Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Pumzika kwa aman umeondoka bado ukiwa mdogo.. Zanzibar bado ilikuwa inakuhitaji sana mdogo wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sultan sawa na mfalme hata akiwa na miaka 3 anatawala!!..Alikua hajafa tyuuh? Ina maana alitawala Zenji akiwa na 20+
Makubwaaa!! Lol
Khaaas.....what a coincidence!!!Wanabodi
Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Vyanzo hivyo vimeeleza kuwa Sultan huyo wa zamani alifariki dunia Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kifalme na atazikwa katika Makaburi ya Familia ya Kifalme huko Muscat.
====================
Breaking News!, Talk of a devil, and a devil appear!.
December 30, 2024
Information for “Atheer”: The Passing of His Highness Jamshid
Exclusive sources have confirmed to “Atheer” the passing of His Highness Sayyid Jamshid Al Said, the last Omani Sultan in Zanzibar, at the age of 95, following a long struggle with illness.
The sources stated that the late Sultan passed away on Monday evening at the Royal Hospital and will be laid to rest in the Royal Family Cemetery in Muscat.
Follow Atheer on WhatsApp:
fXodo
@Atheeroman
www.Atheer.om
December 28 lilipanda bandiko hili Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni
December 29 likapanda bandiko hili Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli
Leo December 30 ndio yametokea haya!.
RIP
Sultan Jamshed
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ. To God we belong and to Him we return.
Paskali
Hii ni Taazia ya Mkuu Maalim Mohamed Said
Rejea za Mwandishi kumhusu Sultan huyu
- Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
- Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!
- Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?
- Je, wajua Sultan aliyefurushwa na mapinduzi matukufu alikuwa ni puppet wa wakoloni?
Rip Jamshid ...Wanabodi
Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Vyanzo hivyo vimeeleza kuwa Sultan huyo wa zamani alifariki dunia Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kifalme na atazikwa katika Makaburi ya Familia ya Kifalme huko Muscat.
====================
Breaking News!, Talk of a devil, and a devil appear!.
December 30, 2024
Information for “Atheer”: The Passing of His Highness Jamshid
Exclusive sources have confirmed to “Atheer” the passing of His Highness Sayyid Jamshid Al Said, the last Omani Sultan in Zanzibar, at the age of 95, following a long struggle with illness.
The sources stated that the late Sultan passed away on Monday evening at the Royal Hospital and will be laid to rest in the Royal Family Cemetery in Muscat.
Follow Atheer on WhatsApp:
fXodo
@Atheeroman
www.Atheer.om
December 28 lilipanda bandiko hili Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni
December 29 likapanda bandiko hili Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli
Leo December 30 ndio yametokea haya!.
RIP
Sultan Jamshed
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ. To God we belong and to Him we return.
Paskali
Hii ni Taazia ya Mkuu Maalim Mohamed Said
Rejea za Mwandishi kumhusu Sultan huyu
- Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
- Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!
- Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?
- Je, wajua Sultan aliyefurushwa na mapinduzi matukufu alikuwa ni puppet wa wakoloni?
Umeumia muarabu kufa aaah weee afe na afe tenaMajuma machache yaliyopita nilipokea taarifa kutoka Muscat kuwa Sultan Jamshid amefariki.
Hapo hapo nikaandika taazia.
Haukupita muda nikapewa taarifa kuwa Sultan Jamshid yu hai.
Nilijisikia vibaya sana.
Ninachokumbuka katika mkasa huu ni maneno ya rafiki yangu akiniambia kuwa nimefanya haraka kuandika taazia.
Sikuwa na la kusema.
Nilikaa kimya hadi hii leo na hivi sasa.
Hapo chini ni taazia niliyomwandikia Sultan Jamshid bado akiwa hai:
Jana usiku ndugu yangu kaniletea ujumbe mfupi kuwa Sultan Seyyid Jamshid, Sultani wa mwisho wa Zanzibar kafariki.
Asubuhi ndugu yangu huyu akanipigia simu tukazungumza mawili matatu akanifahamisha kuwa yeye hakupata kuonana na Jamshid ila alizungumzanae mara moja kwa simu Jamshid alipokuwa anaishi Portsmouth.
