Aliyekuwa waziri wa Hamas akiri yale mauaji yalikuwa kosa, yamesababisha Gaza ifutwe

Aliyekuwa waziri wa Hamas akiri yale mauaji yalikuwa kosa, yamesababisha Gaza ifutwe

Hujui lolote...hujaona makanisa yameshambuliwa...
Ufahamu wako mdogo, unajua kila mwarabu ni muislam...kila myahudi anamtambua Yesu!!!...
Kuna makanisa mangapi gaza🤣🤣🤣🤣nipe idadi???
Na kuna wakrsto wangapi gaza,,,,,nipe idadi 🤣🤣🤣🤣
Au ndio mnatafuta huruma ya wakrsto katika chuki zenu za kijinga kwa wayahudi???
 
Kuna makanisa mangapi gaza🤣🤣🤣🤣nipe idadi???
Na kuna wakrsto wangapi gaza,,,,,nipe idadi 🤣🤣🤣🤣
Au ndio mnatafuta huruma ya wakrsto katika chuki zenu za kijinga kwa wayahudi???
Mkiristo amsaidie muislam? Unanichekesha sana wewe? Husikii kelele za Ukraine kwa sababu wakiristo wanapigwa?
 
Kuna makanisa mangapi gaza🤣🤣🤣🤣nipe idadi???
Na kuna wakrsto wangapi gaza,,,,,nipe idadi 🤣🤣🤣🤣
Au ndio mnatafuta huruma ya wakrsto katika chuki zenu za kijinga kwa wayahudi???
Kama hujui uwepo wa wakristo ndani ya waarabu, kama hujui uwepo wa wayahudi wasioamini biblia huna haja ya kuposti chochote. Ni mweupe wewe!
 
Kama hujui uwepo wa wakristo ndani ya waarabu, kama hujui uwepo wa wayahudi wasioamini biblia huna haja ya kuposti chochote. Ni mweupe wewe!
1702265439056.png
 
Kama hujui uwepo wa wakristo ndani ya waarabu, kama hujui uwepo wa wayahudi wasioamini biblia huna haja ya kuposti chochote. Ni mweupe wewe!
Mkuu acha kujifariji,,,hao unawaita wakrsto waarabu kuanzia iraq mpaka egpty na syria na palestina,,,sio waarabu...
Au wanakuchanganya sababu wana majina ya kiarabu na wanatumia lugha ya kiarabu...
Hujui historia mkuu 🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio mweupe
 
Mkuu acha kujifariji,,,hao unawaita wakrsto waarabu kuanzia iraq mpaka egpty na syria na palestina,,,sio waarabu...
Au wanakuchanganya sababu wana majina ya kiarabu na wanatumia lugha ya kiarabu...
Hujui historia mkuu 🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio mweupe
1702265513616.png

Anasujudu huyo.
 
Mkuu acha kujifariji,,,hao unawaita wakrsto waarabu kuanzia iraq mpaka egpty na syria na palestina,,,sio waarabu...
Au wanakuchanganya sababu wana majina ya kiarabu na wanatumia lugha ya kiarabu...
Hujui historia mkuu 🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio mweupe
🚮🚮
 
Back
Top Bottom