Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa Tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.

Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.


View attachment 2607382
☝🏾Interior seats πŸ’Ί
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: πŸ‘‰πŸΎ South African Bus Company now β€˜launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Malawi? Unaingilia wapi, Zambia au Msumbiji! Labda kama inaanzia Kyela kisha Zambia hata hivyo usukani unashindwa kukata kona, naona kama hii na Madiba Tour.
 
Hizi gari moja juzi kati imekulaa mzingaaa...!! Mmh hata robo faida badooo.. Wabongo mnalogaaa
 
Mleta maada kachanganya mambo,huwezi kupita malawi na zambia kwa wakati mmoja au Mozambique na zambia kwa wakati mmoja,labda basi liwe linabadilisha route,tem hii linapita Malawi via Mozambique au Zambia Via Zimbabwe
Inawezekana mdau alimaanisha linapiga duara
route
Dar ZambiaZimbabwe,Bots inaeleweka then anakanyaga kwa madiba anaibukia mozambique anakula mtwara anatokea Dar.
Swali Malawi je?
 
Inawezekana kabisa

Sema jamaa watakua wanna mabasi KILA kituo yanapokezana yaani dar to Tunduma ,abiria wanashuka wanapandishwa nyingine bila hata wao kujua yaani wanashushwa hotelini halafu tingo wanahamisha mizigo kwenye bas la aina hiyo hiyo KWA siti zile zile!

Wakifika malawi au Botswana wanapanda kingine KABISA!!hivo hivo!!
Kazi yote ya nini kuhamisha hamisha vitu,
Hayo mabasi yapo roho ya paka.
Kuna Setra huko mamtoni zinapiga hizo ruti km mchekea tu.
Madereva ndio wanabadilika.
Marcopolo moja kuna mshua anakatiza nayo toka Argentina kupita msitu wa Amazon mpaka Sao Paulo Brazil ni wiki nzima.
Njia ya tope.
Huo msoto wa njiani usiombe wenyewe washazoea.
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa Tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.

Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.


View attachment 2607382
☝🏾Interior seats πŸ’Ί
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: πŸ‘‰πŸΎ South African Bus Company now β€˜launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times

Kuna huyu hapa amekuja na Mchina ata survive kweli!!!? Mimi naona kama haya magari ni delicate sana labda ingekuwa Scania au Benz

1741003522928.png

All Tanzania buses Β·
Follow​

28 February at 19:52 Β·

https://www.facebook.com/#
Sasa classic coach Wanakuja na route ya DAR-JOHANNESBURG yaani Tanzania
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
kwenda south Africa
🌍

NAULI
DAR-JOHANNESBURG = 300, 000/= TSH au R 2000/=
Safari zinaanza
02/03/2025
Contacts
:+255682756699
:+27727103819
@sr.classic_coach
π˜Όπ™‡π™‡ π™π˜Όπ™‰π™•π˜Όπ™‰π™„π˜Ό π˜½π™π™Žπ™€π™Ž || 𝙆π™ͺπ™’π™—π™–π™©π™žπ™– π™¨π™–π™›π™–π™§π™ž
 
Kuna huyu hapa amekuja na Mchina ata survive kweli!!!? Mimi naona kama haya magari ni delicate sana labda ingekuwa Scania au Benz

View attachment 3257573

All Tanzania buses Β·​

Follow​

28 February at 19:52 Β·

Facebook – Anmelden oder Registrieren
Sasa classic coach Wanakuja na route ya DAR-JOHANNESBURG yaani Tanzania
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
kwenda south Africa
🌍

NAULI
DAR-JOHANNESBURG = 300, 000/= TSH au R 2000/=
Safari zinaanza
02/03/2025
Contacts
:+255682756699
:+27727103819
@sr.classic_coach
π˜Όπ™‡π™‡ π™π˜Όπ™‰π™•π˜Όπ™‰π™„π˜Ό π˜½π™π™Žπ™€π™Ž || 𝙆π™ͺπ™’π™—π™–π™©π™žπ™– π™¨π™–π™›π™–π™§π™ž
Kwa hiyo hadi sasa wameshaanza safari na bus lipo njiani kurudi au kwenda kwa madiba?.
 
Back
Top Bottom