeandika Kuhusu the debate about the canonicity of Revelation
Nikimuomba mimi wa TZ ataniskia akiombwa na wa china atamsikia sio mpaka awepo hapa nilipoKwa hiyo Mungu hayupo kila sehemu?
Kitendo cha wewe kuomba tu ni udhibitisho tosha kuwa Mungu muweza wa yote hayupo.Nikimuomba mimi wa TZ ataniskia akiombwa na wa china atamsikia sio mpaka awepo hapa nilipo
Akiamua anaweza asiwepo lakini bado haibadilishi kuwa alikuwepo kabla ya kutokuwepoMungu anaweza weza kufanya kila kitu , kwa hiyo pia anaweza asiwepo ,zingatia neno kila kitu.
Unaona mawazo ya WANADAMU haya🤔So kuna Mzee wa Siku pia Yupo??
Sasa Kama Yule Aliye Mfano wa Mwanadamu Atakalia Kiti Mzee wa Siku yeye atakuwa wapi??
Kwanza kabisa, unaelewa kuwa hizo ni hadithi za kutungwa na watu tu, si habari za kuelezea mambo yaliyo kiuhalisia?Salaam, shalom!!
Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.
Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.
Ni nani huyo?
Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?
Karibuni 🙏
Mimi nikimuomba baba yangu hela inathibitisha baba yangu hayupo?Kitendo cha wewe kuomba tu ni udhibitisho tosha kuwa Mungu muweza wa yote hayupo.
Kitabu ni Kikubwa sana kimecontain all the churches History kutoka Enzi za Mitume mpaka Miaka ya 325 na 400s AD so siwezi kuelezea Just for A small paragraph kungekuwa na Sehemu ya Kuongea kwa sauti i think ningeongea kwa AudioKwanini nikasome badala wewe ulete hapa hicho unachokijua mjadala uendelee?
Acha usanii, naona unapewa majibu yote lakini bado unaruka ruka tu.
Alizitunga bibi yako?Kwanza kabisa, unaelewa kuwa hizo ni hadithi za kutungwa na watu tu, si habari za kuelezea mambo yaliyo kiuhalisia?
Hiyo ni mada ingine, ianzishie thread ulete na ushahidi!!Kwanza kabisa, unaelewa kuwa hizo ni hadithi za kutungwa na watu tu, si habari za kuelezea mambo yaliyo kiuhalisia?
Unaelewa nini unaposikia muweza wa yote kwani baba yako ni muweza wa yote🙄Mimi nikimuimba baba yangu hela inathibitisha baba yangu hayupo?
Mungu pia ni Baba au hujui?Unaelewa nini unaposikia muweza wa yote kwani baba yako ni muweza wa yote🙄
Kuna time Hawa watu Huwa naamini hatupasi kujibizana nao🤔Mimi nikimuomba baba yangu hela inathibitisha baba yangu hayupo?
Tudi tena Kasome DanielUnaona mawazo ya WANADAMU haya🤔
Hii ni reasoning ya kitoto, anyway nitakujibu.
Kabla huyo Mzee wa siku kuamua kufanya Ujasusi wa kuvaa mwili na kuonekana kama mwanadamu Kwa KAZI ya Ukombozi wa mwanadamu alikuwepo milele. Na alijulikana na Malaika kama Mzee wa siku!!
Kwa WANADAMU waliookolewa Kwa KAZI ya msalaba watamwona akiwa na mikono iliyotobolewa misumari, na mwonekano wa kijana.
Lakini ndiye huyo huyo, Malaika na utawala wa Mbinguni uTAENDELEA kumwona vile walivyokuwa wakimwona tangu zamani kama Mzee wa siku maana KAZI ya Ukombozi ilikuwa ni special Kwa WANADAMU, Si Kwa Malaika na Serikali iliyo Mbinguni.
Karibu 🙏
Kwa nini unamuweka bibi yangu hapa?Alizitunga bibi yako?
Mbona wewe fundi wa kukariri inakuwaje ushindwe kuweka hapa hiyo mistari? Au yenyewe ndio iligoma kuingia kwa kichwa chako!.Kitabu ni Kikubwa sana kimecontain all the churches History kutoka Enzi za Mitume mpaka Miaka ya 325 na 400s AD so siwezi kuelezea Just for A small paragraph kungekuwa na Sehemu ya Kuongea kwa sauti i think ningeongea kwa Audio
Wachache wamekuelewaMajibu ya swali lako utayaweza yapata ndani ya fikra huru tu, ila ukiyatafuta humo humo kwenye box kamwe hauwezi kuyapata.
Leo Watakutukana sana Naona leo kwenye Huu uzi wamejipanga kutokana yeyeto anayepinga so Kuwa makini..Kwanza kabisa, unaelewa kuwa hizo ni hadithi za kutungwa na watu tu, si habari za kuelezea mambo yaliyo kiuhalisia?