MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kama kahamia CCM 2021 ina maana huyo sio mwanaCCM halisi. Ni pandikizi la mtu. Kama kuna watu wako nyuma yake wanampa kiburi wajitathmini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee sio mchovu kama unavyomfikiria, anawasemea watu waoga kama ninyi mliojichokea ki fikra!Kuna watu wakisha jichokea na maisha, wanaanza kujitafutia kudanja kwa lazima aiseeee....
mgombea urais wa cck uchaguzi ulopita alikua nani gentleman?🐒Huyo ni mwana CCM mbona mnamkana kada wenu, ukweli na CCM ni chui na digidigi
Okay sio muoga...Huyu mzee sio mchovu kama unavyomfikiria, anawasemea watu waoga kama ninyi mliojichokea ki fikra!
Na ana hoja kweli kweliApewe ulinzi asitekwe.
😄 wasimteke tu 😄Kuna watu wabishi sana🤣
Sio kila mtu ni muoga kama weweKwenye maisha, usishindane na mtu anae kuzidi nguvu na mamlaka, especially kama hakutaki haoni shida kukufutilia mbali.
Sasa kwanini urisk pumzi yako kwa mambo ambayo yanaepukika na sio ya lazima??
Kwahiyo Ni Chama cha kibaguzi maana kina "akina fulani" Na si kila mtu ana nafasi kwenye Chama. Naona Hakina tofauti Na Chadema Ile iyokuwa Chini ya Chagga boysAache kusumbua watu, yeye CCK imemshinda anakuja kuleta porojo
CCM ina wenyewe
We ni mjinga sana sio kila mtu ni muoga kama weweKuna watu wakisha jichokea na maisha, wanaanza kujitafutia kudanja kwa lazima aiseeee....
Sasa CCM mwenye nguvu ni kupenda kwake...Sio porojo ,je? Samia alichukua fomu?
Chagga boys hawajawah kuwa na chama cha siasa..Kwahiyo Ni Chama cha kibaguzi maana kina "akina fulani" Na si kila mtu ana nafasi kwenye Chama. Naona Hakina tofauti Na Chadema Ile iyokuwa Chini ya Chagga boys
bila greda hatoki mtu hapaDr Kagoma kuondolewa CCM labda itumwe excavator mashine...
He is not alone.Apewe ulinzi asitekwe.
haya maisha unatakiwa uwe kama nyegereKaazi kweli kweli.....kuna watu wabishi lol
mzee yuko sahihi anawakilisha wanaccm wengi walio nyuma yake hi ngoma bado mbichi saa100 na machawa wake asifikirie kula bila kunawaMzee hajitaki huyu. Anachezea buyu la bibi.
jibu hoja za malisahivi CCK alifukuzwa au ilikuaje mpka akawa CCM tena 🐒
tukiwa kule kitajulikanaanaenda mahakamani kupinga kitu gani kati ya hivi;
1. samia kuteuliwa kugombea urais 2025?
2. kufukuzwa kwake uanachama?
mtu wa 2021 yuko halali kabisa wakati wa miezi sita wanapewa udc na ubungeKama kahamia CCM 2021 ina maana huyo sio mwanaCCM halisi. Ni pandikizi la mtu. Kama kuna watu wako nyuma yake wanampa kiburi wajitathmini.
naona katiba inavunjwavunjwa tuDokta Malisa: "Hiki walichofanya wamevunja tena katiba"