Ninakumbuka hawa wazee kwenye moja ya mabaraza ya uwaziri awamu ya kwanza
wizara ya afya - Aaron Chiduo
" fedha- Amir Jamal
" elimu- Mama Thabita Siwale
" kilimo- Jackson Makweta
Ilikuwa awamu nyingine ya mchonga, wakati Sokoine akiwa waziri mkuu.huyo makweta alikuwa waziri wa elimu pia sikumbuki ni utawala gani sijui Mwinyi
huo ulikuwa mtazamo wa jamaa kuwa yatypasa kutenda mema hata tuwapo na vyeo! mtenda mema Mungu pia humuingezea siku za kuishiWEWE UNA TENDA MEMA??????? Tatzo lenu kila kitu mnageuza sisa as if HAO VIONGOZI WENU WAO WATALIONA PEPO....
😀😀😀😀RIP Mungai.
Msiba wako ni mkubwa maana unahusisha na Nchi Jirani.
Unakumbukwa kwa kuvuruga mitaala ya Elimu kwenye utawala wa awamu ya JK.
Likitoka kwa wazee unajua litaanza kwa akina nani mkuu?Ndiyo hivyo tena Waswahili tunasema kazi ya Mungu haina makosa, sasa hivi wazee wetu wanapokezana kuhudhuria misiba yao tu huku kila msiba mhudhuriaji mmoja pungufu, na ni swala la muda tu kabla mzunguko haujamfikia muhudhuriaji xyz leo ni zamu ya Mzee Sita na yule Mkenya aliyeua Elimu yetu Mungai, misiba iliyopita nao walikuwepo leo wanaagwa wao ...
Pumzika Kwa Amani Mzee Sita!
Ni upumbavu wa hali ya juu kila kifo kuhusisha na siasa... Ktk ukoo wenu wote waliokufa walikuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya taifa?Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Put it this way "Rest in peaceful furnace"Rest in peace Mungai mzee wa physics with chemistry