macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Gonga hapa kwenye link: tafadhali someni list ya Amatus... - Wa ukweli ndani na nje ya bongo | FacebookKuna Thread iliwataja majina kabisa wale wote waliofaidika magari mekundu,kama unaikumbuka nitag basi.
mh..!!siku ya mwisho gani?Je haujui kuwa siku ya mwisho kuna watakao kutwa wapo hai?
Hiyo haki kwa tanzania sidhani kama inaweza kutumika ya kumpeleka mfungwa kwenda kuzika[/QUOTE]Alisababisha hasara ya 221 bilion lakini akafungwa mwaka moja tu, hela yenyewe akawanunulia warembo magari, jamani kibaya zaidi hakuwapa hata watoto wake hela ya maana bintiye yuko Lindi kwenye gereza kwa tuhuma za kuuza unga, sijui ataruhusiwa kwenda kuzika huyu?
Tunaongelea kifo kama kilichompata huyo mhusika. Je kifo kinampata aliye hai au mfu?Je haujui kuwa siku ya mwisho kuna watakao kutwa wapo hai?
Mbaya zaidi yuko kwenye lile gereza ambalo hata mkuu wa magereza anawaogopa na kuomba waongezewe ulinzi, huyu akitoka atakuta hata kaburi limefutika maana lile rumbesa la unga lilikuwa si la kawaida.[/QUOTE]Hiyo haki kwa tanzania sidhani kama inaweza kutumika ya kumpeleka mfungwa kwenda kuzika
Kwenye ile list ya waliomegwa na marehemu huyu nae alikuwepo, kuna jina la JOAN.. inaelekea alimfadhili sana ndio maana analia hadharani.Alikua nani yake director Joan... naona nae anasikitika kifo chake
Ku flash muda mwingine kunashindikana. Kipindi hiki cha magufuli wataondoka wengi sana coz hawa watu walikuwa wanatumia safari za njee kikazi kwenda kuflash damuSi ana mahela, si nasikia wanabadilishaga sijui damu sijui figo, sijui, maini, Ah! Sijui nini vile!
.......Samba MapangalaItayobaki milele ni milimaa.. Mungu mlipe kutokana na matendo yake..
kuna uzi kabisa humu,watu waliujadili ,humu humu jamiiforumGonga hapa kwenye link: tafadhali someni list ya Amatus... - Wa ukweli ndani na nje ya bongo | Facebook
we unapumuliwaga si bure.Wewe dogo naona ushagonga majani kidogo
Naona baada ya kuachika kwa mumeo sasa unalazimisha ndoa hata ya mkekawe unapumuliwaga si bure.