Sasa nikawa najiuliza nini naweza kuandika kuhusu Sultan Jamshid.
Jamshid kaandikwa sana kiasi nimekumbuka maneno ya marehemu Bibi Titi Mohamed aliponiambia, "Bwana Mohamed kipi utakachoandika wewe kuhusu mimi ambacho bado hakijaandikwa?"
Kipi ninachoweza mimi hii leo kuandika kuhusu Sultan Jamshid ambacho bado hakijaandikwa?
Kipo cha kuandika kuhusu Sultan Jamshid bin Abdulla bin Khalifa ambacho bado hakijaandikwa.
Jamshid kaondoka Zanzibar baada ya mapinduzi nafsi yake ikiwa imesalimika.
Jamshid anakwenda kwa Mola wake vidole vyake vikiwa safi havichuruziki damu.
Hakuna Mzanzibari anaeweza kusimama akasema Sultani ameniulia ndugu yangu au Sultani kanidhulumu haki yangu hii au ile.
Jamshid kaondoka Zanzibar hakuacha jela za mateso.
Jamshid hakuacha jela za mateso kwa kuwa hakurithi jela ya mateso.
Jamshid hakupata kukalia kiti cha enzi kilicholowa damu.
Hakika lipo la kuandika na la kusema kuhusu Jamshid.
Nimeingia Maktaba.
Natalii farahasha ya kitabu cha Harith Ghassany, "Kwaheri Uhuru Kwaheri Ukoloni."
Nataka nijikumbushe.
Najikumbusha kwa kuwa nilikuwa msaidizi wa Dr. Ghassany wakati wa utafiti wa kitabu hiki chake.
Nasoma yaliyomfika Jamshid halikadhalika nayasoma yale waliyopitia Wazanzibari waliokuwa nje ya Zanzibar mapinduzi yalipotokea.
Nayasoma na kuona kama vile ndiyo kwanza hayo nisomayo nayasikia leo.
Sultan Jamshid kapewa hifadhi Dar es Salaam yeye na familia yake na baadhi ya watu.
Wako wamejibanza kwenye nyumba mbili jumla yao watu 43.
Serikali ya Tanganyika inafanya mawasiliano na Waingereza kuhusu Sultan Jamshid.
Jamshid Sultan wa Zanzibar ni mtu masikini kwani hana fedha nje ya Zanzibar hata senti moja.
Sultan hana nauli ya kumfikisha Uingereza.
Nimetosheka.
Navuta kitabu kingine ninachokumbuka kuna habari za Sultan Jamshid.
Hili ni buku la mapicha kutoka matoleo ya gazeti maarufu DRUM lililokuwa likimilikiwa na Jim Bailey kutoka Johannesburg, Afrika Kusini.
Nilisaidia kuhariri na kuchapwa kwa kitabu hiki.
Katika kitabu hiki kuna makala ya Jamshid akiwa watu wapatao 500 wananchi wa kawaida wanaingia porini kuwinda nguruwe.
Sultan Jamshid anaingia porini kwenye msitu mzito bila ulinzi wowote kuwinda pamoja na wawindaji wenzake wamemzunguka wamebeba mikuki.
Hakika yako mengi ya kusema kuhusu Jamshid.
Sura inayofuatia katika DRUM ni kuhusu mapinduzi yenye kichwa cha habari, "Bloodshed on the Spice Isle."
Nahitimisha safari yangu Maktaba kwa kitabu muhimu sana katika historia ya masultani: "Omani Sultans in Zanzibar," kilichoandikwa na Ahmed Hamoud Al Maamiry.
Mwanzo wa kitabu mwandishi anasikitika kuhusu damu iliyomwagika katika mapinduzi.
Siku zote historia ya mapinduzi itakuacha na majonzi.
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi hisabu yake ndugu yetu Sultan Jamshid bin Abdulla bin Khalifa.
Hapo juu umeambiwa wazee wa mifumo wamefanya yao huko huko. Napenda wamfanyie na muhubiri wa kihindiHuyu si mlisema ana ziara ya Zanzibar siku za karibuni!? Kumbe alitaka kuja kupumzikia kwenye ardhi aliyowahi kumiliki?
