Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anatoka Mkoani unakuja kumpa pikipiki Dar. Hata hiyo miezi mi 3 alijitahidi sana.2014
Nilikuwa nazo 5 kmr MWISHO
Jun nikapigiwa simu mdogowako ANAKUJA DAR MSAIDIE PIKPIK moja aendeshe (mtotowamamdogo)
26 Sept napigiwa simu kapata ajali hatunae Tena...(3 months only)
NILIRUDI nikazikusanya nkatangaza Sana fb na jf thx that guy wa jf aliezichukua zote nilikuwa nikiona pik NAHISI israel anakuja
#mpakaleooomamamdgo haongei na mm
Nishidaa
Kiufupi kama huna haraka panda. Basi
Wengi hawana hata leseni
Mkuu Mimi tu ni Mmojawapo hujakosea.Msiwe wepesi wa kuhukumu, kuna watu wana roho nyepesi mno hawawez kabisa kuangalia ajali hasa ya mtu aliyeumia kama hivyo mana inawaathiri kisaikolojia.Mtu unaweza kukuta mwezi mzima na zaidi hilo tukio la ajali halijamtoka kichwani na linamdisturb vibaya
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Hata mimi namvua vyeo .Kwa uandishi wako huwa nadhani wewe ni mwamba,jemedari na jasiri sana. Ila kwa hilo la kutoka baru/nduki nakuvua vyeo.
Kwenye la 'Kuogopa' Maiti? Nivueni tu!!!Hata mimi namvua vyeo .
Looh dunia simama nishukeKuna Mmoja mwaka Juzi niko Tegeta Masaiti akanipita kwa Spidi Kali huku akiwa anafanya Mbwembwe ( Mikogo ) yake mbele kidogo akakutana uso kwa uso na IST kwa Hasira niliyokuwa nayo dhidi yake na ukizingatia hata Nauli ya ninakokwenda ilikuwa haijatimia nilipomkuta katupwa Mtaroni akiwa anakaribia kuiacha Dunia wala sikuhangaika nae sana nilimsachi Mfukoni nakukuta ana ' Jero ' tu Pumbavu yule na ' Condoms ' kama Mbili ambazo ' nilizikomba ' zote na kumuacha pale pale ila Simu yake nzuri sikumchukulia kwani shida yangu ilikuwa ni hiyo Nauli tu na zile ' Condoms ' nilizozibahatisha Kumkuta nazo.
Hivi ni kwanini huwa hawasikii tu hawa?
NorthgatanTatizo la boda boda huwa wanaendesha boda zao huku mawazo yakiwa wapi sijui
Tujitahidi tusichoke Kuwaelimisha 24/7.Wanasema tank la petrol lipo mbele kwahiyo ule mvuke wake unawapa wenge kwahiyo muda wote kama wamekula "KITU".
Mimi nipepunguza vyeo vyake pia, huyu mwamba nilijua hata mbinu za medani anazijua na kumsambaratisha mtu ubongo ni kitu cha kawaida, sasa kukimbia eneo la tukio bila kukusanya taarifa za kiintelijsensia inaleta ukakasi kwenye vyeo nilivyokuwa naamini anavyoHata mimi namvua vyeo .
Mzee unagongea Hadi condoms[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Mmoja mwaka Juzi niko Tegeta Masaiti akanipita kwa Spidi Kali huku akiwa anafanya Mbwembwe ( Mikogo ) yake mbele kidogo akakutana uso kwa uso na IST kwa Hasira niliyokuwa nayo dhidi yake na ukizingatia hata Nauli ya ninakokwenda ilikuwa haijatimia nilipomkuta katupwa Mtaroni akiwa anakaribia kuiacha Dunia wala sikuhangaika nae sana nilimsachi Mfukoni nakukuta ana ' Jero ' tu Pumbavu yule na ' Condoms ' kama Mbili ambazo ' nilizikomba ' zote na kumuacha pale pale ila Simu yake nzuri sikumchukulia kwani shida yangu ilikuwa ni hiyo Nauli tu na zile ' Condoms ' nilizozibahatisha Kumkuta nazo.
Wewe si umesema unaogopa majeruhi/maiti!?Kuna Mmoja mwaka Juzi niko Tegeta Masaiti akanipita kwa Spidi Kali huku akiwa anafanya Mbwembwe ( Mikogo ) yake mbele kidogo akakutana uso kwa uso na IST kwa Hasira niliyokuwa nayo dhidi yake na ukizingatia hata Nauli ya ninakokwenda ilikuwa haijatimia nilipomkuta katupwa Mtaroni akiwa anakaribia kuiacha Dunia wala sikuhangaika nae sana nilimsachi Mfukoni nakukuta ana ' Jero ' tu Pumbavu yule na ' Condoms ' kama Mbili ambazo ' nilizikomba ' zote na kumuacha pale pale ila Simu yake nzuri sikumchukulia kwani shida yangu ilikuwa ni hiyo Nauli tu na zile ' Condoms ' nilizozibahatisha Kumkuta nazo.
Hahahahah genta le generale tunakushusha Hadi kwenye ukanali .Kwenye la 'Kuogopa' Maiti? Nivueni tu!!!
Mkuu mimi binafsi sikusikia mshituko kabisa muda ule maana dereva na konda wa daladala na baadhiya abiria wanasema walishuhudia kwa macho yao akidondoka mwenyewe mpaka chini bila kugongwa na gari lolote ila ilikua ajari mbaya sana.Asante kwa Ufafanuzi wako huu ila unaposema alianguka tu Mwenyewe pale inaoneka aligongwa na Gari iliyokimbia, ikamburuta vibaya hadi ' Helmet ' nayo ikamtoka na hata Vioo vilivyopasuka vilionekana nashindwa Kukuelewa. Na Marehemu alionekana Kapasuka Kichwani na alikuwa ni pande la Mtu ( Mnene ) hivi.
Aisee, kajiua!nilikuwepo inatisha sana maana mdau alikua anatoka damu puani na mdomoni kwa kifupi amekufa kwa mateso sana mpaka inasikitisha aise na inasemekana alianguka mwenyewe bila kuguswa na gari yeyote.
Nimeshindwa kushangaa ata mimi sijui lilitokea tatizo gani la kiufundi pale ndugu.Aisee, kajiua!
Yaani bodaboda, ukiwa unaendesha gari, inabidi wewe ndiye mwenye jukumu na maisha yake, wenyewe wala hawana habari nayo.Jinsi wanavyoendesha hizo pikipiki, walio wengi hawajali maisha yao hata huwa sina haja ya kuwasikitikia. Maana wao wenyewe hawajijali na kujisikitikia