Sidhani imerekodiwa na mmoja wao. Kuna third party.sa huyo alierekodi kafichua maovu anasimamishwa vipi, hii ndio sababu watu wanaogopa kufichua maovu na yote hii ni sababu serikali haipendi kukosolewa mapungufu yake.
Kuibua uovu ni revolution, and revolution never televised!Zipo hatua za kufuata katika kuibua maovu....Nadhani wapo viongoz katika hospitali zao na ata wilayani .Ilitakiwa afikishe malalamiko huko lakin sio kurekodi na kutuma mtandaoni....Huo sio utaratibu.
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Jamaa anaenda kupoteza kazi kamdhalilisha waziri wa Afya, katibu, Mganga Mkuu, Mkurugenzi wa Halmashauri na Menejimenti ya Hospital lazima ataliwa kichwa tu ukiangalia kosa kubwa la nesi ni kwenye lugha but kosa kubwa la jamaa ni kurekodi mambo ya ofisi na kuweka public na taratibu anazijua za kuwasilisha complaints ukiwa mtumishi wa Umma hao watu wawili wanajuana kiundani na bifu binafsi imeleta yote hayaKWa jina la miiko watu kibao wameumia sababu tu anakosekana mtu mwenye ujasiri wa kuvunja miiko ya usiri. Anyway endeleeni na usiri uzuri waathirika ni wewe, mimi, ndugu zako na ndugu zangu tunaoishi hapa bongo
Mbona mambo ya ajabu sana hayaBwana James Getogo wa Isgihimulwa Tabora amesimaishwa kazi pamoja na dada Rose Shirima kupisha uchunguzi. Wawili hao walionekana kwenye video wakijibishana juu ya kutumia vifaa tiba vya malaria vilivyopita muda.
=====
Watumishi wawili wa Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa Rose Shirima na James Getogo waliohusika kwenye video ya mabishano iliyosambaa wamesimamishwa kazi kwa muda ili kupisha uchunguzi.
Watumishi hao wamesimamishwa kazi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Uyui, Tabora Dr. Kija Maige ambaye amesisitiza kuwa wawili hawa wanapisha uchunguzi kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003.
“Uchunguzi huo utashirikisha Mabaraza yao ya kitaalamu ambayo ni Baraza la Wauguzi Tanzania na Baraza la Wataalamu wa Maabara Tanzania na hatua zaid zitafuata baada ya kukamilika kwa uchunguzi huo.
Unawaza ngono tu. Hujui hata Umuhimu wa whistle-blowers katika kufichua madudu.Yule dada, alijua wako wawili tu, kumbe mwenzake anamrekodi,, kwa jinsi anavyomjibu inaonyesha huyo dada alishagamkataa huyo jamaa,,
Ndo jamaa akaja n hiyo mbinu ua kumharibia kazi
Wote watarudi wataishia kuhamishwaHapo mmoja atarudishwa, mmoja hatarusishwa
Video imehusisha watu watu right? Hivyo muhusika Mkuu ambaye amerekodi na kutengeneza taharuki kwa umma kinyume na sheria za utumishi ndiye anatakiwa asakwe. Alitakiwa aripoti tatizo hilo kwenye proper administrative channel. Huyo ndiye asakwe na kukamatwaBwana James Getogo wa Isgihimulwa Tabora amesimaishwa kazi pamoja na dada Rose Shirima kupisha uchunguzi. Wawili hao walionekana kwenye video wakijibishana juu ya kutumia vifaa tiba vya malaria vilivyopita muda.
=====
Watumishi wawili wa Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa Rose Shirima na James Getogo waliohusika kwenye video ya mabishano iliyosambaa wamesimamishwa kazi kwa muda ili kupisha uchunguzi.
Watumishi hao wamesimamishwa kazi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Uyui, Tabora Dr. Kija Maige ambaye amesisitiza kuwa wawili hawa wanapisha uchunguzi kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003.
“Uchunguzi huo utashirikisha Mabaraza yao ya kitaalamu ambayo ni Baraza la Wauguzi Tanzania na Baraza la Wataalamu wa Maabara Tanzania na hatua zaid zitafuata baada ya kukamilika kwa uchunguzi huo.
Yaani sio kosa kwa sababu karekodiwa na colleague ila ni kosa angerekodiwa na mgonjwa, wtf...what kind of logic is this?Jamaa anaenda kupoteza kazi kamdhalilisha waziri wa Afya,katibu,Mganga Mkuu,Mkurugenzi wa Halmashauri na Menejimenti ya Hospital lazima ataliwa kichwa tu ukiangalia kosa kubwa la nesi ni kwenye lugha but kosa kubwa la jamaa ni kurekodi mambo ya ofisi na kuweka public na taratibu anazijua za kuwasilisha complaints ukiwa mtumishi wa Umma hao watu wawili wanajuana kiundani na bifu binafsi imeleta yote haya
Video ingerekodiwa na mgonjwa huyo nesi angeliwa kichwa ila sababu ni mtumishi mwenzake wa umma ndio amefanya hvyo Dada atahamishwa na jamaa ataliwa kichwa na kubaki akijutia maishani mwake huwezi dhalilisha wakubwa wako kisha wakakuacha kwa Africa hii never ever
Siri za uzembe?Anavuna matunda ya umbea wake,alitaka sifa kupitia mgongo wa mfanyakazi mwenzie.
