Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo

Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo

Ndio siasa mkuu.

Think about investing on it

Hahaha, nashangaaga sana hizi siasa.

Uzuri, wananchi huwa hatukumbuki, au hawa jamaa hata tukiwauliza maswali hayajibiwi.

Wenzetu nchi za mbele lazima angewekwa kiaangoni na kujieleza juu ya zile tuhuma alizokuwa anazitoa na kama kuna mabadiliko leo.
 
Mnafiki tu Sasa upinzani kuunganisha nguvu ili kushinda wakati yeye anakimbia chama chake, si angebaki huko huko?
 
Hajawahi kuwa mtu wa maana huyu acha aende zake atupungumzie mzigo.
 
Siku mkija kwuaelewa watu kama Kubenea, Dr Slaa, Zitto, na wapianaji wengine itakuwa too late
CCM mlikua mnasema Dr. Slaa anatembea kama amejinyea lkn leo amekua mpiganaji.
 
Khabari wakuu, natumaini wote ni wazima wa afya.

Lengo la uzi huu ni kutaka kujua sababu gani zilizomfanya mbunge aliyemaliza muda wake katika chama Cha demokrasia na maendeleo- chadema KUBENEA kukihama chama hicho siku ya leo tarehe 18, Julai 2020 na kujiunga na chama Cha ACT-wazalendo.

Maoni yenu wakuu.
 
Anategemea upepo wa Membe umpeleke bungeni kama lowasa alivyompeleka bungeni.
Chadema wakae mbali na Membe ni lowasa aliyechangamka
 
Enzi hizo hakuna siku mwanahalisi lilitoka bila ya kumchana Zitto. Leo kaenda kwa Zitto.
 
Tatizo ni kwamba upinzani ushavurugika na hawana coordination. Utopolo mwanzo mwisho.
Lakini mbona wakubwa wenzio huko bado wanaiogopa mno CHADEMA na hasa mahitaji ya uwepo wa TUME HURU?
Basi enenda ukawapatie hizo 'taarifa njema' za kutia moyo, ili waweze kupata japo lepe la usingizi.
 
Soon atakuwa CCM huyu, ACT kaenda kwa kazi maalumu ya ku-monitor mikakati ya Membe dhdi ya serikali. ACT kuweni makini jifunzeni kwa Chadema kuingiza masalia mpaka chumbani hasa kipindi hiki ni hatar kwa usalama wa chama chenu.
Apana , unakosea kabisa, mbona haumujitahidi kusema ukweli. Chadema kinapoteza mueleko kwa sababu ya kiongozi mkuu MBOWE na Genge lake. Hawa ni madkteta, Wakabila, wakanda, wamimi.

Hakubali kukosolewa na wala kushauriwa. Endeleeni kujenga hiyo MILIKI ya Mtei and Company
 
Back
Top Bottom