Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

Juma Raibu, aliyekuwa meya manispaa ya Moshi amesema Siku zote ukisimamia ukweli na haki huwezi baki salama, Amesema amejitahidi kadri ya uwezo wake.

Amesema Viongozi wa CCM wilaya na mkoa wamekuwa chanzo kikubwa cha mgogoro hadi kutisha wajumbe ili atolewe kwa maslahi yao. Mungu ni mwema niko salama.

Juma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga

Juma Raibu aliwahi kuwatimua wajumbe waliovaa barakoa kipindi cha COVID19 Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Ni shoga ama si shoga[kama alivyotuhumiwa]?
Alipimwa?
Majibu yalikuwaje?
Yeye alipo hojiwa alisemaje?
Naombeni video ya mahojiano yake.
 
Juma Raibu, aliyekuwa meya manispaa ya Moshi amesema Siku zote ukisimamia ukweli na haki huwezi baki salama, Amesema amejitahidi kadri ya uwezo wake.

Amesema Viongozi wa CCM wilaya na mkoa wamekuwa chanzo kikubwa cha mgogoro hadi kutisha wajumbe ili atolewe kwa maslahi yao. Mungu ni mwema niko salama.

Juma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga

Juma Raibu aliwahi kuwatimua wajumbe waliovaa barakoa kipindi cha COVID19 Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Kumbe alikana, aisee!

res ipso liqutor!
 
Back
Top Bottom