Toka CCM washike halmashauti ya Moshi, hakuna maendeleo ni majungu, vitna na Ushoga tu... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] ila watu khaaah.kuwapa mitindo mipya ya kuwaridhisha wenza wao😀
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Hao madiwani nao ovyo tu,kwani huo ushoga ameuanza baada ya kupata umeya? Huyo anajulikana kitambo kuwa hana marinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Moshi paone tu. Pana Mambo ya ushoga Kama kisiwa fulani.
Duh. Kumbe matajiri wa Moshi wanapumzikia kwa meya. Halafu uwakute kwenye foleni ya sadaka kanisani walivyoongozana na wake zao utadhani sio wao.Hao madiwani nao ovyo tu,kwani huo ushoga ameuanza baada ya kupata umeya? Huyo anajulikana kitambo kuwa hana marinda.
SHAKA, BASHITE, CCM hakuna aliemsafi. Wote ni LAANAKUM.
Rafiki na mshirika wa jambazi Sabaya
Hiyo mijitu yenyewe inaamini hivyo, ndio maana wanadai haki yao, eti hiyo ni haki !,Kwahiyo kusimamia mashoga ndio ukweli wenyewe?
Kwa ccm hiyo ya matumizi mabaya ya pesa za uma sio hoja ya msingi ,ila ushogaLicha ya ushoga alikua na kashfa ya matumizi mabaya ya pesa za umma
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kipi Usichokijua , Shaka ameolewa Mombasa alitangaza ndoa yake kwa mbwembe nyingi kwenye magazeti. Na Bashite nae kwa tamaa zake alitoroka kwao Koromije akawekwa kimada Tabora huko.Mkuu umejuaje. Nawe humo. Hongera.
... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Ana hilux double cabin sio ford ranger...pia ana mradi wa bodaboda na daladala..Eti ford ranger 😂 umedanganywa aiaee
Jamaa anapanda boda-boda
Nchi yote ni kijani kuna haja yakuuliza jina la chama?.Tutawajua kwa matendo yao.ungetaja na chama ungeeleweka chama anachotokea meya
Nani alikua mjanja Kati Yao? Au 7ya alikua hadhiriki Mambo hayo?Rafiki na mshirika wa jambazi Sabaya
Ya kweli haya mangi[emoji848]....Moshi paone tu. Pana Mambo ya ushoga Kama kisiwa fulani.