Aliyeibua uozo wa vifaa tiba Tabora asimamishwa kazi

Aliyeibua uozo wa vifaa tiba Tabora asimamishwa kazi

Kuna vitu vingine unasoma mpaka mtu unabaki dah.

Watu wanadhani care services ni sawa shughuli zao za kubangaiza walizozoea mtaani.

Huduma za afya ni heavily regulated, kitu kama akitakiwi kutumika ni marufuku. If anything alichoonesha yule nurse wa kiume yule dada huwa ana vunja miiko ya kazi.

Mjomba ingekuwa huku kijijini kwetu ‘watch dog’ wangevamia hiko kituo cha afya kuona nini kingine akifuatwi na huyo whistle blower anapewa kazi sehemu nyingi.

Technically kuna mambo mengi sana unajiuliza especially kwenye inventory control inakuwaje hadi products zina expire hawajui usage zao wananunua kushinda matumizi ya muda, how long hizo product shelf life labda wananunua sehemu za ovyo vitu ambavyo karibu vina haribika at cheap price.

Ni hivi alichokifanya huyo nurse, mziki wake ungeikumba management ya kituo kizima.

Kibongo bongo haa nurse wa kiume kanyimwa penzi ndio maana ka-record. Tunasafari ndegu sana ya maendeleo kwa akili hizi. Maendeleo yanaanza na fikra kwa hizi zetu bado sana.
 
Kuna vitu vingine unasoma mpaka mtu unabaki dah.

Watu wanadhani care services ni sawa shughuli zao za kubangaiza walizozoea mtaani.

Huduma za afya ni heavily regulated, kitu kama akitakiwi kutumika ni marufuku. If anything alichoonesha yule nurse wa kiume yule dada huwa ana vunja miiko ya kazi.

Mjomba ingekuwa huku kijijini kwetu ‘watch dog’ wangevamia hiko kituo cha afya kuona nini kingine akifuatwi na huyo whistle blower anapewa kazi sehemu nyingi.

Technically kuna mambo mengi sana unajiuliza especially kwenye inventory control inakuwaje hadi products zina expire hawajui usage zao wananunua kushinda matumizi ya muda, how long hizo product shelf life labda wananunua sehemu za ovyo vitu ambavyo karibu vina haribika at cheap price.

Ni hivi alichokifanya huyo nurse, mziki wake ungeikumba management ya kituo kizima.

Kibongo bongo haa nurse wa kiume kanyimwa penzi ndio maana ka-record. Tunasafari ndegu sana ya maendeleo kwa akili hizi. Maendeleo yana anza fikra kwa hizi zetu bado sana.
Marekebisho....hakuna kituo cha afya kinanunua dawa chenyewe bali ni kazi ya msd wao kazi yao ni ku contral inventory stock tu.
Ikiwa wana vifaa vilivyovpitwa na wakati menejimenti nzima ya kituo cvha afya i a la kujibu.
 
Shirima analiwa head
Tusubirie mkuu hili sio jambo la kawaida...kumripoti mtumishi mwenzio wakati kiongozi na msimamizi wa hivyo vifaa vibovu yupo.
Tunaweza kumuona James shujaa kumbe ugomvi wao umeanzia kwenye chupi.

James alipaswa kumface boss vifaa hivi havifai.
KAma angepuuzwa basi angefanya vinginevyo
 
Marekebisho....hakuna kituo cha afya kinanunua dawa chenyewe bali ni kazi ya msd wao kazi yao ni ku contral inventory stock tu.
Ikiwa wana vifaa vilivyovpitwa na wakati menejimenti nzima ya kituo cvha afya i a la kujibu.
Vituo vya afya dawa awapewi bure kutoka MSD wananunua.

The point hizi products zina shelf life, so unapoagiza products zenye short shelf life ni muhimu kujua rate yako ya matumizi.

Significantly ni uelewa wa madhara ya kutumia products zisizofaa, sasa kwanini products ambazo zishapita muda wake bado zipo kwenye inventory this is a serious management issue, achilia mbali mabishano ya hao nurses, kwanza huyo wa kike nchi za wenzetu hana kazi kwa kumshawishi mwenzake avunje miiko.

Ni hivi hiyo wizara Dorothy Gwajima aliiweza haya sio mambo ya kupayuka tu kuna regulations za kazi, sasa usidhanie yule nurse wa kiume alikuwa anajiropokea tu bali alikuwa anauonyesha uozo unaoendelea kwenye hiko kituo chake cha kazi patient safety sio priority kabisa.
 
wakijibishana juu ya kutumia vifaa tiba vya malaria vilivyopita muda.

Video ikionesha Nesi Mkunga na Mtaalamu wa Maabara wakizungumzia vitendea kazi vya afya



Aidha mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Uyui Tabora Tanzania amesema kuwa mabishano hayo yalionekana mtandaoni na kusababisha 'taharuki' kubwa kwa wananchi na kusema tayari uchunguzi umeanza kufanyika ili kujua chanzo cha mabishano hayo.
 
Tunapenda kutetea ujinga saana.... kwamba huyo mchukua video alishindwa kufuata taratibu za kureport??

