Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Homa imenizidia mie ,kutwa nashinda nalia juma linapochomoza machozi huwa yanitoka . Kisa cha rehani
 
Huyo mwanamke ndo wale tunasema.."the lights are on but nobody at home"

NB: Kwa wale wasiojia maana wagoogle
 
Hawa viumbe hawastahili hata kupiganiwa haki zao maana hawana zaidi ya ujinga
Wako wanaojielewa(baadhi).halafu mkuu Mungu alipowaumba Hawa hakuumba kila mmoja aolewe..huyo wako anaangukoa kundi Hilo..."manungayembe"
 
Kwakweli
Mambo ya wanandoa Yana changamoto Sana.

Sema Sasa sijaona mahali kama umeandika unahitaji ushaur,pongezi au maoni.

Zaid zaidi naona umewashaur tu hawa dada zetu[emoji4]



Sent using Jamii Forums mobile app
Yan huyu hana tofauti na watawala wa kiafrika.Rais ana jopo la washaur lakin kila wakikutana badala ya wao kumshauri,yeye ndio anawashauri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yan huyu hana tofauti na watawala wa kiafrika.Rais ana jopo la washaur lakin kila wakikutana badala ya wao kumshauri,yeye ndio anawashauri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Swali langu n moja tu, ulipata kazi nyingine? sababu ndio hasa sababu ya kuachana...
Anahisi ninashughuli (biashara) naifanya sema hajui ni anahangaika kunichunguza coz anaona mambo yang yanaenda tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…