Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Tatizo ni sehemu ya juu ya mwili wa binadam( kichwa)

Tukichelewa miaka 5 tena bila katiba mpya ,miaka 10 ijayo tutashika vichwa !!

Nchi kubwa kama Tanzania haifai tena kushirikiana na vitongoji.

Tunahitaji masoko ,kule kwenye vitongoji soko ni dogo sana.
 
Kama nikweli tunatakiwa kupewa maelezo yanayojitosheleza.........then ni hatari sana hasa tukitofautiana na hao jamaa
 
Kama nikweli tunatakiwa kupewa maelezo yanayojitosheleza.........then ni hatari sana hasa tukitofautiana na hao jamaa
Tukija kugombana na huyo jamaa, hizo Switch zitatugharimu sana, haijalishi sababu za kufunga hizo switch huko
 
Najaribu kulitafakari kiufundi zaidi.Ina maana njia za kuupeleka umeme zipo mbili. Za kupeleka Rwanda na kurudisha kwetu.Kama ni hivyo Luna matumizi mabaya ta pesa,vlakini kama njia ya usafirishaji in moja ya kuupeleka Rwanda basi hizo ni porojo tu.
 
Huu ni uamuzi wa hovyo kabisa kwakuwa haukuzingatia kuwa Rwanda na Burundi ni mmadui. Ilipaswa kila kitu kiwekwe neutral country
 
Kujadili uzi kama huu ni kuudhalilisha ubongo.
Hivi inaingia akilini hiyo kweli?
Mwanaume unazuia chupi ya demu wako lkn K anakuwa nayo mwenyewe.
Switch ni kitu gani?

Halafu Taarifa ISIYO RASMI
Fogofu
 
Ni mradi wa ushirikiano baina ua nchi tatu yaani Tanzania, Rwanda na Burundi na wote wamechangia fedha. Wakizima switch na sisi tunazima mitambo ya kufua umeme...
🀣🀣
Kama wanakwenda kwenye mwezi sisi tutakwenda kwenye jua usiku kukiwa kumepoa
 
Huo uwiano unanipa mashaka

T 27%
B 27%
R 27%

  1. Project occupancy ni kubwa zaid upande gani wa nchi?
  2. Kuna % 1% extra nani anakula kijanja ... Mr. Slim?
 
smart moves kwa tz switch zilitakiwa kuwa nchi dhaifu, ambayo ni burundi, kupeleka switch Rwanda ambaye amejipambanua kama mshindani wako ni hatari kww afya ya uchumi wetu, halag hilo bwawa kama lipo upande wetu kulikuwa na ulazima gani kuchanga?? kwann tusingezalisha then wao tukawauzia hizo 27% kila mmoja?? kama ni mkopo tungeweza kukopa wote sisi, kila kitu tukimiliki sisi then wao wawe wateja tu, chakushare siku zote hakinaga afya, hatujifubzi tu mambo ya tazara na eac??
 
Ndio hapo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…