Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Niko hapa kuthibitisha bus lipo, linafanya safari fresh tu, juzi limeondoka Magufuli bus terminal leo wanaingia Johannesburg, nauli ni 350,000/=

Ofisi zao upande wa Tanzania zipo Shekilango Sinza, wana ofisi Lusaka na Johannesburg.

Tunakumbushana tu wale jamaa Primitive wanataka kuendesha oparesheni Dudula jijini Johannesburg na kitongoji kinacholengwa ni Hillbrow.

Inasemekana Dawa za kulevya zinamaliza nguvu kazi yao sasa wanataka kuendesha oparesheni kwenye mizizi ya wauza Dawa za kulevya hasa kutoka Tanzania na West Africa.

Kabla ya kuanza oparesheni Dudula wameshaanza kuchoma moto mijengo wanayoishi wageni kama chaka.

Ukitumia jicho la tatu kufuatilia hali halisi hii oparesheni ina baraka zote za serikali yao.

Kama huna jambo la maana la Kukupeleka South Africa kaa kitako kwa kutulia tafuta chaka lingine, wale jamaa huwa hawatanii na wala huwa hawatishii kuweka mkwara, wakisema kitu wanafanya kweli.
Mkuu ukiishia Gaborone ni sh ngap?
 
Chuma Muda Huu Naiona Morogoro Inaenda Johannesburg
Baada ya hapa nyumbani kuruhusu magari kusafiri 24hrs nimependa walivyopanga ratiba yao.

Wanaondoka Dar mchana ili wakapite Zambia asubuhi hadi jioni wanaachana na Zambia, sababu hapo Zambia mabasi mwisho ni saa 2100hrs
 
Baada ya hapa nyumbani kuruhusu magari kusafiri 24hrs nimependa walivyopanga ratiba yao.

Wanaondoka Dar mchana ili wakapite Zambia asubuhi hadi jioni wanaachana na Zambia, sababu hapo Zambia mabasi mwisho ni saa 2100hrs
Nimeiona Ilipita Morogoro
Mapema Pia Tayari Inaonekana Mkombe Luxury Ruti Hii WanaendeleA Kuifanya Vema
 
Nimeiona Ilipita Morogoro
Mapema Pia Tayari Inaonekana Mkombe Luxury Ruti Hii WanaendeleA Kuifanya Vema
Ana marolinya mizigo kutoka SA kuja Tanzania so inaonekana aliona fulsa kutokana na maroli yake ya mizigo.

Nahisi atakuja hata hapa ndani (bongoland) kufanya hii biashara ya abilia. (Note this)
 
Kulikuwa na ulazima wa kupita nchi zote hizo??
Kibiashara kuna ulazima, kuna watu watashukia njiani na wengine kupanda.
Pili huwa wanatazama route salama zaidi.
Kwenda SA kuna njia sio salama, kwa mfano kupitia msumbiji
 
Chief sisi wengine huwa hatuokotezi story, naifuatilia sehemu zaidi ya moja.

Hebu kwa tahadhima pale chini ya uzi kuna link fungua uisome kupunguza mihemko.
Mkuu hali ni ngumu kwa wengi, watu wana hasira sana kutokana na hali tete, wewe samehe😂😂😂
 
Mkuu hali ni ngumu kwa wengi, watu wana hasira sana kutokana na hali tete, wewe samehe😂😂😂
Baadhi ya wadau humu ni 0 kwenye kutafuta habari ndiyo sababu.

Mfano huyu jamaa mwenye hili basi ana maroli yanafanya route ya SA to TZ muda sana na yanabeba mizigo.

So anajua apite njia gani ambayo kwake inafaida kuliko sisi wenye mawazo yasiyo na faida kwao!.
 
Kwa vile napenda kujua sehemu mbalimbali hii route Ina Unyama mwingi sana safiii....ghafla upo Maputo,ghafla upo Kaprimposhi,ghafla upo Blantyre,ghafla upo Mbanane yaàni ni rahaaaa😁😁😁
✅🙏
 
Hiyo Route inawezekana lkn ni unnecessary. Tunduma unaitafuta Lusaka then Chipata unaingia Malawi Lilongwe unaenda Dedza au Mwanza Kuingia Mozambique. Inawezekana kabisa lkn hii Route ni ngumu sana yaani sana
Kuuliza siyo ujinga! Mwanza ya wapi Mkuu?
 
Hiyo ni miaka nenda miaka Rudi ukifika hapo hasa baada ya kuvuka border ya Zimbabwe utakaguliwa hadi aibu binafsi walinikagua rusha rusha vitu dah nilitaka kugeukia palepale ila nikasema no sweat ngoja niendelee
SA ilinipa experience ya kuthamini sana nchi yangu
😀😀😀
 
Hiyo ni miaka nenda miaka Rudi ukifika hapo hasa baada ya kuvuka border ya Zimbabwe utakaguliwa hadi aibu binafsi walinikagua rusha rusha vitu dah nilitaka kugeukia palepale ila nikasema no sweat ngoja niendelee
SA ilinipa experience ya kuthamini sana nchi yangu
Vipi kama umeenda kwa usafiri wa ndege?
 
Hiyo Route inawezekana lkn ni unnecessary. Tunduma unaitafuta Lusaka then Chipata unaingia Malawi Lilongwe unaenda Dedza au Mwanza Kuingia Mozambique. Inawezekana kabisa lkn hii Route ni ngumu sana yaani sana
Mwanza tenaa????

#YNWA
 
Hamna shida kabisa na utaenjoy, kwanza hautakuwepo kwenye secular ya Watanzania kuonana kila siku kupiga soga kama mpo kariakoo.

Uliwahi kusikia mtu aliyekwenda Chuo South Africa, au mchezaji mpira, au mfanyakazi official kabisa ameuwawa South Africa?

Life style ndio inayowaingiza Watanzania wengi matatizoni, hata hizo oparesheni Dudula kuna mtu yupo South Africa anazisoma tu na kuziona kwenye TV yuko safe kabisa.

Wabongo wanapenda maskani mpaka nchi za watu wawe na vijiwe vya kupiga soga.
✅🙏
 
Back
Top Bottom