Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Soma Mwenyewe halafu Tafakari

View attachment 3029878
Baada ya kuwa ameondoka?
Msaliti angeozozana na Lisu kwenye mikutano yake (basi kama ndio tuambieni mapema Lisu yupo upande gani)
Mwisho wa siku hizi zinabakia kuwa kauli za kilaghai na kupotosha wananchi.
Kuna pahala hamtaki kuwa wakweli ila muda utaongea.
Mwenye jicho kubwa anaona mgawanyiko uliojitokeza kutoka viongozi wajuu kabisa wa chama kwenye mikutano yao ya hadhara, kuna la kujifunza hapa
 
Soma Mwenyewe halafu Tafakari

View attachment 3029878
Chadema wakati mwingine ni vichwa ngumu aisee.kwa hiyo P msigwa alikuwa anakisaliti chama akiwa ndani ya chadema ? Common guys !! Mwenyekiti amekata zaidi ya Miaka 20 ,Leo mnafundisha watu democrasia? Serious ? Na Kabwe naye alikuwa msaliti eti? Na Dr slaa naye alikuwa msaliti? Daaaah
 
Soma Mwenyewe halafu Tafakari

View attachment 3029878


Maneno ya hovyo kabisa, leo eti Msigwa alikuwa msaliti, vijana wa CHADEMA wengi wamekuwa misukule ya Mbowe..!!

Msigwa ndio alikuwa anatetea demokrasia ya kweli ndani ya Chadema, alikataa rushwa na udikteta wa Mbowe, yaani Mbowe ndio awe kama Mungu mtu huko Chadema, hata ile kuruhusu mgombea mwingine ndani ya CDM agombee uenyekiti tu imekuwa dhambi kubwa , yaani ukionyesha nia ya kugombea uenyekiti utaonekana msaliti mkubwa sana..!!

Vijana wa hovyo wa Chadema hawayaoni yote hayo, bali mtu akiondoka sbb ya kutetea haki na demokrasia ndani ya CDM ataitwa msaliti au pandikizi la CCM, upuuzi kabisa kwa vijana wa aina hii..!! Stupid..!! CCM ni Chama cha wote, Chama huru na Chama Tawala, Chama chenye kuongoza kwa mifano ya kweli, uongozi Imara kwa kila mwananchi na kila mwanachama mwenye sifa ana ruhusa ya kugombea..
 
Msigwa ana undugu magu,kama alishindwa kununulika kipindi cha magu iweje anunulike kipindi hiki!
 
Cdm ukiwa against mbowe tu basi lazima upewe usaliti,vijana wengi wa cdm awajielewi!
 
Watu wanafanyiwa figisu na wakihama et wasaliti

BTW;Hata Mdee alikuwa anashobokea wanaohama chama kama hivi,Leo yuko wapi?

Wajinga tu ndiyo watadumu huko
 
Atakuwa kanuniliwa huyo
 

..Ccm is too big and well funded kulinganisha na vyama vya upinzani.

..demokrasia yetu haiwezi kuwa na tija kama hakutakuwa na chama mbadala kinachokaribiana nguvu na Ccm.

..tunapaswa kuwawezesha wapinzani kwa kuwapigia kura kwa wingi ili Ccm isiendelee kuwakandamiza, kuwanunua, kuwahujumu, na kudumaza nchi.
 
Usiamini mwanasiasa yeyote hata kama ni mzazi wako
 
Mch. Peter Msigwa katimkia CCM kutoka CHADEMA.
Rai yangu ni kwamba, pande zote mbili zijizuie kurushiana maneno au kulaumiana.
Yaani, Msigwa ajizuie kulaumu chama alichotoka na wafuasi wa CHADEMA wajizuie kumlaumu Msigwa.

Sumaye na Lowassa walikuwa mawaziri wakuu wastaafu lakini walihama CCM wakahamia CHADEMA na maisha yakaendelea. Kwa hiyo mimi sioni kama kuna la pekee sana linalohitaji kulaumiana kati ya hizi pande mbili.
 
Mchungaji Ogopa Mungu na teknolojia
 

Attachments

  • VID-20240630-WA0018.mp4
    1.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…