TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

Hamna haja ya kukebehi maana unaweza kuta mkeo/girlfriend aliwahi kula fadhila za marehemu na wewe kwa namna moja au nyingine kwa kujua au kutojua na ukaspend life kwa jasho lake!
@Liumba RIP
 
alikua akipaki msichana hotel anatoa hela ya kama wiki halafu haonekani hata,akija anaishia kwenye gari ,unapeleka invoice anaclear deni kisha huyoo,
anaishia,geto haingii na ikitokea ameingia hazipiti dakika tano unamuona huyoo anakuaga anaishia zake baada ya kuwaachia keep change ya kutosha
 
Daaah basi hobby yake ilikuwa kuhonga tu na sio kugegeda ndo mana basi wadada wa mujini walikuwa wanampenda.
 
Eeeh Mungu Mumba ebu endelea kutupunguzia haya mafisadi, yakusanye kwa wingi kadri upendavyo.
 
Nadhani haya siyo maombi mazuri... Maombi mazuri ni yale ya kusema Mungu amsamehe makosa yote aliyofanya duniani na amuweke mahali pema peponi
Baada ya kifo ni hukumu, kama ulitenda maovu hakuna kusamehewa dhambi.
 
Hapo ndio tunapokuja kuheshimiana, pole sana kwa familia ya Liyumba japo tutazimiss zile gari nyekundu Mjini.
 
Mbona unamsema vibaya marehemu au alipita na mke wako umeamua kumaliza hasira zako.
 
Amekufanamachunguusana wajanjawalichukuamalizake wakadaiwanamfilisi akashangaa ziko.mtaan zikiliwa kama alivyokula dadazetu

Rip
 
Amekufanamachunguusana wajanjawalichukuamalizake wakadaiwanamfilisi akashangaa ziko.mtaan zikiliwa kama alivyokula dadazetu

Rip
Pdidy,

Sasa naona ume improve kiswahili hongera sana naanza kukuelewa.
 
Amekufanamachunguusana wajanjawalichukuamalizake wakadaiwanamfilisi akashangaa ziko.mtaan zikiliwa kama alivyokula dadazetu

Rip
[emoji12] [emoji12] [emoji12] space bar Haifanyi Kaz mkuu ?! Au upo kwenye bodaboda?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…