TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

Dah! Watakukumbuka sana wadada wa mjini na zile Rav 4 nyekundu ulizokuwa ukiwapa kama njugu.
01w.jpg
 
Rest In Peace Mzee wetu Liyumba

Kifungo ulichopata kwa visa vya mapenzi huenda kimechangia kufa mapema zaidi lakini nenda ukijua kuwa kwa sasa tumegundua kuwa waliokufunga walifanya madudu makubwa zaidi ya yale ya kwako. Kwenye bomba la gesi wamepiga zaidi ya mara tano ya mlivyopiga kwenye majengo pacha na wao wanadunda mtaani wewe ulitumikia kifungo

Mkuu naona unamfahamu vizuri marehemu, hebu jazia nyama....
 
Ni bora na huyu aliye iba na kugawia mabinti zetu magari kuliko yule msambaza pingu mwenye kuwachezea watoto zetu na kuwahonga Laki moja moja.
Nani huyo tena mlete tumjadiri ili aache ako katabia
 
Dah habari hizi ni za kweli??

Source ya kifo ni nini, au kale kaugonjwa ketu pendwa??
Maana kuna tetesi kuwa alikuwa carrier mzuri tu na kawasambazia wasanii wa bongo movie wa kuotosha, kwa kuwahonga magari mazuri mazuri

R.IP anyway, japo marehemu hasemwi vibaya, ila ufisadi ulioufanya BoT ni mzito mno na umeua wengi sana kwa kukosa madawa hospitalini, haki za wazee wastaafu kukosa mafao yao na mengine kibao, cha ajabu hela zote umeziacha wengine wakizitafuna.
Wabongo movie wamefanyaje mkuu?
 
Kama yeye alishindwa kumtambua/kumuomba mungu kwa mema unategemea wewe ndo utasikilizwa na mungu.yeye aliamua kuwa mtu muovu ndo njia aliyoichagua.
Una uhakika kabla ya kifo ilikuwa ni hivyo hivyo?? utajuaje baada ya ile mitihani kumfika alitubu na kurudi kwa Mungu wake.???
 
ndio huyu wanasema alikuwa akihonga kwa siku Rav4?????? anyway R.I.P
 
Watu mnapenda mno kutaka kumpangia MUNGU, sio , kila mtu anatakiwa kupumzika anapostahili, nasio kila anaekufa basi ni one way peponi.

Acheni kumpangia MUNGU hukumu , msije kujiingiza kwenye madhambi mengine buree.

Semeni, alale anapostahiri

Sio yeye tuu, bali wote wanaokufa.
 
Wanajuana.....
lakini tabia za visasi si nzuri maana wote ni jora moja walizidiana vyeo tu.
sasa na yeye yatamkuta kabla hajafa..
unafunga watu kwa uzinifu wakati una wake?
Na kama wizi mbona Tz one anajulikana.?
 
it a final destination on the earths ground r.i.p bro
 
Back
Top Bottom