Pole kwa familia ya mfiwa
Ikute Makonda ndo atakuwa frontline kwenye kuaga mara ya mwisho,dah si mchezo.Ila jamani kutumbuliwa hadharani inatakiwa baadae uwaone washauri wa kisaikolojia aisee other wise waweza ondoka kabla ya siku zako[/N]
Hivi huyu ndugu wana udugu na Zitto Kabwe au ni by coincidence tu jina la ukoo kufanana?
##Wilson Kabwe
##Zitto Kabwe
Kwani wao ndo wamemuua....matendo yake mwenyewe...tusitafute mchawiRIP. Tusubiri tuone Makonda na bosi wake watajitetea vipi
Kwa hiyo kutumbuliwa inaweza kuwa sababu ya kifo chake?
kAMA MTU KAKOSEA KARIPIO NI MUHIMU. RIP KABWEKafa na nini nikiwaza kifo hua siitaji ata kumkalipia mtu
Inaweza kuwa ili-speed up....! Haya ni maoni yangu tu.
Hawana undugu hata sumni.. Zitto anatoka kigoma .. Wilson Mkenga Mbonea Kabwe anatoka milima ya upare same mamba mpinji kirungayaHivi huyu ndugu wana udugu na Zitto Kabwe au ni by coincidence tu jina la ukoo kufanana?
##Wilson Kabwe
##Zitto Kabwe
Ha ha aa we jamaa mwehu kweli hahahaR.i.P nadhani makondakta na madereva watakuwa wamefurahi
Una akili za kipumbavu na kitoto sana sana, hivi wewe utaishi milele?Du,jamani usiombe kabisa kutumbuliwa kukute,RIP Mkurungezi mtumbuliwa
Kwa hilo, Rais ali-prove kukosa busara na hekima katika kufanya maamuzi.Bila shaka moyo ulikosa nguvu za kuhimili ile aibu.......nimtumbue au nisimtumbue.......tumbuaaaaa........dah......so sad.......Pumzika kwa amani.