Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

2014
Nilikuwa nazo 5 kmr MWISHO
Jun nikapigiwa simu mdogowako ANAKUJA DAR MSAIDIE PIKPIK moja aendeshe (mtotowamamdogo)

26 Sept napigiwa simu kapata ajali hatunae Tena...(3 months only)

NILIRUDI nikazikusanya nkatangaza Sana fb na jf thx that guy wa jf aliezichukua zote nilikuwa nikiona pik NAHISI israel anakuja

#mpakaleooomamamdgo haongei na mm
Nishidaa

Kiufupi kama huna haraka panda. Basi
Wengi hawana hata leseni
Mtu anatoka Mkoani unakuja kumpa pikipiki Dar. Hata hiyo miezi mi 3 alijitahidi sana.
Wewe ndio wa kulaumiwa. Alitakiwa akae hata mwaka.
 
Msiwe wepesi wa kuhukumu, kuna watu wana roho nyepesi mno hawawez kabisa kuangalia ajali hasa ya mtu aliyeumia kama hivyo mana inawaathiri kisaikolojia.Mtu unaweza kukuta mwezi mzima na zaidi hilo tukio la ajali halijamtoka kichwani na linamdisturb vibaya

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Mkuu Mimi tu ni Mmojawapo hujakosea.
 
Kuna Mmoja mwaka Juzi niko Tegeta Masaiti akanipita kwa Spidi Kali huku akiwa anafanya Mbwembwe ( Mikogo ) yake mbele kidogo akakutana uso kwa uso na IST kwa Hasira niliyokuwa nayo dhidi yake na ukizingatia hata Nauli ya ninakokwenda ilikuwa haijatimia nilipomkuta katupwa Mtaroni akiwa anakaribia kuiacha Dunia wala sikuhangaika nae sana nilimsachi Mfukoni nakukuta ana ' Jero ' tu Pumbavu yule na ' Condoms ' kama Mbili ambazo ' nilizikomba ' zote na kumuacha pale pale ila Simu yake nzuri sikumchukulia kwani shida yangu ilikuwa ni hiyo Nauli tu na zile ' Condoms ' nilizozibahatisha Kumkuta nazo.
Looh dunia simama nishuke
 
Hata mimi namvua vyeo .
Mimi nipepunguza vyeo vyake pia, huyu mwamba nilijua hata mbinu za medani anazijua na kumsambaratisha mtu ubongo ni kitu cha kawaida, sasa kukimbia eneo la tukio bila kukusanya taarifa za kiintelijsensia inaleta ukakasi kwenye vyeo nilivyokuwa naamini anavyo
 
Kuna Mmoja mwaka Juzi niko Tegeta Masaiti akanipita kwa Spidi Kali huku akiwa anafanya Mbwembwe ( Mikogo ) yake mbele kidogo akakutana uso kwa uso na IST kwa Hasira niliyokuwa nayo dhidi yake na ukizingatia hata Nauli ya ninakokwenda ilikuwa haijatimia nilipomkuta katupwa Mtaroni akiwa anakaribia kuiacha Dunia wala sikuhangaika nae sana nilimsachi Mfukoni nakukuta ana ' Jero ' tu Pumbavu yule na ' Condoms ' kama Mbili ambazo ' nilizikomba ' zote na kumuacha pale pale ila Simu yake nzuri sikumchukulia kwani shida yangu ilikuwa ni hiyo Nauli tu na zile ' Condoms ' nilizozibahatisha Kumkuta nazo.
Mzee unagongea Hadi condoms[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna Mmoja mwaka Juzi niko Tegeta Masaiti akanipita kwa Spidi Kali huku akiwa anafanya Mbwembwe ( Mikogo ) yake mbele kidogo akakutana uso kwa uso na IST kwa Hasira niliyokuwa nayo dhidi yake na ukizingatia hata Nauli ya ninakokwenda ilikuwa haijatimia nilipomkuta katupwa Mtaroni akiwa anakaribia kuiacha Dunia wala sikuhangaika nae sana nilimsachi Mfukoni nakukuta ana ' Jero ' tu Pumbavu yule na ' Condoms ' kama Mbili ambazo ' nilizikomba ' zote na kumuacha pale pale ila Simu yake nzuri sikumchukulia kwani shida yangu ilikuwa ni hiyo Nauli tu na zile ' Condoms ' nilizozibahatisha Kumkuta nazo.
Wewe si umesema unaogopa majeruhi/maiti!?

Au hapo mlikuwa 'location' mkiigiza.
 
Baadhi ya Waendesha bodabida ni VIBURI mno,wacha wafe,
*sionagi uharaka unaowasababishia kupita kwa kasi katika kaupenyo pengine kadogo mno,sijui wanawahi nini ?
N.B:-UNAPOENDA KUKODI BODABODA ANGALIENI NA RIKA LA DEREVA WA CHOMBO.
 
Asante kwa Ufafanuzi wako huu ila unaposema alianguka tu Mwenyewe pale inaoneka aligongwa na Gari iliyokimbia, ikamburuta vibaya hadi ' Helmet ' nayo ikamtoka na hata Vioo vilivyopasuka vilionekana nashindwa Kukuelewa. Na Marehemu alionekana Kapasuka Kichwani na alikuwa ni pande la Mtu ( Mnene ) hivi.
Mkuu mimi binafsi sikusikia mshituko kabisa muda ule maana dereva na konda wa daladala na baadhiya abiria wanasema walishuhudia kwa macho yao akidondoka mwenyewe mpaka chini bila kugongwa na gari lolote ila ilikua ajari mbaya sana.
 
nilikuwepo inatisha sana maana mdau alikua anatoka damu puani na mdomoni kwa kifupi amekufa kwa mateso sana mpaka inasikitisha aise na inasemekana alianguka mwenyewe bila kuguswa na gari yeyote.
Aisee, kajiua!
 
Jinsi wanavyoendesha hizo pikipiki, walio wengi hawajali maisha yao hata huwa sina haja ya kuwasikitikia. Maana wao wenyewe hawajijali na kujisikitikia
Yaani bodaboda, ukiwa unaendesha gari, inabidi wewe ndiye mwenye jukumu na maisha yake, wenyewe wala hawana habari nayo.
 
Back
Top Bottom