Pre GE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bado hajasema atajua hajui
Ko unafurahi binadamu mwenzako kuja kupoteza uhai aisee tuna kizazi cha kimasikini cha hovyo mamluki wachumia tumbo na masikini wa kiroho na kinafsi niseme tu umezingua kushabikia ujinga na utumbo trust kama unafurahi kiasi icho huwez pata dhawabu kwa allah
 
Hapana sifurahii
 
Hilo nilitegemea
 
Wasiwasi wake tu...hajasema kuwa katishiwa bali ni hisia zake za uwoga tu.....

Dr.Malisa anatuchezea tu akili.....
 
We una akili fupi sana, kukosoa ni muhimu na Kuna nyoosha mambo
 
Na kwanini Chadema inawapiga vita wabunge wa COVID-19 na wakati wanasema waliishawafukuza uwanachama?
Walikuwa wabunge wa Sultani Mbowe mliyemtaka kwa nguvu zote CCM ili aendelee kuuharibu upinzani,sasa chuma kimeingia hakitaki ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…