Chacha Mwita WaitaraHuo usaliti wa Msigwa mbona hatukuambiwa wakati akiwepo Chadema?
Mtazoea lini haya mambo ya mtu kuhama chama chenu kama haki yake kikatiba?
Sioni sababu ya kumuandama Msigwa wakati huu, walishaondoka wengi na wataondoka wengine, uadui wa aina yoyote ni dalili ya uchanga kifikra.
Nikajua na yeye katekwa yupo KataviBillioner Yericko kumbe yupo..
Naunga mkono hojaUtasaidia nini lissu mpaka muda huu amejiweka pembeni ndio alio mshauri msigwa aondoke Mbowe abaki na genge lake chadema haina malengo haitofautiani na spika wa bunge mtetezi wa mafisadi!
Hana jeuri hiyo huyo chawa wa MboweMtutajia na wasaliti wengine waliyopo chamani ili tuwajue kabisa wahame chama ndio mseme huo unakuwa unafki.
Lowassa alivyohamia Chadema n alikuwa amerudi nyumban?huyo Alikuw ccm lia lia amerudi nyumban baada ya kazi aliyotumwa kuiumiz chadem kushindwa
Huyo Msigwa toka enzi za dhalimu alikuwa ameshafika bei. Kwa sasa hana jinsi zaidi ya kwenda chama cha majizi.Unaonaje mama amavyoupiga mwingi?
Mama ni mwema siyo dhalimu kabisa!
Hatari sanaMchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.
Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:
1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
View attachment 3029802
Nami nilitaka kuuliza hivyo hivyo?Huo usaliti wa Msigwa mbona hatukuambiwa wakati akiwepo Chadema?
π€Ndo mana naonaga wana wote wanaofanya siasa halafu hawafaidiki ni Vilaza
mimi siwez kuandamana wala kumchangia mtu anunuliwe gari
Acha uwaki dogo. Huyo ni mtu mdogo sana. CHADEMA ni taasisi sio ya kuyumbishwa na mtu mmoja we kengele.Sasa yule chawa wa mbowe miss Erythrocyte atasemaje mana Lowassa alivyohamia Chadema alisema kuwa kule ccm alikuwa anafanyiwa mabaya, haya aje atuambie tena wamemfanya nn Mchungaji Msigwa π
Yupo sawa. This is more of a win situation for CHADEMA. Bora aende mapema.
Chadema sio chama ,wamesambaratika kama cuf tuu.Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.
Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:
1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
View attachment 3029802
Ila alivyokuwa Chadema hakuwa mdogo ndio mana mlima uenyekiti au siyo πAcha uwaki dogo. Huyo ni mtu mdogo sana. CHADEMA ni taasisi sio ya kuyumbishwa na mtu mmoja we kengele.
Yeriko team Mtama CCM ππYeriko mwenyewe ni mwanaCCM mzuri tu. Katoa hilo tamko ili nyumbu wasimhisi.
Alikuwa anajistukia kila watu wakiongelea kwenda kuunga juhudi. Aliendelea kubaki cdm kwa shingo upande sana. Baada ya kukosa cheo hivi karibuni akaanzisha kilio fake ili aweze kuhamia kwa majizi.Msigwa ilikuwa ahame tangu kipindi cha Magufuli lakini sijui ni nini kilitokea akasita.