Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Komanya Kitwala ahukumiwa kulipa fidia ya Tsh. milioni 80

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Komanya Kitwala ahukumiwa kulipa fidia ya Tsh. milioni 80

Kuna mmoja anaitwa Juma Sweda alikuwa Misungwi (Mwanza) ila siku hizi kahamishiwa Wilaya nyingine, yule jamaa alinifilisi kwa ubabe wake.
Nafikiria namna ya kumfungulia mashtaka atatoka alipo aje kunilipa fidia na akome. Hata nisipofungua kesi Mungu amlaani asifanikiwe alipo
Mama amfatilie mambo yake atashangaa, ni zaidi ya Ba... Shit
 
Siku moja nilikutana naye Uhazili, nilipokuwa na majukumu maalum.

Alinikuta nahudumiwa kwa wakala pale nje. Nilikuwa naweka fedha kwenye simu.

Sasa kafika, kapitisha kono lake puup, ndani. Hela zangu zikamwagika. Kistaarabu, kulikoni brother? Kaniambia sogea watu wa Muhimu tuhudumiwe tuwahi kuihudumia jamii. Unanifahamu mimi nani?

Nilishikwa na hasira, nikachukua hela zake na kuzitoa nje. Nikasogeza na Million moja ikadondoka chini.

Bahati nzuri kwake, kijana huyo akatoka na kunituliza. Akachukua hela za Komanya na kwenda nazo ndani. Mimi nikahudumiwa na binti, nikamalizana.

Alisema atanitafuta. Nikamueleza namba yangu utachukua kwa huyu binti anayenihudumia.

Ukweli ni kuwa alinitafuta na alituma vijana wake wanifuate. Mh Sengati aliimaliza ishu kiutu uzima

Mpumbavu mno. Ana ubabe wa kipuuzi.
Alitaka kuonja sumu kwa kuilamba. Hahaha

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja anaitwa Juma Sweda alikuwa Misungwi (Mwanza) ila siku hizi kahamishiwa Wilaya nyingine, yule jamaa alinifilisi kwa ubabe wake.
Nafikiria namna ya kumfungulia mashtaka atatoka alipo aje kunilipa fidia na akome. Hata nisipofungua kesi Mungu amlaani asifanikiwe alipo
Mama amfatilie mambo yake atashangaa, ni zaidi ya Ba... Shit
@ndege JOHN

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Mtu wa hovyo sana ,anaingia ofisini anaanza kudai leo na hamu na kugombana na mtu na anagombana na watu kweli .Mi niliona nafanya kazi na boksi nikakimbia mbio nyingi sana vinginevyo angeshanilaza kwenye ubaridi.
Viongozi WA mwendazake, boss alikua na kiburi kiasi akawaambukiza hadi walio chini yake
 
Jamaa nimesoma nae UMBWE BOYS....kipindi naingia form ONE ye alikuwa form FIVE
Alikuwa ni kiranja wa ulinzi... Usiombe umetoroka one time kuingia mjini halafu ukawa hauja attend roll call...halafu yeye ndio kaandika majina ya watoro... Utadhani sio mwanafunzi jinsi alivyo kuwa anatoa adhabu...

Jamaa lilikuwa MBAVU halafu muonevu mbaya...

Amenikumbusha mbali kweli [emoji1787][emoji1787]
Ulikuwa unazama uswekeni kula mbege, asubuhi unamalizia na katizi
 
Siku moja nilikutana naye Uhazili, nilipokuwa na majukumu maalum.

Alinikuta nahudumiwa kwa wakala pale nje. Nilikuwa naweka fedha kwenye simu.

Sasa kafika, kapitisha kono lake puup, ndani. Hela zangu zikamwagika. Kistaarabu, kulikoni brother? Kaniambia sogea watu wa Muhimu tuhudumiwe tuwahi kuihudumia jamii. Unanifahamu mimi nani?

Nilishikwa na hasira, nikachukua hela zake na kuzitoa nje. Nikasogeza na Million moja ikadondoka chini.

Bahati nzuri kwake, kijana huyo akatoka na kunituliza. Akachukua hela za Komanya na kwenda nazo ndani. Mimi nikahudumiwa na binti, nikamalizana.

Alisema atanitafuta. Nikamueleza namba yangu utachukua kwa huyu binti anayenihudumia.

Ukweli ni kuwa alinitafuta na alituma vijana wake wanifuate. Mh Sengati aliimaliza ishu kiutu uzima

Mpumbavu mno. Ana ubabe wa kipuuzi.
Kuna moja alijaa kwenye 17 zangu sasa hivi ana nyea ndoo....
 