Basi iachie hewani hiyo tanzia, muda umefika!Majuma machache yaliyopita nilipokea taarifa kutoka Muscat kuwa Sultan Jamshid amefariki.
Hapo hapo nikaandika taazia.
Haukupita muda nikapewa taarifa kuwa Sultan Jamshid yu hai.
Na kumbe alikuwa anaumwa sana tu hata kuja asingewezaHuenda yaliyokuwa yanajadiliwa sana juu yake week hii yamemfadhaisha
Pasco hakuleta uzi wa sultan kuja ZanzibarAll the barbaric and uncouth acts he carried out in the name of "Trade" to our people will never be forgotten.
Nje ya mada: Pasco ulikurupuka sana na uzi wa juzi hapo "Kurudi Zenji" huyu Sultani. Na wewe najua umefahamu kwamba ulikurupuka, ila fresh yameisha. 😁
Inna lillah wainna ilayh rajiuun. Allah Amjaalie kauli thabitHii ya sasa si uongo
😁😁😁😁😁😁 Alafu ni weww ndo umesema hvo mkuuu...Kwa hiyo umekuja kutushtakia kwa faza Pascal Mayalla
Oman waliombwa msaada na watu wa afrika mashariki kumpiga mreno,aliyechoma mji wa kilwa,1600 hivyo viungo(karafuu,mdalasini) vililimwa mji gani hapo zenji?Nitakujibu japo sijajua lengo la swali lako ni kutaka kujua au kubishana.
Usultani ni Bloodline wenye lengo kutawala na kufanya biashara. Said Bin Sultan muasisi wa Usultani wa Zanzibar alitoka Muscat Oman mpaka Stone Town Zanzibar kwa lengo la kuanzisha biashara ya Karafuu (Clove), alime hapo Zanzibar na aiuze Oman huku akiwatumia wenyeji wa hapo kama watumwa (Cheap labours). Alifanikiwa kuanzisha Usultani hapo na Zanzibar ikawa kitovu cha Biashara kutoka Persia, Uarabuni na India huku yeye akitawala Zanzibar na kusimamia biashara. Wafanyabiashara kutoka pande hizo Zanzibar likawa chimbo lao kupata Malighafi ambazo nyingi zilikuwa hazitoki Zanzibar ila zinakuja kama kituo cha biashara. Pembe za Ndovu, Madini na Vito n.k
Jibu la swali lako: Seyyid Said alirithi Usultani wenye lengo lile lile, kutawala, kusimamia, kufanya na kuendeleza biashara. Zanzibar ni kitovu cha biashara cha kihistoria. Hujaridhika tutaendelea Darasa la Sita B.
Kwaiyo kumbe Wanzanzibar walifanya makosa kumuondoa Sultan kuwa MtawalaMajuma machache yaliyopita nilipokea taarifa kutoka Muscat kuwa Sultan Jamshid amefariki.
Hapo hapo nikaandika taazia.
Haukupita muda nikapewa taarifa kuwa Sultan Jamshid yu hai.
Nilijisikia vibaya sana.
Ninachokumbuka katika mkasa huu ni maneno ya rafiki yangu akiniambia kuwa nimefanya haraka kuandika taazia.
Sikuwa na la kusema.
Nilikaa kimya hadi hii leo na hivi sasa.
Hapo chini ni taazia niliyomwandikia Sultan Jamshid bado akiwa hai:
Jana usiku ndugu yangu kaniletea ujumbe mfupi kuwa Sultan Seyyid Jamshid, Sultani wa mwisho wa Zanzibar kafariki.
Asubuhi ndugu yangu huyu akanipigia simu tukazungumza mawili matatu akanifahamisha kuwa yeye hakupata kuonana na Jamshid ila alizungumzanae mara moja kwa simu Jamshid alipokuwa anaishi Portsmouth.
Sasa nikawa najiuliza nini naweza kuandika kuhusu Sultan Jamshid.
