Pre GE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

Pre GE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
MCH unafeli wapi? Unaogopa nini sasa.hivi kina luka mtakatifu nao waliomba na kulalamika wanaotishiwa maisha.kikubwa umesema kweli uache ukweli ujipiganie wenyewe hata kama watakuuwa
 
Chadema ikipata wabunge 10 wa kuchaguliwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2025 basi nipigwe ban JF la MAISHA. Na hata nisipopigwa ban, mimi nitaacha kuwa member wa JF na nitajiondia. Itunze post yangu kwa rejea baada ya uchaguzi.
Kwa sheria hizi za uchaguzi? unachosema ni kweli kabisa na ndicho mnachojivunia sababu mnajua hata kama watu wamewachoka lakini bado mtaiba kura,kumbuka uchavuzi alioufanya mwendazake Chadema ikaambulia mbunge mmoja, ule ulikuwa ni upuuzi wa wajinga kama wewe wanaotegemea kuiba kura na ndicho mnachojivunia
 
Kwa sheria hizi za uchaguzi? unachosema ni kweli kabisa na ndicho mnachojivunia sababu mnajua hata kama watu wamewachoka lakini bado mtaiba kura,kumbuka uchavuzi alioufanya mwendazake Chadema ikaambulia mbunge mmoja, ule ulikuwa ni upuuzi wa wajinga kama wewe wanaotegemea kuiba kura na ndicho mnachojivunia
Mkiibiwa si mnakinukisha? Au mnaogopa Polisi?
 
Unawaondoa wagombea wa upinzani unategemea nini
Unatangaza mshindi mtu mwingine unategemea nini

Kura ya mwananchi haiheshimiwi na kutiliwa maanani
Je wanaondolewa wote..?? If not..then hao wachache wanaondolewa ujue Kuna sehemu wamekosea terms and rules za tume ya uchaguzi
 
Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.

Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”

Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa

Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia

View attachment 3240687
Bob
Hili niwaambie ukweli, kukosoa jambo la mtu ni kukosoa watu wote wenye imani nao, nakukuweka ww kwenye hali mbaya. Katika eneo lolote la maisha.
Watanzania tujifunze hapa haswa vijana. Mzee huyu kakosa tu kaba na Hana Aibu.

Binadamu lazma uwe na kaba na aibu katika matendo yako narudia haswa sisi watanzania.
Kuishi na walimwengu yahitaji uvumilivu sana.
Hata wewe mwanajf leo, mtu akimsema mtu ambae wewe ni rafiki au mkaribu wako, huyo mtu kwako ni kikwazo na hafai.

Kuna watu tunawaona wako radhi wakumalize kwasababu yamapenzi yao au itikadi zao. Tunachoona drc, palestine, malawi, wakulima na wamasai, haya yote yanatengenezwa kwasababu ya utofauti wa itikadi za makundi haya.
Bwana malisa awe ametishwa au hajatishwa, tishio lake kubwa ni watu wenye mapenzi na Raisi na CCM.

Ukiwa against ukawapandisha hasira hawa, tena mbaya huwafahamu kabisa. Watakuumiza watakuua, wapo watu hapa Tanzania wako hvo haswa vijana wakisasa hawa.
Bob Marley aliwahi kusema "You Will never find Justice in the world that criminal make the rules"
 
Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.

Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”

Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa

Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia

View attachment 3240687
Hayo mambo sasa ndio hayafai mtu akitoa mawazo yake anaonekana ni Adui katika Chama !
Mambo haya yalianzia kwa awamu ya NNE ! Mpaka wengine wakapewa na vyeo kwa kuwadhalilisha wale waliokuwa na mawazo mbadala 😳 !

Jamaa alikuwa ana jifanya kama ni Kiongozi anayeruhusu freedom of expression lakini kumbe ilikuwa ni hadaa tu ,
Watu waliumizwa na wengine kudhalilishwa 😳 !
Tunaiachia KARMA ndio muamuzi 🙏🙏
 
Back
Top Bottom