Aliyekuwa mke wa Manara, Rushyna asema "Kwani Haji Manara ana hela? Hana pesa, sikwaziki na mambo ya kijinga"

Hao wambea sio waandishi, huenda hawana hata idea ya hiyo product
 
Facts nzuri sana
 
Ukiwa na akili mnatumia zako, ila kama hauna ndio basi tena.

Ila mkuu si tulishakubaliana mwanamke trakooo akili tutatumia zenu? Au zenu zimepwaya?🙆🙆🙆🙆
Ww unatako tuanzie hapo
 
Bora hata wewe umewaelewa wanawake...mwanamke akishakujua wewe ni dhaifu utajuta mara elfu mia..bora ulilie vichakani hukoo
 
Huyu dada ukisoma majibu yake kuna jambo utagundua. Yupo juu ya manara hata huyo mwandishi aliemhoji yupo level ya chini kwa huyo dada. Hawez kuwa mke wa kilaza
Nami nmeliona Hilo,
Shes manipulative woman,
Manara tayar alilshajaa kwny mfumo wake ndo maana sarakasi kibao za kuzimia[emoji2960]
 
Kabisa,
Ni mwanamke flan hivi mjivuni sana
 
Madogo wamefeli physics kinoma [emoji2961] yaani hamna shule yenye Grade A kwenye physics amakweli necta ni moko
Kemeboss na st. Francis wenye one za 7 kibao nako hamna?[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…