Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆hebu yatajeWanaume tuna pitiaga mengi mazito na magumu lazima titanguliye tu!
Cop'd that jus' shoot their ass az u covr 'p. Apache 'll airlift u soon. OVER.I cop that Serge, Hey Cap Abort mission call for resecure Team
Mm nimekuja kwa Baba..nakaa naye tu yaan akikohoa choz linatoka...yaan bora niondoke mm....Wazee tunaisha.......moyo unaenda mbio kwa uoga.....nikiiwazia tu corona najihisi pumzi inakata muda wowote.......
Liwalo na liwe......
Kabisaa! naunga mkono hoja.Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!
Hell that OPGiiiiiiiiiiiiiiiiiiCop'd that jus' shoot their ass az u covr 'p. Apache 'll airlift u soon. OVER.
Mimi nimeamua kutafuna tangawizi kama nakula miwa vile.......mifuko yote imejaa tangawizi......Mm nimekuja kwa Baba..nakaa naye tu yaan akikohoa choz linatoka...yaan bora niondoke mm....
Weka picha tuuone huo msambwandaMi nauwaza msambwanda wa mke wake tu,Vick Kamata,aje kwangu tu,ni mlee
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
ukifariki kwa sasa, utaambiwa Corona tu.Labda ugongwe na gariLo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!
Tatizo ni nini mbona wababa ndio wengi!Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!
Kweli kabisa ndugu kuna jamaa jirani yangu ana vaa barakoa sanitizer hakosi kwenye gari huyu adi akiwa kwenye gari mwenyewe ana vaa barakoa ila imemdaka!Mkuu woga umetanda kila mahali....kilichobakia ni kujikabidhi tu kwa Mungu maana hali imeshakuwa mbaya sana......
Una mawazo ya kale kuwa ukifiwa usioge uwe mchafu ndo mawazo yako. Huyo kawajulisha ndugu na jamaaKweli jasiri yeye hadi mfiwa anapata nguvu ya kuandika kuchagua picha na kupost instagram!! Wafiwa wa siku hz utamkuta na nguvu ya kuchagua sare kuchagua nguo kujiremba kutoa hotuba nk nk Asubiri mirathi tu aongeze utajiri
Mazito aisee huwa tuna kufa nayo 😂😆😆😆😆hebu yataje
Wafe kwa magonjwa/ugonjwa wanaougua au kuumwa SIYO huu mnaowabambikia NYIE msiyoitakia mema Tanzania yetu na wenye kuishi kwa kuzusha maneno ya uongo as per directives from your overseas masters!Kwani ulitaka WAFE na nini?
Mimi tangawizi imeniokoa sana yaani nilikuwa nakiona kifo miguuni.......sasa hivi natafuna tangawizi kama karanga.......yaani kila saa najitafuna kama mbuzi....vile.....Kweli kabisa ndugu kuna jamaa jirani yangu ana vaa barakoa sanitizer hakosi kwenye gari huyu adi akiwa kwenye gari mwenyewe ana vaa barakoa ila imemdaka!
Tuchukuwe tahadhari kubwa sana haswa mtu anapo muuguza mgonjwa maana wengi wano uguza wana uguwa pia!
Ulimpima we mwana....zaya?Lo lo lo!!
Likwelile kaondoka?
Jamani corona nomaa!!