Yeye apande,mwezie atoswe.
Miiko ya utumishi ni pamoja na kutunza siri za kazini.
Unaakisi 90% ya akili za watanzaniaYule dada, alijua wako wawili tu, kumbe mwenzake anamrekodi,, kwa jinsi anavyomjibu inaonyesha huyo dada alishagamkataa huyo jamaa,,
Ndo jamaa akaja n hiyo mbinu ua kumharibia kazi
Acha kudanganya.Zipo hatua za kufuata katika kuibua maovu....Nadhani wapo viongoz katika hospitali zao na ata wilayani .Ilitakiwa afikishe malalamiko huko lakin sio kurekodi na kutuma mtandaoni....Huo sio utaratibu.
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Hivi colonia red tape huwa ina madhara ganiAtleast, we speak same language.
Kuna taratibu za kufuata kama Kuna tatizo kama hili kazini... huyu jamaa alishindwa Nini?
Maboresho: Kituo ndo kinalipa pesa MSD kupitia account ya kituo ili wapatiwe dawa, na mzigo mnapofika Mganga Mfawidhi/Mfamasia anatakiwa kukagua mzigo wote na kujiridhisha km unaexpire hivi karibun au kuna mzigo umeexpire, zaidi kituo kinaruhusiwa kukataa mzigo huo na MSD kurudisha pesa za kituo.Marekebisho....hakuna kituo cha afya kinanunua dawa chenyewe bali ni kazi ya msd wao kazi yao ni ku contral inventory stock tu.
Ikiwa wana vifaa vilivyovpitwa na wakati menejimenti nzima ya kituo cvha afya i a la kujibu.
Hivyo kumbe ni uzembe wa kituo sio?Maboresho: kituo ndo kinalipa pesa MSD kupitia account ya kituo ili wapatiwe dawa, na mzigo mnapofika Mganga Mfawidhi/Mfamasia anatakiwa kukagua mzigo wote na kujiridhisha km unaexpire hivi karibun au kuna mzigo umeexpire, zaidi kituo kinaruhusiwa kukataa mzigo huo na MSD kurudisha pesa za kituo.
Serikali ya mama ipo kuua watu kifisadi ...sasa hivi madawa mabovu na feki yanaletwa na chwawa wa mama na kuuzwa madukani kwa matumizi ya binadamusa huyo alierekodi kafichua maovu anasimamishwa vipi, hii ndio sababu watu wanaogopa kufichua maovu na yote hii ni sababu serikali haipendi kukosolewa mapungufu yake.
Hili sakata ni ndefu sana, jamaa aliyerekodi kafanya vizuri ila amefichua mapungufu ya wengi sana, na inaweza kula sehemu kubwa, kwanza Mfamasia wa Wilaya, yeye anatakiwa kuwa na orodha ya dawa/Vifaa tiba/Vitendanishi vinavyoexpire kila kituo kila mwezi, ripoti hizo anaziomba kwa Wafamasia/Watunza store wa vituo, yeye ndo awe anakumbusha kuhusu kuziondoa store dawa/Vifaa tiba/Vitendanishi vyote vilivyoexpire.Hivyo kumbe ni uzembe wa kituo sio?
Akibaki ataharibu ushahidisa huyo alierekodi kafichua maovu anasimamishwa vipi, hii ndio sababu watu wanaogopa kufichua maovu na yote hii ni sababu serikali haipendi kukosolewa mapungufu yake.
Kwa nini tusiwaze uwepo wa mtu mwingine aliyerekodi na kusambaza?Tusubirie mkuu hili sio jambo la kawaida...kumripoti mtumishi mwenzio wakati kiongozi na msimamizi wa hivyo vifaa vibovu yupo.
Tunaweza kumuona James shujaa kumbe ugomvi wao umeanzia kwenye chupi.
James alipaswa kumface boss vifaa hivi havifai.
KAma angepuuzwa basi angefanya vinginevyo
Nonsense! Sasa serikali hii ya CCM ilitaka wajawazito wafe kwa kupimwa kutumia vifaa vilivyoisha muda? Hii ni serikali ya ajabu sijawahi kuona serikali ya ovyo kama hii hapa Ulimwenguni.Bwana James Getogo wa Ishihimulwa Tabora amesimaishwa kazi pamoja na dada Rose Shirima kupisha uchunguzi. Wawili hao walionekana kwenye video wakijibishana juu ya kutumia vifaa tiba vya malaria vilivyopita muda.
=====
Watumishi wawili wa Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa Rose Shirima na James Getogo waliohusika kwenye video ya mabishano iliyosambaa wamesimamishwa kazi kwa muda ili kupisha uchunguzi.
Watumishi hao wamesimamishwa kazi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Uyui, Tabora Dr. Kija Maige ambaye amesisitiza kuwa wawili hawa wanapisha uchunguzi kwa mujibu wa kanuni ya 37 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003.
“Uchunguzi huo utashirikisha Mabaraza yao ya kitaalamu ambayo ni Baraza la Wauguzi Tanzania na Baraza la Wataalamu wa Maabara Tanzania na hatua zaid zitafuata baada ya kukamilika kwa uchunguzi huo.