Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

Kifupi pikipiki zetu za mchina hapa bongo ni kuwa nazo makini halafu madereva wetu ndio hivyo hata sheria hawajui. We mtu anaipepea pikipiki halafu mbaya zaidi hizo boda hazina hata ABS, tairi ikiloki wakati wa breki ya ghafla unaenda nayo chini kishujaa huku kichwa hakina helmet.

Haya ndio naona makosa mengi yanayofanywa na bodaboda wengi;
1. Kupita red light, hili ni tatizo sugu kabisa na lishaota tende
2. Kuovateki upande wa kushoto
3. Kutokufahamu nani mwenye kipaumbele cha kupita kwenye mzunguko
4. Kutovaa helmet na kuchomoa side mirrors
5. Usiku kutembelea high beam
Wanachomoa side mirrors? Kwanini?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia (natoka Baru) eneo la Tukio kwa Kiwewe na kwenda 'Kuisikilizia' Ajali kwa mbali.

Najua (Huenda) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine hivyo naomba asimulie hali nzima ilivyokuwa. Ni Ajali iliyotokea Goba Saa 1 Usiku wa leo Jumanne.

Jamani Wadogo zetu na Kaka zetu mnaoendesha hizi ' Bodaboda 'hasa' Kibiashara ' jioneeni Huruma jinsi mnavyokufa na kulemazwa hovyo kwa Ajali za Barabarani kwa Kuendesha kwa Nidhamu, kuwa Makini na kufuata sana Sheria. Taifa linawahitaji mno tu.
Mkuu ukiendesha hil dude automatically Akili inakuruka
 
Siyo Mzoefu sana wa hilo eneo kwani nilikuwa naenda ' Kumbandua ' Demu Mmoja na baada ya Tukio hilo hata ' Nyege ' zenyewe nazo zilinikimbia Mwilini na nikageuza nilipotoka.

Nadhani panaitwa sijui kwa Mpemba ambapo kutoka hapo na ile Kona ya Kuelekea Massana Hospital siyo mbali na pia kuna ATM ya CRDB na panaonekana pia ni ' Ushuani ' fulani hivi.
Gentamycine unaenda kumbandua demu kwenye mazingira anayoishi?? Unataka kuolewa wewe swahiba wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia (natoka Baru) eneo la Tukio kwa Kiwewe na kwenda 'Kuisikilizia' Ajali kwa mbali.

Najua (Huenda) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine hivyo naomba asimulie hali nzima ilivyokuwa. Ni Ajali iliyotokea Goba Saa 1 Usiku wa leo Jumanne.

Jamani Wadogo zetu na Kaka zetu mnaoendesha hizi ' Bodaboda 'hasa' Kibiashara ' jioneeni Huruma jinsi mnavyokufa na kulemazwa hovyo kwa Ajali za Barabarani kwa Kuendesha kwa Nidhamu, kuwa Makini na kufuata sana Sheria. Taifa linawahitaji mno tu.
Sasa kama ulikimbia wewe uliyepo kwenye tukio unakuja hapa kutusimlia nini ,,,wakati ulikimbia bila kutoa msahada....
 
kuna dogo pia hapa mtaani leo nimeletewa daftari la michango,maskini ni mdogo sana hata 25 hajafika.amekutana na fuso ikapita nae!yaani nimesikitika kwa maelezo ya wenzie ni kwamba fuso ilimpanda kabisa miguuni hivyo mguu mmoja kuanzia kwenye paja umekatwa!!😣huo mwingine una afadhali
Kuna mwingine kafariki kama 2 weeks alikua mafuta akapiga shimo akaingia kwenye fuso likapita nae. Hawa madogo sijui kwanini hawawi na tahadhari
 
2014
Nilikuwa nazo 5 kmr MWISHO
Jun nikapigiwa simu mdogowako ANAKUJA DAR MSAIDIE PIKPIK moja aendeshe (mtotowamamdogo)

26 Sept napigiwa simu kapata ajali hatunae Tena...(3 months only)

NILIRUDI nikazikusanya nkatangaza Sana fb na jf thx that guy wa jf aliezichukua zote nilikuwa nikiona pik NAHISI israel anakuja

#mpakaleooomamamdgo haongei na mm
Nishidaa
hataaa sikukuu ukutane na mdugu unaogopa
Kiufupi kama huna haraka panda. Basi
Wengi hawana hata leseni
Mm nina shemeji yangu katoka bush bado chalii mdogo sana, anang'ang'ani nimnunulie bodaboda, nimemkatalia katakata, ameninunia na home kahama, nashukuru dada yake muelewa akaniambia niachane nae
 
Nliona ajali mbaya ya boda.
Walikuwa wanachanga elf 2 kila mshiriki then wanaanza kufukuzana, wa kwanza anazichukua zote. Basi bwana wakawa wamechanga 3 elf 6. Wakaanza kufukuzana. Umbali wenyewe kama mita 100 tu na kurudi walipotoka. Wameondoka vizuri tu sasa kama mita 50 kulikuwa na vx zile za zamani ishapigwa ngao, imepaki pembeni mwa barabara, kulikuwa na kona ya kijinga kijinga hivi, mmoja wa nyuma sijui alijichanganya aje akaingia mzima mzima kwenye vx. Nakwambia aliishia humo akatokezea nyuma akapitiliza hadi mtaroni akiwa keshakufa tayari. Dam yake ilichuruzika nyingi umbali mrefu tu
 
Boda boda zingepigwa marufuku, kila siku ni majanga ya vifo. Usalama wake ni finyu, kwa nini ilikubaliwa kuwa njia ya kusafirisha abiria?
Tupande mwendokasi , daladala na bajaji. Kama una haraka wahi kutoka nyumbani, usiweke roho yako rehani.
 
Northgatan
Hahahahaha ntasafirisha moja pamoja na dereva wake toka bongo niipeleke huko, sipati picha kama kuna atakaekubali kupanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na hapo ndio hawajui majanga yake
 
Back
Top Bottom