Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkuu Dola milioni 892 Sawa na Shilingi TZS trilioni 1.9. Mkuu ni ndogo hizo?Ilikuwaje kiongozi wa freemason awe na pesa ndogo kiasi hicho?
Kwanini wasife?kwani wao sio binadamu? Mbona Wanachama wa Chama cha kupiga Punyeto Tanzania aka (Chapuwata) wanakufa kila siku kwa kupiga punyeto? itakuwa ni chama cha FreeMason?Kumbe nao wanakufaga?πππ
Ask one to be one.Watu wanaojiunga na Ma-FreeMason ni Matajirina wafanya biashara wakubwa Duniani sio chama cha mchezo kujiunga nacho. huku nilipo Ughaibuni kuna baadhi ya marafiki zangu ni matajiri wamo kwenye Chama hicho cha FreeMason wananijaribu kunishawishi nijiunge ili wapate kunisaidia niwe mtu Maarufu duniani katika kutibu Dawa za asili ninawakatalia kwani masharti yao ni magumu ukifanya makosa wanakuuwa mimi siwezi masharti ya kishetani.
ndo nashangaa mana hataIlikuwaje kiongozi wa freemason awe na pesa ndogo kiasi hicho?
ndo nashangaa mana hata kwenye orodha ya matajir tz hayupo.....nyambaaafIlikuwaje kiongozi wa freemason awe na pesa ndogo kiasi hicho?
Tunasubiri mkulu wa kaya ateueAhaa, ok!
Nani amekalia kiti sasa...?
Hahaha dah! hao jamaa huwa wana elements za ugaidi..Washaanza kunitisha inbox. Eti wakunitisha mimi, aaaaaaaaaahhhh
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Wewe unayekoment kwa kumtuhumu mwenzako kama vile umepewa cheo cha kuwa Mungu hujielewi, hujui historia za kweli na hujui neno la Mungu.
Hukumu zi na yeye Mungu, wewe ni nani hata umuhukumu mwanadamu?
Siri zote zi na Mungu bali yaliyo wazi ndiyo yetu sisi(wanadamu).
Hujui Mungu kasema naye kitu gani kabla ya kufa na yeye amefanya kitu gani hujui.
Dhambi ya kuhukumu hakika itamaliza malilions ya waumini.
Unamuhukumu mwenzako ambaye hujui mwisho wake ulikuwaje, huku umesahau
-Wizi unaoufanya kazini(unaona normal).
-Umalaya unaoufanya kwa siri.
-Wewe si una mganga wako anayetumia mizimwi na tarasimu,na kusoma nyota.
-Kwa siku unadanganya mara ngapi na unaona kawaida .
-Unamtamani mke/mume wa mtu.
-Unapiga chabo n.k
Cha msingi ni kunyenyekea kwa Mungu ili tuwe na mwisho mwema.
Kama hunielewi endelea tu kujihesabia haki kwa kulinganisha njia zako na za watu siku utakayokufa ghafla kwa ajali au kwa namna yoyote bila ya kujitakasa imekula kwako.
Vipi kuna nini cha maana huko kwa ibilisi?also im a member once a mason always a mason
master is a mason.Vipi kuna nini cha maana huko kwa ibilisi?
ππππ
Hivi Mungu huwa hasikii kimatengo au kimakonde?
Mkuu taja baadhi ya masharti.Watu wanaojiunga na Ma-FreeMason ni Matajirina wafanya biashara wakubwa Duniani sio chama cha mchezo kujiunga nacho. huku nilipo Ughaibuni kuna baadhi ya marafiki zangu ni matajiri wamo kwenye Chama hicho cha FreeMason wananijaribu kunishawishi nijiunge ili wapate kunisaidia niwe mtu Maarufu duniani katika kutibu Dawa za asili ninawakatalia kwani masharti yao ni magumu ukifanya makosa wanakuuwa mimi siwezi masharti ya kishetani.