Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Wote wawili hakuna anaeenda kupoteza kazi trust me.Sheria msumeno. Amekiuka taratibu.
Alikuwa anatafuta umaarufu sasa anakwenda kupoteza kazi, mpuuzi kweli yule kijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wawili hakuna anaeenda kupoteza kazi trust me.Sheria msumeno. Amekiuka taratibu.
Alikuwa anatafuta umaarufu sasa anakwenda kupoteza kazi, mpuuzi kweli yule kijana.
Atleast, we speak same language.amefichua au alikua na visa, anaanzaje kumrekodi mtu bila sababu na pia maadili ya mtumishi hayaruhusu taarifa kuwekwa mitandaoni.
angemrekodi akapeleka kwa uongozi
Jana tumejaribu kuelezea tumetukanwa nilikuwa sijui kama griti thinkaz ni waovyo hivi mtu hajui na hataki kukubali hajuiNiliwahi kuzungumza na mwanamaabara mmoja akasema hizi rapid test zote malaria/ukimwi huwa hazitupwi mara tu zinapoexpaya.
Wanafanya kitu tukiite kukipima kipimo chenyewe. Huwa wanachukua wanatest kwa damu iliyo postive na hicho kitu halafu wanachukua kingine[cha batch hiyohiyo] wanatest kwa iliyo negative. Vikipatia kusoma basi hata kama ni mwaka umepita tangu viexpaye inaonesha bado vipo vizuri.
Na ifahamike wazi kwamba vipimo vinachofanya ni kucomfirm suspicion za dokta au kuzikataa. Na rapid test mda mwingine ni preliminary test nyingine zinafuata. Sio utaratibu lakini pia sio jambo la kutisha saaana kwa afya.
By the way vipimo vyote hata vilivyofata utaratibu kamili bado vinaweza kutoa majibu sio mfano, mbuzi na papai kuwa na korona. Wabongo hamjifunzi tu?
Kwa nini tusiwaze uwepo wa mtu wa tatu aliyerekodi?Yule dada, alijua wako wawili tu, kumbe mwenzake anamrekodi,, kwa jinsi anavyomjibu inaonyesha huyo dada alishagamkataa huyo jamaa,,
Ndo jamaa akaja n hiyo mbinu ua kumharibia kazi
Kutokujua vifaa vya kupimia vinavyofanya kazi nalo ni tatizo.Niliwahi kuzungumza na mwanamaabara mmoja akasema hizi rapid test zote malaria/ukimwi huwa hazitupwi mara tu zinapoexpaya.
Wanafanya kitu tukiite kukipima kipimo chenyewe. Huwa wanachukua wanatest kwa damu iliyo postive na hicho kitu halafu wanachukua kingine[cha batch hiyohiyo] wanatest kwa iliyo negative. Vikipatia kusoma basi hata kama ni mwaka umepita tangu viexpaye inaonesha bado vipo vizuri.
Na ifahamike wazi kwamba vipimo vinachofanya ni kucomfirm suspicion za dokta au kuzikataa. Na rapid test mda mwingine ni preliminary test nyingine zinafuata. Sio utaratibu lakini pia sio jambo la kutisha saaana kwa afya.
By the way vipimo vyote hata vilivyofata utaratibu kamili bado vinaweza kutoa majibu sio mfano, mbuzi na papai kuwa na korona. Wabongo hamjifunzi tu?
Acha uzwauzwa, yule kijana ni mzalendo na shujaa kufichua uovu unaotendeka kwenye sekta ua afya. Mbona uko hivyo? Unafurahia wagonjwa kupimwa vipimo vyeki? tena mjamzito hapo kuna watu wawili tunataka kuwadhuru au kuwaangamiza. Mkoje lakini? Au ndio roho za uchawi imekujaa.Sheria msumeno. Amekiuka taratibu.
Alikuwa anatafuta umaarufu sasa anakwenda kupoteza kazi, mpuuzi kweli yule kijana.
Unawaza ngono tu hakuna kingine. Nawaombea UKIMWI awamu ya pili mgoneke zaidiYule dada, alijua wako wawili tu, kumbe mwenzake anamrekodi,, kwa jinsi anavyomjibu inaonyesha huyo dada alishagamkataa huyo jamaa,,
Ndo jamaa akaja n hiyo mbinu ua kumharibia kazi
Ukimwi sio ugonjwa, wala sio tatizo, tatizo ni umasikini--Thabo mbekiUnawaza ngono tu hakuna kingine. Nawaombea UKIMWI awamu ya pili mgoneke zaidi
Ule ulikuwa uwongo kiwango cha SGR. Au umesahau pia viliokotwa vichwa vya treni visivyo na mwenyewe?By the way vipimo vyote hata vilivyofata utaratibu kamili bado vinaweza kutoa majibu sio mfano, mbuzi na papai kuwa na korona. Wabongo hamjifunzi tu
Kama hawana makosa mengine ya huko nyuma wanaweza kupewa karipio tu, na barua ya hiyo adhabu kuwekwa kwenye jalada la kudumu.Wote wawili hakuna anae enda kupoteza kazi trust me
Angeweza kuibua huo uovu bila kumrekodi mwenzake na kusambaza video.Acha uzwauzwa, yule kijana ni mzalendo na shujaa kufichua uovu unaotendeka kwenye sekta ua afya. Mbona uko hivyo? Unafurahia wagonjwa kupimwa vipimo vyeki? tena mjamzito hapo kuna watu wawili tunataka kuwadhuru au kuwaangamiza. Mkoje lakini? Au ndio roho za uchawi imekujaa.
Yule nesi kauli zake ni mbaya sana zinachefua. Ndugu yule mdada anaakisi sura halisi ya wanawake wa kitanzania maofisini. Mimi huwa nikimwona mhudumu ni mwanamke sazingine naahirisha huduma yenyewe kama siyo lazima.Angeweza kuibua huo uovu bila kumrekodi mwenzake na kusambaza video.
Kwani yule nesi ndiye anayenunua hivyo vipimo? Au ndio mkuu wa hiyo zahanati??
Yule jamaa ni mpuuzi tu. Kwasasa anakesi ya kuketa taharuki kwa jamii kuwa hospitali za serikali zina vifaa vilivyo expire.
Hawajafukuzwa kazi bali wameondolewa ofisini ili uchunguzi huru ufanyike.sa huyo alierekodi kafichua maovu anasimamishwa vipi, hii ndio sababu watu wanaogopa kufichua maovu na yote hii ni sababu serikali haipendi kukosolewa mapungufu yake.
Haha wabongo maboga sana.Angeweza kuibua huo uovu bila kumrekodi mwenzake na kusambaza video.
Kwani yule nesi ndiye anayenunua hivyo vipimo? Au ndio mkuu wa hiyo zahanati??
Yule jamaa ni mpuuzi tu. Kwasasa anakesi ya kuketa taharuki kwa jamii kuwa hospitali za serikali zina vifaa vilivyo expire.
Hana maadili na hajui taratibu.Huyu jamaa ipo siku atamrekodi mgonjwa nyeti na hiyo simu yake,maana anaonekana anapenda sn kurekodi