Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Hili Basi lilishafika Dar au Ni utapeli Kama walioiganya wahaya kipindi kile, kwa kuwaahidi watu kua Kuna Basi jipya la rutiya bkb, wakakatisha tiketi kwa watu na kuingia mitini.
 
Hili Basi lilishafika Dar au Ni utapeli Kama walioiganya wahaya kipindi kile, kwa kuwaahidi watu kua Kuna Basi jipya la rutiya bkb, wakakatisha tiketi kwa watu na kuingia mitini.
Nakumbuka huo utapeli watu waliingizwa mkenge kiboya
 
Mkuu gari kubwa namna hiyo,Watu tumewahi enda na GX 90 wakati huo miaka ya 1998 ,Hii wakati huo ilikuwa baloon tena ni 4 cylinders na cc ilikuwa 1680
.
Tulitoka Arusha to Durban south Africa ,Tulienda na kurudi nayo na mpaka leo hiyo baloon inadunda
basi lolote linaenda hata hizo yutong au zhantong,Kikubwa ni service tu basi

Hiyo barabarani unapishana na wazungu wana pikipiki machine za kufa mtu na wana overtake kama upepo

Enzi hizo unakutana na mzungu ana mtambo wa pikipiki anakuambia ametokea Cairo anaelekea south,Ukiangalia pikipiki yenyewe jinsi ilivyoshona kwa miili ya watanzania unaweza ukashindwa kuweka mguu mchini wakati wa kushuka
Mbona kawaida sana, tatizo lipo msumbiji saivi apaeleweki
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.

Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.


View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Asante kwa taarifa.
 
Next month tutaanza kupata mrejesho kwa watakaoipanda kwenda kwa madiba.
Niko hapa kuthibitisha bus lipo, linafanya safari fresh tu, juzi limeondoka Magufuli bus terminal leo wanaingia Johannesburg, nauli ni 350,000/=

Ofisi zao upande wa Tanzania zipo Shekilango Sinza, wana ofisi Lusaka na Johannesburg.

Tunakumbushana tu wale jamaa Primitive wanataka kuendesha oparesheni Dudula jijini Johannesburg na kitongoji kinacholengwa ni Hillbrow.

Inasemekana Dawa za kulevya zinamaliza nguvu kazi yao sasa wanataka kuendesha oparesheni kwenye mizizi ya wauza Dawa za kulevya hasa kutoka Tanzania na West Africa.

Kabla ya kuanza oparesheni Dudula wameshaanza kuchoma moto mijengo wanayoishi wageni kama chaka.

Ukitumia jicho la tatu kufuatilia hali halisi hii oparesheni ina baraka zote za serikali yao.

Kama huna jambo la maana la Kukupeleka South Africa kaa kitako kwa kutulia tafuta chaka lingine, wale jamaa huwa hawatanii na wala huwa hawatishii kuweka mkwara, wakisema kitu wanafanya kweli.
 
Everything is ayoba! 👍
Sit back, relax, and enjoy the journey as we provide you with top-notch amenities, spacious seating, and a smooth ride that's second to none. 🚌😎
📞For more information, give us a call on our 24-Hour Contact Center at +27604-749-717 /+255679-956-215/ +27688768194.
Office location: Pretchard & End street Johannesburg
 
Kama huna jambo la maana la Kukupeleka South Africa kaa kitako kwa kutulia tafuta chaka lingine, wale jamaa huwa hawatanii na wala huwa hawatishii kuweka mkwara, wakisema kitu wanafanya kweli.
Vipi kwa anayetaka kwenda kusoma Masters University kubwa kubwa mfano Pretoria, Witwatersland
 
Vipi kwa anayetaka kwenda kusoma Masters University kubwa kubwa mfano Pretoria, Witwatersland
Hamna shida kabisa na utaenjoy, kwanza hautakuwepo kwenye secular ya Watanzania kuonana kila siku kupiga soga kama mpo kariakoo.

Uliwahi kusikia mtu aliyekwenda Chuo South Africa, au mchezaji mpira, au mfanyakazi official kabisa ameuwawa South Africa?

Life style ndio inayowaingiza Watanzania wengi matatizoni, hata hizo oparesheni Dudula kuna mtu yupo South Africa anazisoma tu na kuziona kwenye TV yuko safe kabisa.

Wabongo wanapenda maskani mpaka nchi za watu wawe na vijiwe vya kupiga soga.
 
Back
Top Bottom