TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......

Tuwasamehe jamani wenzetu
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......

Wawe??? Labda ungesema muwe
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......

Unaposema wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho...unawapa ushauri waliokufa?
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......


Sina hakika kama unaelewa ulichoandika hapa...nakupa pole, hujui usemalo wala utendalo....
 
Tunashukuru kwa mema yote aliyotufanyia watanzania ,kwa mabaya aliyotufanyia tunamsamehe maana hatunaye tena hata tukiyashupalia hasikii wala hatuoni.poleni wafiwa.Mungu amuweke panapomstahili
......Mufindi yeetu...Malangali inalia..Nyololo inasikitika.. Poleeee. Poleeeee. Chai Bora inalia. RIP Joseee. Salamu kwa Nyerere. Msalimie Sam 6....Wasalimie Jumbe na Kambona. Msaliie Rafikiyo Prof. Nicholaus Bangu.. Mpe Hi Daudi balaa Ali.
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......
Mwinyi MWINYI Mwinyi HATA MILELE !!!!!!!
 
Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......

Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics

Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......

Ndio maana Mwinyi anadunda na ni Mwenye tabasamu pamoja na kuwa na miaka karibia 100......

But ...R.I.P.......
Kuacha ujinga ni maamuzi tu. Hata wewe ukiamua unaweza..
 
View attachment 431075
Joseph Mungai enzi za uhai wake

Habari za kushtusha toka chanzo cha kuaminika Hospitali ya Muhimbili kinathibitisha aliyewahi kuwa waziri wa Elimu ndugu Joseph Mungai na Mbunge wa Mufindi amefariki dunia.!

Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.

Joseph James Mungai alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1943
POLENI SANA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI ZAKE.
 
Back
Top Bottom