Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.

Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.


View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Mbona kama route haijapangiliwa vizuri na ni kama haiwezekani? Imekosewa labda
Kwenda south ukiamua kupita malawi basi huwezi pita zambia na tunduma, route ya malawi unatokea kasumulu malawi msumbiji zimbabwe then south africa , labda uniambie hilo basi lita ondoka na njia moja na kurudi na njia nyingine
 
Mbona kama route haijapangiliwa vizuri na ni kama haiwezekani? Imekosewa labda
Kwenda south ukiamua kupita malawi basi huwezi pita zambia na tunduma, route ya malawi unatokea kasumulu malawi msumbiji zimbabwe then south africa , labda uniambie hilo basi lita ondoka na njia moja na kurudi na njia nyingine
Kama wamekosea ni wao, coz nimeandika kutokana na taarifa yao kwa umma, nimewasiliana nao hadi leo hawajanijibu so twende as walivyosema kama wrong/correct basi tutapata majibu siku ya kwanza ya safari, si mbali.
 
Hao nao miyeyusho walisema 30 may linaenda Johannesburg lakin mpaka leo 1 June haijulikan wataenda lini.
Kwa mtu ambaye hataki mbambambaa za Wabongo, Lusaka kuna mabasi ya Wasouth Africa wenyewe yanaitwa Translux na Greyhound, yanakwenda rout za Miji yote mikubwa ya South Africa kutokea Lusaka Zambia.

Kama hutaki longolongo nashauri mtu upande hayo mabasi, madreva wazungu hadi wahudumu wa kike kwenye mabasi ni wazungu, hakuna longolongo, route ni kutoka Lusaka to Pretoria na Jo'burg kupitia Zimbabwe au Gaborone Botswana

Lusaka to Natal Durban.

Lusaka to Cape town unapitia Namibia.
 
Hata mimi mwenyewe nimeshangaa, route ya Dar-Tunduma-Zambia-Malawi-Msumbiji-Zimbabwe-Joasberg?????
Hiyo route ni controversial. Haiwezekani Kwa kutumia basi Moja.
Hiyo Route inawezekana lkn ni unnecessary. Tunduma unaitafuta Lusaka then Chipata unaingia Malawi Lilongwe unaenda Dedza au Mwanza Kuingia Mozambique. Inawezekana kabisa lkn hii Route ni ngumu sana yaani sana
 
Uko sahihi maana wiki iliopita pale border beltbrige upande wa South Africa, immigration walitusumbua sana. Hasa baada ya kuona passport zetu za Tanzania, tumewauliza Kwa Sisi mnatukagua sana, Kuliko Mataifa mengine. Majibu Yao wanasema watanzania wengi hapa wanakamatwa Na madawa ya kulevya. Ilibidi tuwe wapole tu
Hiyo ni miaka nenda miaka Rudi ukifika hapo hasa baada ya kuvuka border ya Zimbabwe utakaguliwa hadi aibu binafsi walinikagua rusha rusha vitu dah nilitaka kugeukia palepale ila nikasema no sweat ngoja niendelee
SA ilinipa experience ya kuthamini sana nchi yangu
 
Hiyo ni miaka nenda miaka Rudi ukifika hapo hasa baada ya kuvuka border ya Zimbabwe utakaguliwa hadi aibu binafsi walinikagua rusha rusha vitu dah nilitaka kugeukia palepale ila nikasema no sweat ngoja niendelee
SA ilinipa experience ya kuthamini sana nchi yangu
Aisee noma sana
 
Hao nao miyeyusho walisema 30 may linaenda Johannesburg lakin mpaka leo 1 June haijulikan wataenda lini.
Kama walikujibu wenyewe it's okay ila kama ni watu back it wasn't miyeyusho, chuma inaingia leo usiku bondeni.
 
Niliwacheck kwenye ile namba yao wakasema watanijulisha.
Inasemekana wanamalizia kujenga ofisi.
Yaan hawa ni miyeyusho kuliko miyeyusho yenyewe mana niliwasiliana na jamaa mmoja wa huko akanaiambia anakuja bongo 15 May yaani hadi sasa hajaja yeye daily ni kunitumia tu mipicha ya mbasi wao eti nimsaidie kushare malaaabuik
 
Back
Top Bottom