Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
R I P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna yule R.Lukindo slikuwaga balozi Japan yule mzee alikuwa mtu poa sana sema naye (RIP)RIP Hamisi Lukindo.
Lukindo ni ukoo mkubwa sana una watu maelfu.
Mwamba yeye lini? Au Bado anaongoza jahazi kwanzaAliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo amefariki leo Januari 29, 2024 katika Hospitali ya Mloganzila, Dar es Salaam, maziko yanatarajiwa kufanyika Januari 31, 2024, Same.
Alale anapostahiliAliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo amefariki leo Januari 29, 2024 katika Hospitali ya Mloganzila, Dar es Salaam, maziko yanatarajiwa kufanyika Januari 31, 2024, Same.
Warufiji ndg alhaji DiofuHuwa inajulikana anaitwa Details Leader, ambaye kwenye convoy ya ulinzi wa rais yeye ndio mkuu na wanakuwa wawili wanapokezana. Ndani ni kipindi cha Magu walikuwa wawili pia, yule black na yule ostazi wa Rufiji
Yupo, nyumba za mawaziri karibu na CRDB MikocheniWarufiji ndg alhaji Diofu
Black ,kwasasa kapotelea wapi ,mana simchezo
Ostaz wa rufiji yupo?Huwa inajulikana anaitwa Details Leader, ambaye kwenye convoy ya ulinzi wa rais yeye ndio mkuu na wanakuwa wawili wanapokezana. Ndani ni kipindi cha Magu walikuwa wawili pia, yule black na yule ostazi wa Rufiji
Yupo na Naibu Spika ZunguOstaz wa rufiji yupo?
Balozi Raphael Lukindo, balozi old school kichizi. Mpaka Nyerere ilikuwa anataka sana kumsikiliza.Kuna yule R.Lukindo slikuwaga balozi Japan yule mzee alikuwa mtu poa sana sema naye (RIP)
Ova
Umenikumbusha ya PROfesa MaHALu na Ben stadium ,ubalozi uliofunguliwa na rapha wakaona m-bovu basi wanunue mwingineBalozi Raphael Lukindo, balozi old school kichizi. Mpaka Nyerere ilikuwa anataka sana kumsikiliza.
Balozi alikuwa kapewa kazi kufungua ubalozi wa Italy, baada ya miaka michache akaomba kurudi Tanzania akafanye kazi vijijini. Mpaka Nyerere mwenyewe akashangaa. Baadaye alimfanya kuwa mkuu wa Itifaki.
Balozi Lukindo alimpinga Waziri Mkuu Sokoine kwa point, halafu Sokoine akalazimisha hoja kwa kuwa yeye Waziri Mkuu. Baadaye ikaonekana Balozi Lukindo alikuwa sawa na alivyoonya points zake zimekuwa vile vile.
Nikikumbuka washua kama hawa waliokuwa na uzalendo na principles halafu nikilinganisha na viongozi wapigaji wa leo, nasikitika sana.
Kuna kada fulani ya mabalozi old school wale wazee kina George Nhigula, Raphael Lukindo, Salim Ahmed Salim, wale umakini na uzalendo wao sijui kama tutaupata tena nchi hii.Umenikumbusha ya PROfesa MaHALu na Ben stadium ,ubalozi uliofunguliwa na rapha wakaona m-bovu basi wanunue mwingine
nimecheka sana
Huyu hakuwa mlinzi mkuu. Mlinzi mkuu yupo ambaye wote ureport kwake. Alipewaga ubalozi.Huwa inajulikana anaitwa Details Leader, ambaye kwenye convoy ya ulinzi wa rais yeye ndio mkuu na wanakuwa wawili wanapokezana. Ndani ni kipindi cha Magu walikuwa wawili pia, yule black na yule ostazi wa Rufiji
Apumzike kwa amaniAliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo amefariki leo Januari 29, 2024 katika Hospitali ya Mloganzila, Dar es Salaam, maziko yanatarajiwa kufanyika Januari 31, 2024, Same.
Umakini na uzalendo kwa lipi ????Kuna kada fulani ya mabalozi old school wale wazee kina George Nhigula, Raphael Lukindo, Salim Ahmed Salim, wale umakini na uzalendo wao sijui kama tutaupata tena nchi hii.
Jambo gani ambalo litaweza kukufurahisha wewe? Lina vipimo gani vya kukufurahisha wewe tulitafute?Umakini na uzalendo kwa lipi ????
Tutajie mambo au jambo moja ambalo hao mabalozi Lukindo, Salim, Nhigula walilisimamia katika kupambana na u-third world wa nchi hii: rushwa, na umasikini, na kuuza madini, ardhi na wanyama wa nchi hii kwa wageni, na chaguzi dhalimu za CCM, mauaji ya polisi, njaa za wananchi, elimu za shule za Kayumba, wasteful spending, disease, death and distasters of this country.
Taja hapa mambo waliyoyapigania hao kina Salim Ahmed Salim.