yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,520
- 4,526
Hata kama wale ndugu ni wa mchongo means ndugu wa ukwel wapo inamana mpaka leo hawana taarfa zozote za ndugu yao???Halafu wakaita Ndugu na Mke wa mchongo.
NB: Wanaweza kuplan mambo ya uongo kwa kutumia akili ila wanashindwa kutumia akili kuplan namna tunaweza kupiga hatua kimaendeleo