Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Nchi ya amani, tukae kimya kama inavyojulikana tanzanite inazalishwa Kenya na tukakaa kimya.
 
🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔
Bwawa liko mpakani, umeme hausafiri
Kama liko mpakani kwanini Switch zinawekwa Rwanda?
 
Afu hili bwawa linazalisha umeme kidogo sana Sidhani kama kutakuwa na impart yoyote kwa TZ.
Maana Kuna nchi tatu wote wanagawana umeme.
Kiasi kinachotengenezwa hapo ni kidogo sana.
 
Bwana linazalisha MW 80 tuu kidogo sana watatumia kagera huko huko.
Sasa sijajua watu mnapaniki nn humu.
Inategemeana na makubaliano.
Nyie Mnataka switch ikakaewapi??
Maana mpaka mpaka ni mto ,
Mnataka switch ikae mtoni??
Mbona tazara mkurigenzi ni Mzambia miaka na miaka mbona hamsemi .
 
Kwamba umeme unazalishwa alafu unasafirishwa mpaka sehemu fulani ili ndio uweze kurudi sehemu fulani ?!!!

Sibishi lakini unaweza kuniambia kwa ufupi electricity generation na distribution inavyofanya kazi ?

Yaani umeme unakuwa sio umeme mpaka ukawashwe na switch fulani ? Kwahio ukiweka na switch nyingine huku kwani ya kule itafanya kazi ? Na efficiency ni ipi kwa switch kuwa hapa au pale ?
 
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza akaweka switch ya kuwasha gari kwenye buti? Mbona mnapenda kutia watu hasira kiasi hiki?
Yote hayo yalifanywa na huyo mwendazake wenu aka intarahamwe aka mhutu....
 
Sasa wakituzimia switch kwa ugomvi wa kijinga tu, maana PK ni mtu wa visasi sana, huoni viwanda vinavyotegemea huo umeme hasa vya sukari vitapata shida sana, hiyo si ni sawa na uhujumu uchumi??!
huo mto wa rusumo umepitia rwanda burundi na tz kissha unamwaga maji ziwani wanyarwanda wanazo akili zao atuwezi kuwaburuza
 
For what I know, huo mradi sio wetu kwa 100% bali Mabeberu ndio wana-finance huo mradi kwa ajili ya Rwanda, Burundi na Tanzania!!

So, mwenye pesa zake ndo kaamua hivyo, HUTAKI, jenga mwenyewe kwa pesa zako... nyie si dona kantri bhana!!! Ukifanya hayo, ndo utaamua kuweka swichi popote pale hata kama kwenye ofisi za Lumumba!!
wtz wanadhani hayo maji niyatanzania kumbe sivio huo mto unatoka kwenye mapolomoko ya kongo kisha rwanda kisha burundi atimae ngara unamwaga ziwani ukichunguza tz ndio inayo faidika zaidi
 
Yani umeme uwe wangu,main switch iwe kwa jirani? ikitokea shot nakurupuka na kukumbilia kwa jirani kumgongea geti, mlinzi nae anipige mkwara kidogo,ndio aende akamuamshe ,akiwa anagegeda inabidi usubiri amalize, wakati huo nyumba imegeuka kuwa tanuri
wako vipi?huo umeme unategemea mto rusumo mto huo unatoka rwanda unapitia burundi kisha tz huo umeme ni wenu vipi?
 
Nilichoelewa ni mradi wa kiushirika(tzed, rwanda na burundi) so, kila mmoja ameshirikishwa na kupata nafasi ya kuwa mmoja wa mradi hii ni kwa ajili ya security endapo washirika watakiuka makubaliano.

Nimeelewa mradi ulianza utekelezwaji 2014, lakin kilichonishangaza ni engineer kusifia awamu ya 5.... huu ndo upumbavu uliobakia kufutwa kwe vichwa vya wanaojiita wasomi wa nchi hii... mtu kama yule hachelewi kuchakachua data zozote zenye manufaa kwa anayemuongoza, mtu kama huyu hafai kupewa nafasi ya usimamiz wa mradi km huu kwa sababu ni rahisi hata kufanya hujuma kwa maslahi...

Vinginevyo napongeza uwepo wa mradi na tuutunze kwa msaada wenzetu watakaohudumiwa na mradi.
nimekupata viema
 
huo mto wa rusumo umepitia rwanda burundi na tz kissha unamwaga maji ziwani wanyarwanda wanazo akili zao atuwezi kuwaburuza
Sasa si kila mtu ajenge bwawa kwake, shida ipo wapi, kwanini wategemee huruma ya bwawa la Tanzania? maana ingekuwa hivyo then tuambiwe, Tz inamiliki asilimia ngapi ya bwawa la Aswan lililopo Misri?
 
Back
Top Bottom