Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

Hao madiwani nao ovyo tu,kwani huo ushoga ameuanza baada ya kupata umeya? Huyo anajulikana kitambo kuwa hana marinda.
Duh. Kumbe matajiri wa Moshi wanapumzikia kwa meya. Halafu uwakute kwenye foleni ya sadaka kanisani walivyoongozana na wake zao utadhani sio wao.
 
Kwani alienda ajaenda kwenye party, KILA sababu ni lazima iwe na chanzo
 
Mkuu umejuaje. Nawe humo. Hongera.
Kipi Usichokijua , Shaka ameolewa Mombasa alitangaza ndoa yake kwa mbwembe nyingi kwenye magazeti. Na Bashite nae kwa tamaa zake alitoroka kwao Koromije akawekwa kimada Tabora huko.
 
... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?

Umesahau dini gani huyu? Hii dini ya kussuport maushoga ya kipumbavu sana!!
 
Kasimamia ukweli hupu wakati alipiga watu na matumizi mabaya pesa
 
Back
Top Bottom