Jamshid kaandikwa sana kiasi nimekumbuka maneno ya marehemu Bibi Titi Mohamed aliponiambia, "Bwana Mohamed kipi utakachoandika wewe kuhusu mimi ambacho bado hakijaandikwa?"
Kipi ninachoweza mimi hii leo kuandika kuhusu Sultan Jamshid ambacho bado hakijaandikwa?
Kipo cha kuandika kuhusu Sultan Jamshid bin Abdulla bin Khalifa ambacho bado hakijaandikwa.
Jamshid kaondoka Zanzibar baada ya mapinduzi nafsi yake ikiwa imesalimika.
Jamshid anakwenda kwa Mola wake vidole vyake vikiwa safi havichuruziki damu.
Hakuna Mzanzibari anaeweza kusimama akasema Sultani ameniulia ndugu yangu au Sultani kanidhulumu haki yangu hii au ile.
Jamshid kaondoka Zanzibar hakuacha jela za mateso.
Jamshid hakuacha jela za mateso kwa kuwa hakurithi jela ya mateso.
Jamshid hakupata kukalia kiti cha enzi kilicholowa damu.
Hakika lipo la kuandika na la kusema kuhusu Jamshid.
Nimeingia Maktaba.
Natalii farahasha ya kitabu cha Harith Ghassany, "Kwaheri Uhuru Kwaheri Ukoloni."
Nataka nijikumbushe.
Najikumbusha kwa kuwa nilikuwa msaidizi wa Dr. Ghassany wakati wa utafiti wa kitabu hiki chake.
Nasoma yaliyomfika Jamshid halikadhalika nayasoma yale waliyopitia Wazanzibari waliokuwa nje ya Zanzibar mapinduzi yalipotokea.
Nayasoma na kuona kama vile ndiyo kwanza hayo nisomayo nayasikia leo.
Sultan Jamshid kapewa hifadhi Dar es Salaam yeye na familia yake na baadhi ya watu.
Wako wamejibanza kwenye nyumba mbili jumla yao watu 43.
Serikali ya Tanganyika inafanya mawasiliano na Waingereza kuhusu Sultan Jamshid.
Jamshid Sultan wa Zanzibar ni mtu masikini kwani hana fedha nje ya Zanzibar hata senti moja.
Sultan hana nauli ya kumfikisha Uingereza.
Nimetosheka.
Navuta kitabu kingine ninachokumbuka kuna habari za Sultan Jamshid.
Hili ni buku la mapicha kutoka matoleo ya gazeti maarufu DRUM lililokuwa likimilikiwa na Jim Bailey kutoka Johannesburg, Afrika Kusini.
Nilisaidia kuhariri na kuchapwa kwa kitabu hiki.
Katika kitabu hiki kuna makala ya Jamshid akiwa watu wapatao 500 wananchi wa kawaida wanaingia porini kuwinda nguruwe.
Sultan Jamshid anaingia porini kwenye msitu mzito bila ulinzi wowote kuwinda pamoja na wawindaji wenzake wamemzunguka wamebeba mikuki.
Hakika yako mengi ya kusema kuhusu Jamshid.
Sura inayofuatia katika DRUM ni kuhusu mapinduzi yenye kichwa cha habari, "Bloodshed on the Spice Isle."
Nahitimisha safari yangu Maktaba kwa kitabu muhimu sana katika historia ya masultani: "Omani Sultans in Zanzibar," kilichoandikwa na Ahmed Hamoud Al Maamiry.
Mwanzo wa kitabu mwandishi anasikitika kuhusu damu iliyomwagika katika mapinduzi.
Siku zote historia ya mapinduzi itakuacha na majonzi.
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi hisabu yake ndugu yetu Sultan Jamshid bin Abdulla bin Khalifa.
Kanunua ghorofa bovu mji mkongweAje azikwe nyumbani kwake Mchamba wima
Karudi tena na karudushiwa Majengo yake ya Kale, Nchi imefunguliwa walio taifishiwa Mali zao wamerudishiwa wote Tanganyika na Zanzibar.Kwaiyo kumbe Wanzanzibar walifanya makosa kumuondoa Sultan kuwa Mtawala