Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Kabla sijakujibu labda utueleze, Burundi imeingiaje kwenye mradi ulio mpkani mwa Tanzania na Rwanda..
 
Kabla sijakujibu labda utueleze, Burundi imeingiaje kwenye mradi ulio mpkani mwa Tanzania na Rwanda..
Mkuu yawezekana nisiwe sahihi lakini kumbuka moja kati ya mito inayounda maporomoko ya maji rusumo "MTO ruvubu" chanzo chake ni Burundi.
Yawezekana isiwe sababu maalumu lakini pia umbali na ulipo mradi kwenda Burundi is less than 30km
 
Mkuu yawezekana nisiwe sahihi lakini kumbuka moja kati ya mito inayounda maporomoko ya maji rusumo "MTO ruvubu" chanzo chake ni Burundi.
Yawezekana isiwe sababu maalumu lakini pia umbali na ulipo mradi kwenda Burundi is less than 30km
Hahahah, kwahiyo miradi yote ndani ya burundi iliyondani ya mzingo wa 30km, sisi Tanzania tuna haki nayo, hahaha, ufisadi ni ufisadi tu, huyo aliyesaini abanwe atueleze vizuri, no way!! Kama ni hivyo Egypt watupe mgao wetu wa Aswan Dam maana maji yanatoka ziwani victoria, hahahah, mambo ya ajabu sana, 🀣🀣🀣
 
Hebu ngoja, mbona huyo manager wa mradi anasema Tanzania tumetoa 100% ya fedha tunayopaswa kutoa, Rwanda 50% na Burundi ndio wamepewa hela na wafadhili? Au ndio mambo ya kuingizana town?
Ndugu yangu Tindo,

Unafanya kama hujui what's going on with this administration?!! Hata SGR tunaambiwa tunagharamia kwa pesa zetu lakini hata usipoumiza kichwa utaona jinsi Deni la Taifa linavyozidi ku-shoot mwaka hadi mwaka!!

Ukiamua kuumiza kichwa utaona mikopo tuliyochukua huku na huko including Standard Chartered Bank na Credit Suisse; na hivi sasa tunaelekea kupiga goti kwa Mchina... Mchina yule yule ambae wakati Magu anaingia madarakani, alikataliwa!!

Bila kupepesa macho, mkopo unatoka Benki ya Dunia na African Development Bank!

Bank ya Dunia wenyewe hapa:-
Bank ya Dunia wanaendelea:-
The World Bank financing of a total US$340 million – US$113.30 million to each of the governments of Burundi, Rwanda and Tanzania comes from the International Development Association, the World Bank’s fund for the poorest.

Na African Development Bank hawa hapa chini:-

AfDB Board commits US $113 million to Regional Rusumo Falls Hydropower Project​

Kisha wanaendelea:-

Sasa kama wanataka kutuambia Tanzania ilikataa hilo fungu la WB na AfDB, ndo tunarudi na ule msemo maarufu wa "Akili za mbayuwayu changanya na zako" ila tu niweke sehemu ya Press Release ambayo ilitolewa June 2018 na Wasimamizi wa mradi wenyewe!

Sehemu ya hizo PR inasema:-

Sasa kama gharama za mradi ni USD 471M, na WB walitoa USD 340M na AfDB walitoa USD 121M, na hivyo kuwa 340+121 = USD 461 M, halafu tunaambiwa Tanzania tulitoa pesa zetu za ndani, ndo hapo sasa!!!

The question is: mbona kuna pungufu ya USD 10M?!!

Bila shaka hiyo USD 10M itakuwa ya feasibility study na mambo kama hayo kwa sababu nakumbuka back in 2006, AfDB walitoa, kama sikosei USD 4M
 

Mkuu nilikulewa sana, ndio maana nilisema au ndio kuingizana town pale mwisho.
 
Na mimi nakauliza, Tanzania ilikosa pesa ya kununulia switch? Labda utuambie, mradi upo kwenye mpaka wa Tanzania na Rwanda au ni mpaka wa Tanzania na burundi?
Man,

Tanzania ikose vipi pesa wakati nimeshasema mradi unagharamiwa na WB + AfDB kwa 100%?! Achana na mauongo ya wale jamaa wanaosema eti tunajenga kwa pesa zetu!!

Na gharama za mkopo zinakuwa shared equally na nchi zote 3, na umeme utakaozalishwa utakuwa shared equally na nchi zote 3... so no one country is better than another kwenye huu mradi!!

Location ya mradi ni mpaka wa Tanzania na Rwanda, lakini upo karibu zaidi na Rusumo (Rwanda) na ndio maana hata mradi wenyewe ume-adapt jina la Rusumo!!

Burundi ameingia kwa sababu, as we all know, na wenyewe wana-share Mto Kagera, lakini kwa upande mwingine, source ya mto ni ziwa lililopo Rwanda!!
 
Tanzania ina asilimia ngapi bwawa la Aswan lililopo Egypt?
 
Mbona Kagame alimwambia meko anunue bombadia na meko akanunua.
Usishangae meko kwao ni Rwanda
 
Swali sijalielewa!!
Utaelewaje IQ ndogo, kama moja ya source ya mto ni Burundi hivyo wanamgawa sawa kabisa, je Tanzania ambayo ni moja ya Source ya Mto nile, ina asilimia ngapi ya bwawa la Aswan Misri?
 
Utaelewaje IQ ndogo, kama moja ya source ya mto ni Burundi hivyo wanamgawa sawa kabisa, je Tanzania ambayo ni moja ya Source ya Mto nile, ina asilimia ngapi ya bwawa la Aswan Misri?
Look at you... hivi wakiitwa wenye IQ kubwa nawe utatoka mbele?! Kwa ujinga uliojaaliwa nao utauliza hadi maji wanayokunywa Misri, sisi ya kwetu ni asilimia ngapi kwa sababu tu source yake ni Lake Victoria!!

Nimegundua ku-argue na mtu aina yako ni kupoteza muda, na njia muafaka kwangu ni KUKUPUUZA RASMI ili uendelee kubaki na ujuha wako wa kudai switch!!
 
Hahahahah, sawa, sasa jibu swali, tuna asilimia ngapi sisi Tz kama source kwenye Aswan dam? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€·πŸ½
 
Lakini huu mradi ni wa nchi zote husika Tanzania na jirani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…