TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

Mkuu ebu tazama vidole vyako utagundua kuwa havilingani kabisa .
Ndiyo ujue kuwa hata akili hatuwezi kulingana
 
Movie gani hii mkúu?...Maneno yanasound kama ya Jack Bauer wa 24hrs Series
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii kila sehemu ambapo kichapo kikali kinatembea mpaka mastar wanajuta kuanzisha vita na kudharau maadui!! Ukute ile ambayo Maadaui ni Mashehe wenye Ak47[emoji114][emoji114][emoji114][emoji114] chuma zinazotembea humo ndani utaita chopper tu...

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Eeeh[emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 1707190
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa wazee imebdi wafunge midomo tuu mamaee...khaa kirusi hakifai magu sijui kama hatashuka nao hawa yani. Sababu mtu mwenye akili akikwambia kitu cha Kipumbavu ukakikubali Anakudharau sana yani.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
wabongo mnaakili ndogo za kipuuzi kweli kweli,kila kifo ni Corona?

kabla ya neno Corona huko mahospitalini kila siku walikua watu wakifa na kuzikwa..kila siku iendayo kwa MUNGU. Hivi hizi akili za kipumbavu namna hii mnatoa wapi?
 
Haya mambo tuyaache yalivyo! Waliachana na mke wake wa kwanza kwa vile alipata ngwengwe! Sasa ametangulia kabla yake. RIP mate
 
Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Nina hakika wewe UNA MATATIZO YA AKILI! Hivi kwako kila kifo - chanzo na sababu yake ni Corona? Kweli? Au na wewe ni kati ya wale waj**** wachache mnaolipwa vijisenti kuropokaropoka mambo ya upuuzi humu JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…