TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

Ninakumbuka hawa wazee kwenye moja ya mabaraza ya uwaziri awamu ya kwanza
wizara ya afya - Aaron Chiduo
" fedha- Amir Jamal
" elimu- Mama Thabita Siwale
" kilimo- Jackson Makweta

Kama unakumbuka hii mkuu, basi wewe upo above 40 yrs. Hongera sana.
 
Aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu Tanzania, Joseph Mungai amefariki dunia jioni hii, taarifa za awali kwa mujibu wa kituo cha television cha ITV zinasema amekutwa na umauti baada ya kuanza kutapika mfululizo, familia imedia kuwa tatizo hilo limemkuta baada ya kudaiwa kula kitu kibaya.
 
WEWE UNA TENDA MEMA??????? Tatzo lenu kila kitu mnageuza sisa as if HAO VIONGOZI WENU WAO WATALIONA PEPO....
huo ulikuwa mtazamo wa jamaa kuwa yatypasa kutenda mema hata tuwapo na vyeo! mtenda mema Mungu pia humuingezea siku za kuishi
 
Duh!!kama alishiriki kutunga sheria kandamizi za elim ndo sheria hizo zinakiendea kizazi chake kwa kasi
yote uja yote uondoka
mtu uja mtu uondoka R.P Mungai
 
Mtakatifu Mtakatifu Mungu wa Majeshi analo kusudi kuruhusu kila jambo linalotokea duniani.
Yatupasa kukumbuka kuyatenda,kuyanena na kuyawaza yalio mapenzi yake..Yenye utukufu kwake,yenye heshima kwake ,yenye sifa kwake pekee.

Kila Nafsi itaonja mauti na duniani wote tu wapitaji na Mwenyezi Mungu anayo makusudi makuu ya kutufanya tuishi kwa kiwango tutakacho ishi.Ndugu zangu Tusiache kutubu {Toba} kila wakati kwa maana hatujui siku wala saa tutakayokutana na umauti.Haijarishi tunajulikana kiasi gani,haijarishi tuna vyeo vya namna gani,haijarishi tuna mapesa kiasi gani,haijarishi tuna elimu ya mapana gani,Haijarishi tu maarufu kwa kiwango gani..

Utu,wema,unyenyekevu,Ustahimilivu,Sadaka,Dhaka,Kusamehe,Upendo viwe nguzo ktk maisha yetu ya kila sekunde,dakika,saa,siku,wiki,mwezi,mwaka,miaka...
 
Aliua sports mashuleni huyu,sijui ni kitu gani amekula?apumzike kwa amani
 
Ndiyo hivyo tena Waswahili tunasema kazi ya Mungu haina makosa, sasa hivi wazee wetu wanapokezana kuhudhuria misiba yao tu huku kila msiba mhudhuriaji mmoja pungufu, na ni swala la muda tu kabla mzunguko haujamfikia muhudhuriaji xyz leo ni zamu ya Mzee Sita na yule Mkenya aliyeua Elimu yetu Mungai, misiba iliyopita nao walikuwepo leo wanaagwa wao ...

Pumzika Kwa Amani Mzee Sita!
Likitoka kwa wazee unajua litaanza kwa akina nani mkuu?
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......
Ni upumbavu wa hali ya juu kila kifo kuhusisha na siasa... Ktk ukoo wenu wote waliokufa walikuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya taifa?
 
Back
Top Bottom