Kumweka mtu mwingine chini Kuna solve tatizo kwa usahihi kweli.... Watu wabinafsi saana.
Kwa Tanzania, ukiripoti jambo kama lile kwa bosi wako, wataanza na wewe..!!
 
Bwana James Getogo wa Isgihimulwa Tabora amesimaishwa kazi pamoja na dada Rose Shirima kupisha uchunguzi. Wawili hao walionekana kwenye video wakijibishana juu ya kutumia vifaa tiba vya malaria vilivyopita muda.

=====

Watumishi wawili wa Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa Rose Shirima na James Getogo waliohusika kwenye video ya mabishano iliyosambaa wamesimamishwa kazi kwa muda ili kupisha uchunguzi.

Watumishi hao wamesimamishwa kazi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Uyui, Tabora Dr. Kija Maige ambaye amesisitiza kuwa wawili hawa wanapisha uchunguzi kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003.

“Uchunguzi huo utashirikisha Mabaraza yao ya kitaalamu ambayo ni Baraza la Wauguzi Tanzania na Baraza la Wataalamu wa Maabara Tanzania na hatua zaid zitafuata baada ya kukamilika kwa uchunguzi huo.
Kuwa whistleblower Tanzania ni suicide mission, hii ndio ahsante anayopata? Yule muuguzi ndio alipaswa atimuliwe kabisa sio jamaa kumsimamisha
 
Bwana James Getogo wa Isgihimulwa Tabora amesimaishwa kazi pamoja na dada Rose Shirima kupisha uchunguzi. Wawili hao walionekana kwenye video wakijibishana juu ya kutumia vifaa tiba vya malaria vilivyopita muda.

=====

Watumishi wawili wa Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa Rose Shirima na James Getogo waliohusika kwenye video ya mabishano iliyosambaa wamesimamishwa kazi kwa muda ili kupisha uchunguzi.

Watumishi hao wamesimamishwa kazi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Uyui, Tabora Dr. Kija Maige ambaye amesisitiza kuwa wawili hawa wanapisha uchunguzi kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003.

“Uchunguzi huo utashirikisha Mabaraza yao ya kitaalamu ambayo ni Baraza la Wauguzi Tanzania na Baraza la Wataalamu wa Maabara Tanzania na hatua zaid zitafuata baada ya kukamilika kwa uchunguzi huo.
Ajifunze
 
Yote kwa yote....mazoea ya vile kati ya mwanamume na mwanamke yanazalisha dharau sana sehemu za kazi........yaani Binti anamshushua kijana wa kiume kama Binti mwenzake wanagombea mabwana.....vijana wa kiume wa kiume mnatakiwa kuchunga mipaka ya kimazoea na hawa mabinti wasio na adabu......mazoea ya namna hiyo yanautweza UANAUME wake.......
 
Mfichua uovu anasimamishwa kwa minajili gani?

Is this a cognitive dissonance?
Anavuna matunda ya umbea wake, alitaka sifa kupitia mgongo wa mfanyakazi mwenzie.
Yeye apande,mwezie atoswe.
Miiko ya utumishi ni pamoja na kutunza siri za kazini.
 
Marekebisho....hakuna kituo cha afya kinanunua dawa chenyewe bali ni kazi ya msd wao kazi yao ni ku contral inventory stock tu.
Ikiwa wana vifaa vilivyovpitwa na wakati menejimenti nzima ya kituo cvha afya i a la kujibu.
Kudadeki unavotetea usiri
 
Anavuna matunda ya umbea wake,alitaka sifa kupitia mgongo wa mfanyakazi mwenzie.
Yeye apande,mwezie atoswe.
Miiko ya utumishi ni pamoja na kutunza siri za kazini.
Kudadeki usiri wenu..wewe ukiminywa kidogo tu wa kwanza kuja jf na anyonymous unashusha gazeti za thread...kwanini usikae kimya
 
Kudadeki unavotetea usiri
Mkuu sitetei lkn kuna miiko ya utumishi.
Haijalishi utafanya jambo kwa nia njema kiasi gani ukivunja miiko ya kazi ukiyoaoa kuilinda sheria hizo zitakuwajibisha.

Ushauri wangu.
Tuachane kufanya vitu vizuri ili kuwapendeza watu BALI

TUJIFUNZE KUFANYA KITU SAHIHI
 
Mkuu sitetei lkn kuna miiko ya utumishi.
Haijalishi utafanya jambo kwa nia njema kiasi gani ukivunja miiko ya kazi ukiyoaoa kuilinda sheria hizo zitakuwajibisha.

Ushauri wangu.
Tuachane kufanya vitu vizuri ili kuwapendeza watu BALI

TUJIFUNZE KUFANYA KITU SAHIHI
Kwa jina la miiko watu kibao wameumia sababu tu anakosekana mtu mwenye ujasiri wa kuvunja miiko ya usiri. Anyway endeleeni na usiri uzuri waathirika ni wewe, mimi, ndugu zako na ndugu zangu tunaoishi hapa bongo
 
Back
Top Bottom