STUPID ZAKE, HILO NI FUNGU LA KUKOSAKada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo πππ₯
Umesikia habari za Mnyika? πSTUPID ZAKE, HILO NI FUNGU LA KUKOSA
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo πππ₯
Mbona hata Mbewe alifungwaawewe si unaona mbowe, wananchi wanapigwa virungu wengine hadi wanatekwa, lakini yeye hayupo serious, wakisema analamba asali atakataa, na wenzake wa ndani wanasema analamba asali. imagine, TUNDU LISU angekuwa ndiye mwenyekiti cha chama, upinzani ungekuwaje? mtu aliyesacrifice maisha kapigwa risasi kibao, pale alipo kajitoa haogopi chochote, ana akili nyingi kichwani, mwanasheria, ana exposure, very competent hata kuwa rais, halafu dj tu hapa aliyechukua chama kwa babamkwe anakipigilia misumari? kwa maslahi mapana kwanini mbowe haachii kiti ampe tundu lisu? au kwasababu ccm wanaogopa sana tundu lisu basi wamemwambia mbowe icho kitu asije kukiruhusu ili waendelee kushirikiana naye?
ukitaka kujua kuwa msigwa alikuwa wa maana kwenye chama, angalia jinsi Lema alivyoandika, hajaandika kumkejeli, ameandika kwa uchungu, anajua kilichoendelea.
Angeacha vyama! Siasa tunafanya hata bila vyama, na vyama huundwa na watu.Kama taifa ni zaidi ya vyama vya siasa angeacha siasa. Sio kuhama
Kwahiyo huko ccm ndio kwenye uzalendo?Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo πππ₯
alipofungwa, si kesi ilifutwa akaibukia ikulu. angekuwa tundu lisu ingekua vile unafikiri?Mbona hata Mbewe alifungwaa
Hauna hojaalipofungwa, si kesi ilifutwa akaibukia ikulu. angekuwa tundu lisu ingekua vile unafikiri?
huyo watampa iringa mjini, jesca watampa viti maalumu. kesi imeisha, mtakutana bungeni kama mbowe atakuwa amejipanga vizuri walau mpate wabunge kadhaa.Kwahiyo kuna watu wanaamini wao ndio wanastahili kuwa viongozi tu?
Sasa asubiri kura za maoni za ccm achukuwe fomu ya ubunge ndio ataijuwa kata funuwa ya ccm.
Labda asubiri kuhongwa Udc ndio kijiwe cha majobless.
huwezi kunielewa hadi ufikirie nje ya box la mbowe.Hauna hoja
Ndio mtajuwa hamjui Asas atakapochukuwa fomu.huyo watampa iringa mjini, jesca watampa viti maalumu. kesi imeisha, mtakutana bungeni kama mbowe atakuwa amejipanga vizuri walau mpate wabunge kadhaa.