chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Umeshamsahau mama mchungaji Mara hii.Hiki kirusi kitakua ni cha kike, mbona kinapenda sana wababa!
[emoji23] Daah noma sana... Apumzike kwa amani mzee wetu hali mbaya mno yani.Mayday response here!
Heey nigga whr ar u? give location & take cover we gotta mission to accomplish do'n in this f**kng valley will b there after 2 f*n hrs. Read me?.OVER
Chukua tahadhari zote,piga nyungu doze ya kutosha.Mungu mbele.Tukimbilie wapi mkuu au tusubiri tu maana kuna watu wana vaa barakoa bado ina wabeba!
Pengine siku sio nyingi misiba ikakosa watu kwa kuhofia usalama wa afya!
Tuendelee kuchukua tahadhari na kumuomba Mungu maana giza limetanda pengine ndio pana karibia kupambazuka
Ni wachache kulingana na wababaUmeshamsahau mama mchungaji Mara hii.
Kule Moro je?
Walioana awamu hii hii Tena jamaa alikua alishampisha mpwa pale alipo mpwaHivi alizaa na Vicky? Vicky ana watoto wangapi? Maana naona nafasi ya kazi
Movie gani hii mkúu?...Maneno yanasound kama ya Jack Bauer wa 24hrs SeriesI repeat another Man down...please send a chopper...!!
Sisi siyo wanyama. Binadamu ni wastaarabu. Binadamu tuna akili. Binadamu tujajali maisha ya wengine.Kila mmoja apambane na Hali yake , kila mmoja kaumbwa kivyake , Kaja duniani kivyake, atakufa kivyake na atazikwa kivyake....hakuna wa kulaumu mwenzake
R.I.PVicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Kufunga magoli nako kunatuchosha sana. Unajua kwenye mechi wanaume lazima wafunge goli wakati wanawake sio lazima. Halafu goli la uzeeni linakula sana.Ni wachache kulingana na wababa
survival of the fittest.Only the strong will survive
Ova
Kwahiyo huyo Vicky yupo wapi au yupo Aghakan?Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Wewe unatumia TECNO unataka umlee Vicky?Mi nauwaza msambwanda wa mke wake tu,Vick Kamata,aje kwangu tu,ni mlee
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Tulia mzee ongeza juhudi za kukusanya malimau na tangawiziLo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Inawezekana alitaka aondoke yeyeVipi kwani? hakutakiwa kuondoka?
Hakuna corona TanzaniaCorona inaua, tuchukue hatua
The elders are weak. Their body immunity is low.Mbna wazee Tu , au Mungu ameamua kuwapigania vijana kivingine wapate ajira ...R.I.P mwamba , tukutane asubuhi njema ya ufufuo kama ulizichanga vizur kete hapa duniani na Mungu wako lakni..kama uliharibu basi tena