Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo

Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo


Taarifa kutoka Mbeya ni kuwa kijana Chaula aliyefungwa miaka miwili jela kwa kosa la kuchoma picha ya Rais Samia, na baadaye kuachiwa baada ya kuhangiwa na wananchi amechukuliwa na watu wasiyojulikana toka jana Agosti 1, 2024.

Pia soma: Shadrack Chaula, aliyechoma picha ya Rais Samia aachiwa kutoka Gerezani

Mpaka muda huu hakuna mtu ambae anajua amepelekwa wapi na simu zake zote hazipatikani!

Pia soma: Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela
Huyu si alichukuliwa na chadema walioenda kumlipia faini? Walimpeleka wapi?
 
Hao nao kama ni tanpol basi watakuwa hawana kazi ya kufanya. Wanahangaika na mambo yasiyo na tija kwa taifa. Picha si aliichora mwenyewe?
watu weusi tuna akili basi. ni ujinga tunaweza kwa ufanisi.
 
Halafu mambo kama haya wenye kimbelembele ni vinabo tu ambao hata hawajatumwa na mwenye picha kumtesa kijana wa watu.

Kuna vinuka mbupu havina kazi za kufanya vinajipa majukumu yasiokuwa yao ili tu waonekane wapo kazini na wao.

Chura Kiziwi anaweza kuwa na mapungufu mengi lakini nina hakika hawezi amrisha mateso kwa mtu kwa ajili ya maswala ya kipumbavu kama picha.
ni wajinga wanajituma kufanya huo ujinga wakidhani watapongezwa na kupandishwa vyeo na mabwana zao watawala.
 
Wakati anachoma si alikua anaona sifa ngoja akazichome vizuri sasa huko alipo.
 
Naona juhudi zile zile zilizomfanya asiendelee na upili wa awamu yake ndio hizo hizo zinatumika kumkwamisha na huyu Kwa style Ile ile!!

Kwani kama wahusika wameamua hivyo hakuna inteligent way of dealing with this without bleeding,trauma and pain to the Republicans!!?

Naaamini Kuna namna ambayo ni safe wanaweza tumia kuliko hii,kama wakitumia ubongo zaidi ya hapo!!njia hii inaumiza zaidi sio TU wahusika Bali na jamhuri inaumia coz haiwezi ruhusu maumivu Kwa watu wake ambao wametumia gharama nyingi na kubwa kuwalea!!

NDIVYO UBONGO WANGU UNAVYOWAZA JAPO SIJUI KAMA FIKRA ZANGU ZIPO SAHIHI!
 

Taarifa kutoka Mbeya ni kuwa kijana Chaula aliyefungwa miaka miwili jela kwa kosa la kuchoma picha ya Rais Samia, na baadaye kuachiwa baada ya kuhangiwa na wananchi amechukuliwa na watu wasiyojulikana toka jana Agosti 1, 2024.

Pia soma: Shadrack Chaula, aliyechoma picha ya Rais Samia aachiwa kutoka Gerezani

Mpaka muda huu hakuna mtu ambae anajua amepelekwa wapi na simu zake zote hazipatikani!

Pia soma: Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela
Aamua ni muuaji kama Magufuli
 
dongoo langu kwenu sirikali kwani I mjisumbue na harad
ali kama hio🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom