TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Ni kweli wengine Ni kupotezea tu
 
Swala Sio muda mtu anatumia kufikia upadre issue ni kuwa kabla kuwa padre anakuwa jobless anaupata upadre akiwa jobless
Unajua padre huandaliwa toka kidato Cha kwanza?

Kwa hiyo mtoto wa darasa la Saba waweza muita jobless?
 
Unajua padre huandaliwa toka kidato Cha kwanza?

Kwa hiyo mtoto wa darasa la Saba waweza muita jobless?
Naelewa Katoliki huandaa majobless ya kuanzia kidato cha kwanza Ili baadaye wayape Job ya upadre.Kidato cha Kwanza huwa jobless!!!!
 
Naelewa Katoliki huandaa majobless ya kuanzia kidato cha kwanza Ili baadaye wayape Job ya upadre.Kidato cha Kwanza huwa jobless!!!!
"Unaandaa jobless ili umpe job"

Tukubaliane kutokbaliana mkuu.
 
Mwenisongole alikuwa Bank, kitu kama hicho
 
Na usifikirii wanachukuliwa wakubwa
Huwa kuna secondary za seminary baadae wanachunjwa na kuendelea kwa maandalizi ya upadri
 
Katoliki huajiri jobless wanamchukua kijana jobless wanamsomesha upadri halafu wanampa kazi ya upadri


Wako kibao wanasoma seminary za Katoliki majobless

Mapadri wengi unaowaona walkuwa majobless ajira yao ya kwanza ni upadri
Naona unatamani ukristu ufe. Kwamba Kanisa litegemee watu kuacha ajira zao somewhere ndo waende kuwa viongozi wa Kanisa? Wasipoacha kazi je?
 
Alikuwa kiongoz mkubwa serikali I?
Una uhakika
Alikuwa na cheo Gani
Mm nimewajk kunsikia alifanya kazi NBC ndio akaacha
 
Kazi nzurii pi?
usalama au?
 
Unajua ulichokiandika wewe, tutolee huu ujinga. Kwanza huyu Askofu hakuwepo madarakani alishasitaafu tangu 2008 unasemaje alitoa zawadi kwa Magufuli ushahidi unao juu ya huyu Marehemu alikuwa yeye ndo Askofu wakati huo?
Huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…