Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Si ndio anaendelea kuota au huoni.Hivi Lema hajaota tena?
Jamaa alikuwa kichwa sana na ndio alistabilize elimu hapa nchini.huyo makweta alikuwa waziri wa elimu pia sikumbuki ni utawala gani sijui Mwinyi
Alituharibia elimu yetu huyu. RIP
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
......Mufindi yeetu...Malangali inalia..Nyololo inasikitika.. Poleeee. Poleeeee. Chai Bora inalia. RIP Joseee. Salamu kwa Nyerere. Msalimie Sam 6....Wasalimie Jumbe na Kambona. Msaliie Rafikiyo Prof. Nicholaus Bangu.. Mpe Hi Daudi balaa Ali.Tunashukuru kwa mema yote aliyotufanyia watanzania ,kwa mabaya aliyotufanyia tunamsamehe maana hatunaye tena hata tukiyashupalia hasikii wala hatuoni.poleni wafiwa.Mungu amuweke panapomstahili
mmh mi mbona nilikuwepo Uwanja wa Taifa wakati Nyerere anaapishwa kuwa Rais wa Tanganyika..!!!!!!!Kama unakumbuka hii mkuu, basi wewe upo above 40 yrs. Hongera sana.
Mwinyi MWINYI Mwinyi HATA MILELE !!!!!!!Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Kuacha ujinga ni maamuzi tu. Hata wewe ukiamua unaweza..Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
huo ulikuwa mtazamo wa jamaa kuwa yatypasa kutenda mema hata tuwapo na vyeo! mtenda mema Mungu pia humuingezea siku za kuishi
POLENI SANA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE.View attachment 431075
Joseph Mungai enzi za uhai wake
Habari za kushtusha toka chanzo cha kuaminika Hospitali ya Muhimbili kinathibitisha aliyewahi kuwa waziri wa Elimu ndugu Joseph Mungai na Mbunge wa Mufindi amefariki dunia.!
Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.
Joseph James Mungai alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1943