Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

Yaani mijitu imetenda kosa la mauaji 2006,hukumu ikatoka 2016,miaka 10 baadae!Hii mijitu bado inapumua!
MTU atakae pinga kwamba haya majambazi hayakutena kosa la mauaji,inabidi aperekwe milembe apimwe akili.
Ingekuwa USA,hawa watu hawakutakiwa kushitkiwa na jeshi la polisi,ambalo wao walikuwa miongoni mwake,hapa haki haiwezi kutendeka,upelelezi wa hii kesi ilibidi ufanywe na kikosi maalum kutoka Takukuru.
 
ukiona kakataa rufaa ujue kuna chance ya kitoka jela
 
Fair enough mkuu,nimefurahishwa na ujibuji wa hoja hii,umetumia facts kujibu hoja ahsante na haya ndio majadiliano ya JF,tuna haki ya kutofautiana,ninashukuru kwa wewe binafsi kujua kuwa Mr.Bageni alihusika na ninategemea ulitoa ushahidi wako,ILA swali langu hapa je kunyongwa hadi kufa kwa Mr.Bageni (au mtu yeyote )ndio kutatufanya watanzania tuogope makosa yanayakuja na death penalty?utafiti mwingi tu hapa duniani imethibitisha kuwa death sentence sio kinga kwa watu kutotenda makosa ya aina hii,states nyingi za USA zinafuta adhabu hii(kwangu bado ni ya kinyama)na hapa Africa kuna nchi ambazo hazina death sentence na still haki inatendeka,na ulipogusia kuwa serikali yetu itaonekana inatenda HAKI ,hii sio kweli and its a debate of another day.
 
Ulianza vzr

ukamalizia na matope

Adhabu ya Kifo,iwepo kama kawaida

Hata kama roho za waliouwawa hazitarudi nk

Lkn
Alieua,hakuna budi kuuwawa

Unataka apewe amani,ilihali yeye alikosa utu na ubinaadam na kumtoa roho mwenzake?!!!

Sheria hii Idumu
 
sawa mkuu ila fanya kautafiti kadogo ndani ya nchi yetu,je adhabu hii imepunguza hayo makosa uliyoyaorodhesha hapo juu?na elewa hizi adhabu mara nyingi zinakuja na makosa mengi ya kunyonga watu wasio na hatia
 
Ahsante sana Deceiver................ umeniongezea elimu mkuu. Barikiwa
 
Marejeo ndiyo review au revision
 
Jane A Chipofya wa Isanga,kafa na uzuri wake binti wa kimalawi yule...
 
Ahsante sana Deceiver................ umeniongezea elimu mkuu. Barikiwa
Kumbuka tu maafisa wa polisi ni wanaovaa nyota mabegani. Hawa wanaovaa V kama matrafiki wengi sio maafisa wa polisi.
Hao ni ASKARI wa jeshi la polisi na wana elimu ndogo sana ndio maana hata ukibishana ba matrafiki ni kama unampigia nguruwe kinanda. Reasoning capacity ni ndogo sana.
Wenye vigari vya kutesea mjini wananielewa
 
A/Insp.; Insp.; ASP; SP; SSP; ACP; SACP;...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…