TANZIA Aliyekuwa Sultani wa Mwisho Zanzibar, Sultan Sayyid Jamshid Al Said, Afariki Usiku Huu, Omani

Khaaas.....what a coincidence!!!
 
Rip Jamshid ...
 
Umeumia muarabu kufa aaah weee afe na afe tena
 
Pasco hakuleta uzi wa sultan kuja Zanzibar
 
Oman waliombwa msaada na watu wa afrika mashariki kumpiga mreno,aliyechoma mji wa kilwa,1600 hivyo viungo(karafuu,mdalasini) vililimwa mji gani hapo zenji?
 
Kwaiyo kumbe Wanzanzibar walifanya makosa kumuondoa Sultan kuwa Mtawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…