Mahakama ya Rufaa imetengua uamuzi huo! Jamaa halipi tena!Alisha lipa hiyo fidia?
Kuna mwingine alikua Korogwe, alishindwa kazi kabisa Sasa hivi analia Lia kwenye media. Pumbavu kabisa.
Badala ya kucheza na vitukuu, yeye anawalaumu watu walipokua chini yake.