Siku moja nilikutana naye Uhazili, nilipokuwa na majukumu maalum.

Alinikuta nahudumiwa kwa wakala pale nje. Nilikuwa naweka fedha kwenye simu.

Sasa kafika, kapitisha kono lake puup, ndani. Hela zangu zikamwagika. Kistaarabu, kulikoni brother? Kaniambia sogea watu wa Muhimu tuhudumiwe tuwahi kuihudumia jamii. Unanifahamu mimi nani?

Nilishikwa na hasira, nikachukua hela zake na kuzitoa nje. Nikasogeza na Million moja ikadondoka chini.

Bahati nzuri kwake, kijana huyo akatoka na kunituliza. Akachukua hela za Komanya na kwenda nazo ndani. Mimi nikahudumiwa na binti, nikamalizana.

Alisema atanitafuta. Nikamueleza namba yangu utachukua kwa huyu binti anayenihudumia.

Ukweli ni kuwa alinitafuta na alituma vijana wake wanifuate. Mh Sengati aliimaliza ishu kiutu uzima

Mpumbavu mno. Ana ubabe wa kipuuzi.
Kumbe alikuwa na mambo ya kipuuzi
 
Jamaa nimesoma nae UMBWE BOYS....kipindi naingia form ONE ye alikuwa form FIVE
Alikuwa ni kiranja wa ulinzi... Usiombe umetoroka one time kuingia mjini halafu ukawa hauja attend roll call...halafu yeye ndio kaandika majina ya watoro... Utadhani sio mwanafunzi jinsi alivyo kuwa anatoa adhabu...

Jamaa lilikuwa MBAVU halafu muonevu mbaya...

Amenikumbusha mbali kweli [emoji1787][emoji1787]
Kumbe ni hulka ya tangu utotoni.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Komanya Kitwala kumlipa fidia ya shilingi milioni 80 Alexander Ntonge mkazi wa kata ya Ipuli Tabora mjini, baada ya kupatikana na hatia katika mashitaka aliyofunguliwa ya kuwaamuru Askari Polisi kumkamata Ntonge na kumdhalilisha isivyo halali.

Akisoma hukumu hiyo katika shauri la madai namba 4 la mwaka 2021, Hakimu Mkazi, Jovith Kato alisema, mahakama imepitia ushahidi wa pande zote mbili na kujiridhisha kwamba Komanya Kitwala alitenda kosa hilo Januari 5 mwaka 2020, na hivyo mahakama imemuhukumu kulipa shilingi milioni 80 badala ya shilingi milion 140 ambazo mlalamikaji alidai kulipwa kutokana na makosa ya udhalilishaji.

Awali, wakili wa mlalamikaji, Kelvin Kayaga aliiambia mahakama kuwa, Komanya Kitwala alikwenda nyumbani kwa mlalamikaji akiwa na Askari Polisi ambao aliwaamuru kumkamata na kumtesa, kisha kumuweka ndani katika Kituo Kikubwa cha Polisi Tabora mjini bila kuwa na kosa lolote, ambapo baadaye aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora kwa wakati huo, ACP Safia Jongo aliagiza mlalamikaji Alexander Ntonge kuachiliwa huru kwa madai kulikuwa hakuna kosa lolote alilofanya.
Alex Ntonge ??!!, aise hii habari wacha niifuatilie kwa karibu nilisoma na mtu anajina kama hilo Alex Ntonge
 
Hivi ndivyo inapigana kuwa kwa walevi wa madaraka
 
Hii ni sababu mojawapo ya DC na RC kuchaguliwa kwa kupigiwa kura na wananchi.
#Katiba mpya
 
Wakuu wa wilaya na mikoa wachaguliwa kwa kura na wananchi kuondokana kuwekewa watu wa hovyo kuwa watawala wenye mamlaka makubwa.
Kuna mmoja anaitwa Juma Sweda alikuwa Misungwi (Mwanza) ila siku hizi kahamishiwa Wilaya nyingine, yule jamaa alinifilisi kwa ubabe wake.
Nafikiria namna ya kumfungulia mashtaka atatoka alipo aje kunilipa fidia na akome. Hata nisipofungua kesi Mungu amlaani asifanikiwe alipo
Mama amfatilie mambo yake atashangaa, ni zaidi ya Ba... Shit
 
tunaomba CV yake ikiwapendeza na kama kuna mashtaka mengine mpelekeni tena
 
Back
Top Bottom